FUNGA KWA NAMNA HII ILI UPATE KILICHO BORA ZAIDI. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lisifiwe daima. Karibu tujifunze habari za ufalme wa Mungu. Kama tunavyojua zipo gharama za kutafuta kitu, katika maisha ya kawaida hakuna mtu yeyote anayetafuta elimu ya kidunia katika hatua za awali akajihusisha na mambo ya ulimwengu huu, kwanza kabisa wengi ..
Author : Yonas Kisambu
TUNATAZAMIA MBINGU MPYA NA NCHI MPYA 2Petro 3:13 “Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake”. Ipo mbingu mpya na nchi mpya ambayo wana wa Mungu wameandaliwa, ni nchi ya raha ya milele. Isaya 65:17 Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya ..
Silaha anazotumia shetani kumaliza nguvu za mwamini. Mwamini ni mtu aliyemwamini Bwana Yesu Kristo na kuzaliwa mara ya pili (kuokoka). Sasa ifuatayo ni silaha ambayo shetani anaitumia kumaliza nguvu za rohoni kwa mwamini (zipo silaha nyingi lakini leo tutazame baadhi tu). 1.Uzinzi na uasherati. Unapofanya uzinzi au uasherati baada ya kuzaliwa mara ya pili, au ..
KWANINI UNAENDA KANISANI? Jina kuu la Mwokozi YESU libarikiwe sana, karibu tujifunze maneno ya uzima wa roho zetu. Katika siku hizi za mwisho ukristo umechukuliwa kama pango la kujificha na maovu pamoja na kutimiza matakwa Fulani fulani tu, kiasi cha kwamba kila mtu anaweza kujiita mkristo tu na kwenda kujiandikisha kwenye kanisa Fulani..lakini hata hana ..
ENYI WANA WA MWANAMKE MCHAWI. Isaya 57:3 “Lakini ninyi karibuni hapa, enyi wana wa mwanamke mchawi, uzao wa mzinzi na kahaba. [4]Mnafanya dhihaka yenu juu ya nani? Mmepanua vinywa vyenu, na kutoa ndimi zenu? Je, ninyi si wana wa uasi, uzao wa uongo; [5]ninyi mnaowasha tamaa zenu kati ya mialoni, chini ya kila mti ..
TUJIFUNZE KUJISTIRI KWA MALAIKA WA MUNGU. Malaika watakatifu waliopo mbinguni, wanaompa Mungu utukufu usiku na mchana, ni WAALIMU wazuri kukufundisha sisi jinsi ipasavyo kujistiri mbele za Mungu. Malaika wa watakatifu, (yaani Maserafi na Makerubi) wanaompa Mungu sifa na utukufu mchana na usiku sehemu kubwa ya mbawa walizopewa wanazitumia kujisitiri.. na wanajisitiri kuanzia kichwani mpaka miguuni…wanaposimama ..
MACHO YAKO YAMETIWA NURU? Biblia inasema katika… Waefeso 1:18 “macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo; na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu jinsi ulivyo” Biblia inapozungumzia mioyo..haimaanishi hii mioyo iliyomo ndani ya vifua vyetu inayosukuma damu…hapana bali inazungumzia utu wa ndani ambao ni roho zetu. Hivyo ..
NAWE UTAWAAMBIA MANENO YANGU, KWAMBA WATASIKIA, AU KWAMBA HAWATAKI KUSIKIA; Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe. Upo umuhimu wa kuhubiri injili mahali popote na katika mazingira yoyote kwasababu ni agizo la Bwana mwenyewe bila kuangalia watu wanapokeaje; wanataka kusikia au hawataki kusikia. Wapo watu wenye mioyo migumu..ambao wanajiziba masikio yao wasitake kusikia habari za ..
Mavazi ya kujistiri ni yapi? Biblia inatufundisha tuvae mavazi ya kujistiri na kuwa na adabu nzuri. 1Timotheo 2:9 “Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; [10]bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo ..
Je! Udongo umwambie yeye aufinyangaye; Unafanya nini? Isaya 45:9 “Ole wake ashindanaye na Muumba wake! Kigae kimoja katika vigae vya dunia! Je! Udongo umwambie yeye aufinyangaye; Unafanya nini? Au kazi yako, Hana mikono? Udongo unaozungumziwa hapo ni sisi wanadamu, na Mungu ndiye mfinyazi/muumbaji. Yeremia 18:1-6 Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema, [2]Ondoka, ..