Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Pengine umewahi kujiuliza maandiko yanaposema kuwa “Eliya nae alikuwa ni mwanadamu na mwenye tabia moja na sisi lakini aliomba kwa BIDII…nk” ni swali ambalo Wakristo wengi wanatamani kufahamu ni kwa namna gani Eliaya aliomba kwa bidii? Tunafahamu tu maandiko yanasema kuwa Aliomba kwa bidii lakini ni kwa ..
Author : Paul Elias
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama watu tuliomwamini Yesu Kristo ni lazima kuwa makini na aina za marafiki tulionao. Kabla ya kuenda katika kiini cha somo letu ni vyema tufahamu rafiki ni nani? Rafiki ni mtu wa karibu unayemwamini kwenye maisha yako ya kila siku. Anakuwa anafahamu ..
Waebrania 10:25“wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.” Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Umewahi kujiuliza vyema na kutafakari kwa kina swali hili..” kwa nini ninakwenda kanisani kila siku jumapili, Jumatano, ijumaa nk” ..
Shalom Karibu tena katika kujifunza neno la Mungu litupalo nuru katikati yetu Limekuwa swali kwa watu wakitamani kujua kama kweli, upo umuhimu wowote wa kumlipia binti mahari, pale kijana anapotaka kumuoa, na wengine wanajiuliza je Adam alilipa kwa nani mahari ya hawa? Kwanza kabisa ndoa ya kwanza iliunganishwa na Mungu mwenyewe, Adam asingeweza kutoa mahari ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ili tuweze kuuelewa mstari huu vizuri tuchukulie mfano wa kuku anakwenda kuchinjwa baada hata ya dakika 20 au 10 huyo kuku mauti inakuwa inafanya kazi ndani yake. Maana muda si mrefu anakwenda kuchinjwa. Lakini kwetu sisi ambao tunamla kuku uzima unakuwa unafanya kazi ndani yetu maana muda ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu katika. Tukisoma kwenye biblia hakuna mahali imeandika kwamba Daniel alikuwa wapi wakati wa tukio hilo linatokea la wenzake kutupwa kwenye tanuru la moto baada ya wao kukataa kuisujudia sanamu ya Mfalme Nebukadreza. Na hii ni kwa sababu biblia haichukui kila kitu na kukiandika bali inachukua matukio ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kuna funzo kubwa sana Mungu anatamani tulifahamu katika habari ile ya mwanamke msamaria na Bwana Yesu pale kisimani. Wengi wetu huwa tunaisoma na kuona ni Habari ya kawaida tu lakini sivyo. Swali hili tujiulize/nikuulize “Je inahitaji kipindi fulani kipite katika wokovu ndio ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtume Paulo alimaanisha nini kusema …”wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.” Sasa kabla ya kuona Paul alikuwa akimaanisha nini katika mstari huo na wakina na nani alikuwa akiwalenga watu wa namna gani? Ukianza ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mwokozi wetu. Katika kila Habari tunayoisoma katika Biblia nyuma yake kuna fundisho kubwa sana na la muhimu sana kulifahamu kwa kila Mkristo. Kila Habari imebeba ujumbe mkubwa sana nyuma yake, na bahati mbaya tunaishia kuona stori tu peke yake na hatuoni ..
Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya Mwokozi wetu. Kama Mwamini uliyeokoka ukampa Yesu Kristo maisha yako ni muhimu sana kujua unamuwakilisha nani kwa watu wanaokutazama. Katika jamii inayokuzunguka wakikutazama wanamuona Kristo ndani yako au wanauona ulimwengu ndani yako?, ni jambo la kuwa makini sana na kuwa ..