KWASABABU MSIPONISADIKI YA KUWA MIMI NDIYE MTAKUFA KATIKA DHAMBI ZENU. Yohana 8:21-24 “Basi akawaambia tena, Mimi naondoka, nanyi mtanitafuta; nanyi mtakufa katika dhambi yenu; mimi niendako ninyi hamwezi kuja. [22]Basi Wayahudi wakasema, Je! Atajiua! Kwa kuwa asema, Mimi niendako ninyi hamwezi kuja? [23]Akawaambia, Ninyi ni wa chini, mimi ni wa juu; ninyi ni wa ulimwengu ..
Category : Dhambi
Je mzizi wa dhambi umekatwa ndani yako? Nakusalimu katika jina la Bwana Yesu Kristo, Karibu tujifunze habari njema za uzima wa roho zetu. Mzizi maana yake ni chanzo cha kuwepo kwa kitu fulani au jambo Fulani, au tatizo fulani. Kwa mfano, ili mti uweze kustawi vizuri na kuzaa matunda ni lazima kuwe na mizizi inayoenda ..
DHAMBI YA KUTOLIPA MADENI INAVYOWEZA KUMPELEKA MTU MOTONI Kumekuwa na tabia ya wana wa Mungu wengi kukopa pasipo kulipa madeni wanayodaiwa, wengine hudhani ya kwamba wanapotubu tu Mungu anawasamehe madeni ya watu, HAPANA huko ni kujidanganya na kukosa maarifa, mtu anapotubu Mungu anamsamehe yale madeni anayodaiwa na Mungu mwenyewe tu nayo ni madeni ya dhambi ..
IKIMBIENI ZINAA Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia yetu. Neno la Mungu linatuelekeza TUKIMBIE ZINAA na wala sio tukemee au tuiombee, maana yake kabla ya kuomba na kuombewa kwa habari ya maroho ya zinaa, ni sisi kwanza ..
JITENGE NA MKUTANO WA WATU WAOVU. Jina la Mkuu wa Uzima na Mkuu wa wafalme wa dunia, YESU KRISTO libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu Mungu wetu. Biblia inatufundisha kuwapenda watu wote, lakini si kuambatana na watu wote. 2Wakorintho 6:14 “Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani KATI ..
NAMI NIMEJUA YA KWAMBA KWA UKAMILIFU WA MOYO WAKO UMEFANYA HIVI. Shalom Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Leo tutajifunza faida ya kuwa na moyo mkamilifu mbele za Mungu. Ni kweli unaweza ukawa umeokoka, lakini unaweza pia ukawa na moyo usio mkamilifu kwa Mungu, na hatimaye uhusiano wako na Mungu ukawa mbaya. Moja ya faida ambayo ..
Fahamu jambo moja ambalo Bwana anataka tu kwako? Ikiwa unafikiria kumrudia muumba wako, na unashindwa pa kuanzia. Yamkini unawaza kwamba umetenda dhambi nyingi sana, kiasi kwamba unahisi tayari umeshamkufuru Mungu, na unaona hata ukimrudia hautasamehewa kwa wingi wa dhambi ulizozifanya. Basi leo Bwana anasema nawe kwa neno hili.. Yeremia 3:13 “Ungama uovu wako tu; ya ..
Usifungue mlango wa dhambi katika maisha yako. Jina la Mwokozi wetu wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Dhambi ni kitu kinachoweza kukusababishia madhara makubwa sana katika maisha yako ya wakovu( hata kuharibu hatima yako). Na siku zote dhambi huwa inakuja kwa namna ya kawaida sana yaani kukufanya uone hakuna madhara yoyote ..
Shalom, ni kwa Neema za Bwana tuyatafakari Maneno yake ya uzima… Leo natamani tujifunze kitu kingine pengine unakifahamu lakini naamini utaongeza maarifa zaidi, Wengi wetu hasa watu wa Mungu wamekuwa wakiogopa kitu kinachoitwa dhambi, jambo ambalo ni jema sana tena linalompendeza Mungu, kwasababu hata Neno lake linatutaka tukae mbali na dhambi,kwa kuwa ni machukizo ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima?. Kabla ya kufahamu dhambi ni nini inachotaka tuangalie dhambi ni nini? Dhambi ni nini? Ni uvunjaji wa sheria/maagizo ya Mungu yaani kutokumtii Mungu. Pale tunaposhindwa kumtii Mungu hapo tayari hiyo ni dhambi na dhambi inatendeka kupitia Fikra(mawazo mabaya) kutenda nk. Na dhambi ..