NIFANYE NINI NIACHANE NA DHAMBI?? Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe, karibu tujifunze Biblia, Neno la MUNGU wetu lililo Taa na Mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Ninataka kuacha sigara, ugoro, pombe, uzinzi, kujichua na dhambi zote…sasa nimejitahidi kweli kuacha, nimeomba na kuombewa vya kutosha lakini bado ninajikuta ninarudia huu mzunguko wa dhambi. Nifanyaje niachane ..
Archives : August-2026
YULE BIBI WA MAMBO YA UCHAWI, AUZAYE MATAIFA KWA UKAHABA WAKE. Nahumu 3:4-7 “Kwa sababu ya wingi wa ukahaba wa YULE KAHABA MZURI, yule bibi wa mambo ya uchawi, auzaye mataifa kwa ukahaba wake, na jamaa za watu kwa uchawi wake. [5]Tazama, mimi ni juu yako, asema BWANA wa majeshi; nami nitafunua marinda yako mbele ..
KIMBIENI KUTOKA KATI YA BABELI. Isaya 48:20 “Haya, tokeni katika Babeli, Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo; Hubirini kwa sauti ya kuimba, tangazeni haya, Yatamkeni mpaka mwisho wa dunia, semeni, BWANA amemkomboa mtumishi wake, Yakobo. Tukisoma kitabu cha Danieli tunaona kuna habari ya mfalme mmoja aliyeitwa Nebukadreza, huyu alikuwa ni mfalme katika dola ya Babeli ambayo ilikuwa ..