Author : Yonas Kisambu

JIFUNGE, KAVAE VIATU VYAKO. Matendo ya Mitume 12:7-9 “Mara malaika wa Bwana akasimama karibu naye, nuru ikamulika mle chumbani, akampiga Petro ubavuni, akamwamsha, akisema, Ondoka upesi. Minyororo yake ikamwanguka mikononi. [8]Malaika akamwambia, JIFUNGE, KAVAE VIATU VYAKO. Akafanya hivyo. Kisha akamwambia, Jivike nguo yako, ukanifuate. [9]Akatoka nje, akamfuata; wala hakujua ya kuwa ni kweli yaliyofanywa na ..

Read more

NCHI YA GIZA KUU Shalom jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe daima. Je! unaifahamu ile nchi ya giza kuu. Biblia inatuambia ipo nchi ya giza kuu! Hebu tuangalie ni nchi ya namna gani hii. Ayubu 10:20-22 “Je! Siku zangu si chache? Acha basi, Usinisumbue, nipate ngaa kutuzwa moyo kidogo. [21]Kabla sijaenda huko ambako sitarudi kutoka huko ..

Read more

Je! vazi la suruali limeletwa na wazungu? Yapo mahubiri mengi ambayo ibilisi ameyainua katika siku hizi za mwisho, baadhi ya mahubiri hayo ni yale yanayohuburi kuwa Mungu haangalii mwili bali anaangalia moyo tu, ikiwa na lengo la kuhalalisha wanawake na wanaume kubadili mionekano yao Mungu aliyowaumba nayo. (Kuwa makini sana na injili hiyo maana imetoka ..

Read more

JE! UNATAMBUA WAKATI TULIOBAKIWA NAO? Shalom, Nakusalimu kwa jina lipitalo majina yote Mbinguni na duniani jina la YESU KRISTO wa Nazareti. Karibu tujikumbushe majira na nyakati tunayoishi. Ni muhimu sana kufahamu nyakati na majira tunayoishi. Kwa kawaida katika jambo lolote kufahamu wakati uliobakiwa nao, ni nyenzo kubwa ya kukusaidia kuamua mtindo wa maisha utakaoendana nao ..

Read more

ACHA KUMKOSOA MUUMBA WAKO. (Ujumbe kwa mabinti/wanawake) Huu ni Ujumbe unaokuhusu wewe dada/mama ambaye unamkosoa Muumba wako aliyekuumba kwa uzuri. Biblia inasema.. “Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamebuni mavumbuzi mengi”. (Mahubiri 7:29). Mungu alikuumba ukiwa umekamilika tena akaona ya kuwa kazi aliyoifanya ni chema, Lakini leo unamkosoa, unabadilisha maumbile yako, unabadilisha ..

Read more

UKITII, YESU ATAKUOKOA. Ni Kwanini watakaotangulia kwenda mbinguni wawe ni watu wanaoonekana kuwa mbali na Mungu, kuliko watu wa kidini? Mathayo 21:31 “….Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.” Mpaka kupelekea Bwana Yesu kuzungumza maneno hayo, ni kutokana na mfano aliousema juu yake kidogo, uliowahusu watoto wawili wa ..

Read more

MIMI NDIMI NJIA, KWELI NA UZIMA. Yohana 14:4 “Nami niendako mwaijua njia. [5]Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia? [6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi”. Shalom karibu tujifunze Neno la uzima. Tukitaka kufika mahali Fulani au mji Fulani, ni wazi kuwa ..

Read more

Tunapataje ondoleo la dhambi? Karibu tujifunze biblia. Swali: Naomba kufahamu hatua ya kupata ondoleo la dhambi maishani mwangu. Swali nzuri sana. Biblia imetoa kanuni ya kupata ondoleo la dhambi ambayo tunaisoma katika.. Matendo ya Mitume 2:38 “Petro akawaambia, TUBUNI, MKABATIZWE kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, MPATE ONDOLEO LA DHAMBI ZENU, nanyi mtapokea kipawa ..

Read more

HAMANI BIN HAMADATHA ADUI YA WAYAHUDI. Jina la Bwana wetu YESU KRISTO aliye mkuu wa uzima wote litukuzwe. Karibu katika kujifunza NENO la Mungu ili tukue toka utukufu hata utukufu mpaka tutakapofikia kile kilele cha kumjua sana huyu mwokozi wetu Yesu. Leo kwa neema za Mungu tutajifunza kitabu cha Esta ile sura ya 3. Ikiwa ..

Read more

NI SIRI IPI ILIYOMFANYA  ESTA AKUBALIKE KULIKO MABIKIRA WENGINE?. (Masomo maalumu kwa wanawake) Wengi wanadhani ubikira ndicho kigezo cha juu ya kupata kibali… Nataka nikuambie sivyo!.. walijitokeza mabikra wengi mbele ya Mfalme Ahasuero, lakini ni mmoja tu aliyechaguliwa.. Biblia haimtaji Esta kama alikuwa ni mwanamke mzuri kuliko wote waliohudhuria, hapana biblia inasema alikuwa na Uso ..

Read more