IN ETERNITY THERE IS NO DECISION MAKING. Praise the name of our Lord Jesus Christ. I wish you could understand, that in eternity there is no decision making, in eternity there is no option, you cannot say that I choose to do this and this, I give my life to Jesus Christ now or I ..
Author : Yonas Kisambu
THE SIN OF LYINGย ๐๐๐ฅ๐จ๐ฏ๐๐, ๐๐๐ฒ๐ฟ๐ ๐๐ถ๐ฒ ๐๐ ๐ฎ ๐ง๐ถ๐ฐ๐ธ๐ฒ๐ ๐๐ผ ๐๐ฒ๐น๐น. Lying is alarmingly common; even among professing believers… yet Scripture is clear: ๐ฅ๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ฌ ๐ญ๐ก๐ ๐ง๐๐ญ๐ฎ๐ซ๐ ๐จ๐ ๐๐๐ญ๐๐ง, not the life of Christ. Jesus said.. โI am the way, ๐ญ๐ก๐ ๐ญ๐ซ๐ฎ๐ญ๐ก, and the lifeโ (John 14:6). While the devil โ๐๐๐จ๐๐ ๐ง๐จ๐ญ ๐ข๐ง ๐ญ๐ก๐ ..
Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani? Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze maneno ya uzima. Kabla hutujaendelea mbele hebu tafakari haya.. >Je! tumaini lako lipo wapi? >Je! uzima wako upo wapi? >Je! Hazina yako ipo wapi? >Je umejitajirisha kwa nani? Bila shaka majibu unayo mwenyewe.. Lakini hekima ya Mungu inatushaurije.. Luka 12:16-21 ..
NAJA KAMA MWIVI KESHENI Maandiko yanatufundisha kuwa Bwana YESU atakuja kama โMwiviโ.. Ufunuo 16:15 โ(Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake)โ 1Wathesalonike 5:1-3 Lakini, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira, hamna haja niwaandikie. [2]Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana yaja ..
BASI NINGOJENI ASEMA BWANA. Sefania 3:8 โBasi ningojeni, asema Bwana, hata siku ile nitakapoondoka kuteka mateka; maana nimeazimia kuwakusanya mataifa, ili nizikutanishe falme, nipate kuwamwagia ghadhabu yangu; naam, ukali wote wa hasira yangu; kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa wivu wanguโ. Majira yaliyopo mbele yetu, si rafiki kabisa ndugu yangu, Bwana ameshaihidi kuharibu ..
MUNGU SI MWEPESI WA HASIRA LAKINI NI MWINGI WA HASIRA Watu wengi wanamchukulia Mungu kama ni Mungu mwenye rehema, si mwepesi wa hasira, jambo ambalo ni kweli kabisa lakini wanasahau pia kuwa huyu huyu Mungu ni mwingi wa hasira pia, japokuwa si mwepesi wa kukasirika. Tunasoma kitabu cha Nahumu, biblia inasema.. Nahumu 1:2 “BWANA ni ..
Funga kutafuta njia iliyonyooka. Ezra 8:21 “Ndipo nikaamuru kufunga, hapo penye mto Ahava, ili tupate kujinyenyekeza mbele za Mungu, na kutafuta kwake njia iliyonyoka, kwa ajili yetu sisi wenyewe, na kwa ajili ya watoto wetu, na kwa mali yetu yote”. Jina la Bwana YESU litukuzwe daima. Karibu tujifunze Neno la Mungu. leo kwa neema za ..
HUYU THEOFILO MTUKUFU NI NANI? Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia neno la Mungu wetu, ambalo ni taa iongozayo miguu yetu na Mwanga wa njia yetu. Leo tutajifunza juu ya mtu mmoja aliyeitwa Theofilo, ambaye biblia haijaeleza habari zake kwa urefu lakini amehusika pakubwa sana katika kuieneza injili. Luka 1:3 “nimeona ..
JE UMEPOKEA UWEZO WA KUFANYIKA MTOTO WA MUNGU? Nakusalimu katika jina kuu la Bwana Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Biblia inasema katika.. Yohana 1:12 “Bali wote waliompokea aliwapa UWEZO wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ..
FUMBUA MACHO YAKO UONE Biblia ilitabiri kuwa katika siku za mwisho watakuja watu wenye kudhihaki wakisema kurudi kwa Bwana YESU ni habari za kutunga tu, wanasema dunia hii itakuwepo milele, hakuna hukumu; lakini watu hawa biblia inasema “wanafumba macho yao wasione” wasione kuwa hii dunia iliwahi kuangamizwa kwa gharika na sasa imewekewa akiba kuangamizwa kwa ..