Author : Yonas Kisambu

Huu sio wakati utupasao kuja! Katika ukristo ogopa sana ile kauli ya kusema “Huu si wakati”… “Bado kidogo”…. “Wakati wake utafika tu siku moja”… Ogopa sana kauli kama hizo, tena ziogope kuliko ukoma. Mara nyingi watu wengi wanapoangalia mazingira Fulani, wanaona kama vile wakati wake bado, pale mtu unapomuambia biblia inasema “saa ya wokovu ni ..

Read more

WALA MIOYO YA WATU BADO HAIJAKAZWA KWA MUNGU WA BABA ZAO. 2Mambo ya Nyakati 20:31-33 ”Yehoshafati akatawala juu ya Yuda; alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala, akatawala miaka ishirini na mitano huko Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Azuba binti Shilhi. [32]Akaiendea njia ya Asa babaye, wala hakuiacha, akifanya yaliyo mema ..

Read more

Nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi. Shalom; jina la Yesu Kristo libarikiwe. Tunapomwamini Yesu Kristo na kuamua kumfuata kweli kweli tunafanyika kuwa watumwa wake, ndio maana tunamwita “Bwana”. Hivyo unapomwita kama Bwana, jiulize je umejiweka chini yake kama mtumwa? Zifuatazo ni sifa za watumwa. Wamejikana nafsi kweli kweli.Hakuna mtumwa yeyote anayekuwa na ..

Read more

IKO HATUA MOJA TU KATI YA MIMI NA MAUTI 1Samweli 20:3 “Daudi akaapa, akasema, Baba yako anajua sana ya kuwa nimeona kibali machoni pako, naye asema, Yonathani asilijue neno hili, asije akahuzunika; lakini ni kweli, aishivyo BWANA, na iishivyo roho yako, IKO HATUA MOJA TU KATI YA MIMI NA MAUTI”. Ujumbe huu unakuhusu wewe ambaye ..

Read more

Umepewa muda ili utubu Ufunuo wa Yohana 2:20 “Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu. [21] NAMI NIMEMPA MUDA ILI ATUBU, WALA HATAKI KUUTUBIA UZINZI WAKE. [22]Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na hao ..

Read more

MTAFUTE BWANA MAPEMA. 2Mambo ya Nyakati 34:1 “Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja huko Yerusalemu. [2]Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, akaziendea njia za Daudi babaye, asigeuke kwa kuume wala kwa kushoto. [3]Kwa kuwa katika mwaka wa nane wa kutawala kwake, NAYE AKALI MCHANGA, ALIANZA KUMTAFUTA MUNGU ..

Read more

KESHENI MWOMBE MSIJE MKAINGIA MAJARIBUNI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuwa waombaji ikiwa tumekwisha kuzaliwa mara ya pili. Bwana Yesu alituambia maneno haya “kesheni, mwombe, MSIJE MKAINGIA MAJARIBUNI.” Hilo Neno “msije mkaingia majaribuni” ni neno kubwa sana… Hivi unajua ni kwanini Bwana alisema “hata nywele zetu zote za kichwani ..

Read more

Madhara ya kupunguza Maombi. Katika Maisha usijaribu kufanya kosa la kupunguza maombi…Ni heri ukapunguza muda wa kufanya mambo mengine ambayo unaona ni ya muhimu lakini usipunguze kuomba hata kidogo!..Kama tayari ulishaanza kuwa muombaji, halafu ukaanza kupunguza unamtengenezea adui nafasi ya kufanya uharibifu mkubwa sana katika maisha yako. Na kitu ambacho watu wengi huwa hutujui ni ..

Read more

Elimu ya dunia hii inafunua Elimu ya ufalme wa mbinguni. Shalom! Mtu wa Mungu karibu tujifunze Neno la Mungu, ambalo ndio Taa yetu ituongozayo uzimani. ELIMU ni UFUNGUO wa maisha, hiyo ni kweli, lakini ELIMU ILIYO SAHIHI sio tu ufunguo wa maisha, bali pia ni ufunguo wa kila kitu. Na kwa jinsi elimu ya mtu ..

Read more

TU UZAO WA IBRAHIMU Yohana 8:33 “Wakamjibu, Sisi TU UZAO WAKE IBRAHIMU, wala hatujawa watumwa wa mtu wakati wo wote; nawe wasemaje, Mtawekwa huru?.” Je! we ni mzao wa Ibrahimu? Uzao wa Ibrahimu ni upi? Uzao wa Ibrahimu ni uzao wa YESU KRISTO, kulingana na kuwa Yesu Kristo ndiye aliyebeba ahadi za Mungu kwa Ibrahimu. ..

Read more