Author : magdalena kessy

JIBU, Tusome Cheo’ maana yake ni ‘kipimo’Mfano mtu mwenye kipimo kikubwa kazini au katika eneo fulani maana yake mtu huyo ana cheo kikubwa katika hiyo kazi au hilo eneo.. Wakati mwingine mtu mwenye heshima zaidi ya wengine serikalini au kwenye mamlaka fulani mtu huyo ana cheo kikubwa.. Marko 6:21[21]Hata ilipotokea siku ya kufaa, na Herode, ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu,karibu tuyatafakari Maneno ya uzima… JIBU…. Embu tusome… Mhubiri 1:2-11[2]Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili. [3]Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua? [4]Kizazi huenda, kizazi huja; nayo dunia hudumu daima. [5]Jua lachomoza, na jua lashuka, na kufanya haraka kwenda mahali pa maawio yake. ..

Read more

JIBU.. Maandiko hayajatupa uwazi wa moja kwa moja wa kuelewa kama waliokoka au hawakuokoka pindi walipofahamu uovu walioufanya.. Tukiliangalia hili neno Kuokoka tunakuja kuliona kwenye kipindi chetu cha Agano jipya likiwa na maana ya kukombolewa kwenye uharibifu wa hukumu ya Mungu iliyoikumbuka ulimwengu mzima kwasababu ya dhambi kupitia kifo cha Mwokozi Yesu Kristo anayetuokoa sisi ..

Read more

Swali:Je ni kweli nchi au dunia iligawanyika? Je iligawanyika kwa namna gani? Je haya mabara saba yaliyopo yalitokana na huo mgawanyiko? JIBU Mwanzo 10:25 “ Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza ni Pelegi maana KATIKA SIKU ZAKE NCHI ILIGAWANYIKA; na jina la nduguye ni Yoktani”. Ukisoma zaidi sura ya 11 katika kitabu hicho ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu karibu tujifunze maneno ya Mungu… Baadhi ya watu wanafikiri kuna mahali shetani amefungwa na atakuja kufunguliwa badae na wengine wanaamini anaishi kuzimu au chini ya bahari sehemu ambayo ameweka utawala wake unaofanana na wa hapa duniani.. Jambo moja tunalotakiwa kujua ni kwamba shetani hajafungwa na wala haonekani katika umbo la mwili ..

Read more

Karibu tujifunze Maneno ya Mwokozi Wetu Yesu Kristo.. Ayubu 20:4-7[4]Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi, [5]Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu? [6]Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikilia mawinguni; [7]Hata hivyo ataangamia milele ..

Read more

Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe karibu katika kujifunza maneno ya Uzima.. JIBU Jambo la kwanza kulifahamu na kulikumbuka kila wakati ni kuwa katika lugha yetu ya kiswahili neno ELOHIM, hamna mahali linaonekana likitajwa katika biblia yetu kwasababu halipo katika lugha ya kiswahili. Neno Elohim ni neno ambalo lipo katika lugha ya Kiebrania likiwa linamaanisha MUNGU… ..

Read more

Wakorintho 3:17 “Basi ‘Bwana’ ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru” JIBU: Maana ya Kauli hiyo kwa tafsiri nyingine ni kuwa , kama Roho wa Mungu hayupo basi mahali hapo panakuwa hakuna uhuru wowote, kwa mujibu wa maandiko katika biblia. Lakini inapaswa tunafahamu ya kuwa ni aina gani ya uhuru Roho ..

Read more

JIBU Katika mfano huo Yesu alitaka wajifunze kwa nini Mungu alimtukuza namna ile, leo hii tunajua ni kiasi gani Mungu alimtukuza mwokozi wetu Yesu Kristo kwa viwango vya juu. Yeye ndiye mtu maarufu kuliko watu wote duniani hajawahi kutokea kama yeye na hatatokea kamwe, jina lake linatajwa kila sekunde ulimwenguni kote…Mpaka kufikia mataifa makubwa kutaka ..

Read more

Neno gidamu ni mikanda maalumu iliyotumika kwa ajili ya viatu, kipindi cha zamani viatu vilikuwa havina muoneakano kama wa sasa tunaouona,venyewe vilikuwa na utofauti, kwasababu viatu vya kipindi hichi vingi ni vya muundo wa kutumbukiza lakini vya zamani vilikuwa vinashikiliwa na mikanda ambayo huzungushwa kwenye miguu ili kufanya kiatu kisitoke miguuni, na hiyo mikanda inayoshikilia ..

Read more