NAMI NIMEJUA YA KWAMBA KWA UKAMILIFU WA MOYO WAKO UMEFANYA HIVI. Shalom Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Leo tutajifunza faida ya kuwa na moyo mkamilifu mbele za Mungu. Ni kweli unaweza ukawa umeokoka, lakini unaweza pia ukawa na moyo usio mkamilifu kwa Mungu, na hatimaye uhusiano wako na Mungu ukawa mbaya. Moja ya faida ambayo ..
Category : Dhambi
Fahamu jambo moja ambalo Bwana anataka tu kwako? Ikiwa unafikiria kumrudia muumba wako, na unashindwa pa kuanzia. Yamkini unawaza kwamba umetenda dhambi nyingi sana, kiasi kwamba unahisi tayari umeshamkufuru Mungu, na unaona hata ukimrudia hautasamehewa kwa wingi wa dhambi ulizozifanya. Basi leo Bwana anasema nawe kwa neno hili.. Yeremia 3:13 “Ungama uovu wako tu; ya ..
Usifungue mlango wa dhambi katika maisha yako. Jina la Mwokozi wetu wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Dhambi ni kitu kinachoweza kukusababishia madhara makubwa sana katika maisha yako ya wakovu( hata kuharibu hatima yako). Na siku zote dhambi huwa inakuja kwa namna ya kawaida sana yaani kukufanya uone hakuna madhara yoyote ..
Shalom, ni kwa Neema za Bwana tuyatafakari Maneno yake ya uzima… Leo natamani tujifunze kitu kingine pengine unakifahamu lakini naamini utaongeza maarifa zaidi, Wengi wetu hasa watu wa Mungu wamekuwa wakiogopa kitu kinachoitwa dhambi, jambo ambalo ni jema sana tena linalompendeza Mungu, kwasababu hata Neno lake linatutaka tukae mbali na dhambi,kwa kuwa ni machukizo ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima?. Kabla ya kufahamu dhambi ni nini inachotaka tuangalie dhambi ni nini? Dhambi ni nini? Ni uvunjaji wa sheria/maagizo ya Mungu yaani kutokumtii Mungu. Pale tunaposhindwa kumtii Mungu hapo tayari hiyo ni dhambi na dhambi inatendeka kupitia Fikra(mawazo mabaya) kutenda nk. Na dhambi ..

SWALI: Je! Ni dhambi mbele za Mungu kwa Mwanamke na mwanamume kuishi pamoja na kufanya tendo la ndoa pasipo kufunga ndoa kulingana ..

JIBU: Ndio, kijichubua ni dhambi kulingana na maandiko, mwanadamu yo yote yule anayetumia madawa yo yote au kitu chochote kile kwa ajili ya kutaka kubadili rangi ya ngozi yake ambayo Mungu alimuumba anatenda dhambi, na pia anashindana na M..

Tofauti na inavyofahamika au kuzoeleka, kuwa ufisadi ni kitendo cha kukosa uaminifu kwa kuhujumu fedha za shirika Fulani au taasisi Fulani, kwa lengo la kujipatia faida zako binafsi. Lakini tukirudi katika biblia Neno ufisadi limetumika kueleza tabia nyingine tofauti. Na tabia yenyewe ni uasherati, uzinzi, umalaya/ Ukahaba uliovuka mipaka, ambao haujali hata jinsia, umri, au ..

SWALI: Je kubandika picha au kuweka vinyago nyumbani ni dhambi? Kwani biblia inasema.. Kutoka 20:4[4]Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. JIBU: Msisitizo upo katika mstari unaofuata wa 5 ambao unasema.. Kutoka 20:5[5]Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, ..

Je! Ni dhambi kibiblia kuwaomba wafu (wa..