JILINDENI NA CHACHU YA MAFARISAYO NA MASADUKAYO. Mathayo 16:6 “Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo. Chachu ni nini?. Chachu kwa lugha ya sasa ni HAMIRA, na kwa kawaida ukiitazama hamira unaweza ukadhani ni unga Fulani hivi, lakini kiuhalisia ule si unga bali ni mkusanyiko wa wadudu wenye uhai kwa lugha ya ..
Author : Yonas Kisambu
ONJENI, MWONE KUWA BWANA YU MWEMA Zaburi 34:8 Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini. Ulishatembelea soko la vyakula, na kukutana na wafanya-biashara wengi, halafu kila mmoja anakuvutia upande wake ununue bidhaa yake. Kwakawaida si rahisi kuchukua maamuzi, kwa hofu ya kuuziwa kitu kusicho bora. Wafanyabiashara wengi hulijua hilo, hivyo wanachokifanya ni ..
UMEFANYA HIVYO KWA KUTOKUJUA Jina la Bwana na Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe daima. Karibu katika mafundisho ya biblia, Neno la Mungu wetu lililo Taa na Mwanga wa Njia zetu (Zab.119:105). Katika biblia tunasoma habari ya mtu mmoja aliyeitwa Abimeleki, huyu alikuwa ni mfalme wa nchi iliyojulikana kwa jina la Gerari ambayo ilikuwa inapatikana kule ..
ASILI YA KUJIPAMBA KWA WANAWAKE Asili ya mapambo kwa wanawake ni kutoka kwa MAMA WA MAKAHABA, ndiye alionekana akiwa amejipamba kwa dhahabu na lulu, sasa huyu mama wa makahaba ni nani? Turejee.. Ufunuo wa Yohana 17:1 “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule ..
NA MWANAMKE YULE ALIKUWA AMEPABWA KWA DHAHABU. Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Leo tutaangalia asili ya wanawake kujipamba ilitoka wapi na lengo la kujipamba ni lipi? Katika nyakati hizi za mwisho wanawake wamezidi ..
NEEMA YA YESU HAITADUMU MILELE Shalom Ulishawahi kutafakari haya maneno ambayo Yesu aliwaambia wanafunzi wake? Yohana 11:9 “Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu. [10]Bali akienda usiku hujikwaa; kwa sababu nuru haimo ndani yake”. Utajiuliza ni kwanini Bwana Yesu alijifananisha na ..
WOKOVU WA KWELI NI UPI? Habari ya uzima wako mtu wa Mungu, Ni siku nyingine tena leo nakukaribisha tushiriki pamoja kujifunza Neno la Mungu, maji yaliyosafi yasafishayo roho zetu kila siku. Je unaposema umeokoka, ni nini kinakupa uhakika huo? Wengi wetu tunafundishwa au tunafahamu kuwa ukitaka kuokoka jambo la kwanza ni kuamini Yesu alifufuliwa katika ..
SHIKA UZIMA WA MILELE ULIOITIWA Kila mmoja wetu aliyeokoka kweli kweli anapaswa kujua kitu cha kwanza Mungu alichotuitia sio mafanikio ya hapa duniani hayo ni ya ziada, lakini kikubwa ambacho tumeitiwa ni UZIMA WA MILELE. 1Timotheo 6:12 “Piga vita vile vizuri vya imani; SHIKA UZIMA ULE WA MILELE ULIOITIWA, ukaungama maungamo mazuri mbele ya mashahidi ..
Kwanini watu wengi watakataliwa siku ile? Kristo alisema watu wengi watakuja siku ile wakisema Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? (Mathayo7:22). Lakini yeye atawaambia sikuwajua kamwe, maana yake tangu mwanzo wakiwa wanalitumia jina lake hawakujulikana, japo kuwa walikuwa wanatoa pepo na ..
USINIPUNGUZIE MWENDO. Tukiwa bado tupo mwanzo wa mwaka, ni wakati wa kushika sana vile tulivyo navyo na kuendelea mbele, wala si wakati wa kurudi nyuma kabisa au kupunguza mwendo uliokuwa nayo. Ulikuwa upo mbali na anasa mwaka jana, basi huu mwaka unapasawa kwenda mbali zaidi, ulikuwa umejitenga na mambo ya kiulimwengu mwaka jana, mwaka huu ..