Maombi yanayompendeza Mungu. (Omba Mungu akupe moyo wa hekima zaidi ya mali) Kwanini tunapaswa kumuomba Mungu atupe hekima zaidi ya mali? Kwani! ni vibaya kuwa na mali? Kuwa na mali sio vibaya na tunahitaji, lakini pia tukikosa hekima, hata hiyo mali pia hatuwezi kutumia vizuri. Sulemani Mfalme wa Israeli mwana wa Daudi, Ni mtu aliyempendeza ..
Archives : September-2025
HEKALU LA BWANA LIKO TAYARI Hekalu la kwanza kama tunavyofahamu lilitengenezwa na Mfalme Sulemani, Ni hekalu lililochukua kipindi cha miaka 7 mpaka kukamilika, Tunasoma.. 1 Wafalme 6:38 ”Hata katika mwaka wa kumi na mmoja, katika mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, nyumba ikaisha, mambo yake yote, na sharti zake zote. Basi muda wa miaka ..
Mapambo yanachochea uzinzi. Je! Ni kweli kujipamba kwa kutumia mekaups, lipustiks, wanja, wigi, hereni, n.k ni urembo tu? Je! Biblia inasemaje kuhusu kujipamba? Biblia inasema kujipamba kwenu kusiwe kwa nje. Ahaa kumbe tunatakiwa kujipamba lakini sio kwa nje! sasa kama sio kwa nje, basi itakuwa kwa ndani. Maana yake wanawake wa kikirsto wanapaswa wajipambe kwa ..
WALAKINI MAHALI PA JUU HAPAKUONDOLEWA. 2 Wafalme 14:4 “Walakini mahali pa juu hapakuondolewa; watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza uvumba katika mahali pa juu.” Jina la mwokozi Yesu libarikiwe daima, karibu tujifunze biblia neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu. Katika Agano la kale nyakati za Wafalme, kuna watu walikuwa wanatoa sadaka ..
Mungu ndiye abadilishaye mashauri. Ni kawaida kusikia ushauri wa mtu Fulani ni zuri au kusikia yule usimsikilize ushauri wake utakupoteza. Lakini watu wengi hatujui kuwa ushauri wa Bwana ni mzuri zaidi ya ushauri wa wanadamu, kwani mara nyingi adui shetani amekuwa akiwatumia watu kuharibu maisha ya watu wengi kupitia ushauri ambao tunaweza kuupokea na kuona ..
Umuhimu wa kuwa ndani ya Yesu. Nakusalimu katika jina kuu la Bwana Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana. Karibu tujifunze biblia kitabu cha uzima, na leo tutajifunza umuhimu wa kuwa na mahusiano mazuri na Mungu. (Kuwa ndani ya Yesu). Kwanza ndani ya Yesu kuna ulinzi. Na leo nitakuongezea chachu ya kuzama ndani ..
NAKUPA SHAURI UNUNUE KWANGU DHAHABU ILIYOSAFISHWA. Ufunuo wa Yohana 3:15 ”Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. [16]Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu. [17] KWA KUWA WASEMA, MIMI NI TAJIRI, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; ..
Msaada wa Mungu unategemea jitihada zako. Kuna vitu hatuwezi kuvipokea kwa Mungu mpaka tuweke bidii kuvitafuta au kuvifanya ndiyo msaada wa Mungu utokee. Wengi tunashindwa kupiga hatua mbele kwasababu ya kumuachia Mungu afanye mambo yote…tunataka tuende tu mbele za Mungu tuombe atusaidie halafu turudi kukaa kusubiria huo msaada, nataka nikuambie leo ondoa hiyo mtazamo ndani ..
Je! biblia inaturuhusu tuwe na hasira sawa sawa na Waefeso 4:26? Awali ya yote tusome andiko lenyewe. Waefeso 4:26 Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; Hapo biblia inasema tuwe na hasira ila tusitende dhambi, lakini sehemu nyingine inasema hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu (Mhubiri 7:9). Hapo imekaaje? Hasira ..
LAKINI SASA YAWEKENI MBALI NANYI HAYA YOTE. Wakolosai 3: 8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu. [9]Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake; Biblia imetuhasa tuweke mbali mambo hayo yote yaliyotajwa hapo juu; yaani hasira, ghadhabu, uovu, ..