KIMBIENI KUTOKA KATI YA BABELI. Isaya 48:20 “Haya, tokeni katika Babeli, Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo; Hubirini kwa sauti ya kuimba, tangazeni haya, Yatamkeni mpaka mwisho wa dunia, semeni, BWANA amemkomboa mtumishi wake, Yakobo. Tukisoma kitabu cha Danieli tunaona kuna habari ya mfalme mmoja aliyeitwa Nebukadreza, huyu alikuwa ni mfalme katika dola ya Babeli ambayo ilikuwa ..