Category : Maswali ya Biblia

Maana halisi ya jina shetani ni Mshitaki” au kwa lugha nyingine Mchongezi, na kazi yake kubwa ni kuwashitaki watakatifu mbele za Mungu.. hiyo ni moja ya kazi yake kubwa anayoifanya shetani.. Maana nyingine ya jina shetani ni LUSIFA, ikimaanisha NYOTA YA ASUBUHI” (Isaya 14:12) hili lilikuwa jina lake kabla ajaasi, alivyoasi Mbinguni akawa shetani…. Kabla ajamwasi Mungu, ..

Read more

Shalom!, Kuungama ni kukiri/kukubali hadharani katika mkusanyiko wa waamini au baina ya watu wawili, mfano pale mtu anapoamua kuzikiri dhambi zake kwa Imani kwa kumuamini Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yake, Kwa kudhamiria kabisa kuacha dhambi na kuamini huyo anakuwa tayari amepata msamaha wa dhambi na uzima wa milele, Sasa jambo hilo ..

Read more

Jina la Mwokozi wetu litukuzwe, nakukaribisha katika kujifunza Neno la Mungu litupalo uzima wa milele… Je saumu ina maanisha nini katika Biblia ? Saumu ni neno la kiaramu lenye maana ya KUJIZUIA, kujizuia kufanya jambo/kitu Fulani kwa ajili ya ibada, au kwa maana nyingine saumu inamaanisha mfungo. ndipo hapo utakuta mtu anaacha kula kwa kipindi ..

Read more

Jibu.. Dini ni kitendo cha kuamini imani fulani hasa mambo ya rohoni, Mtu anapoamini uwepo wa Mungu au vitu vyovyote visivyoonekana na kuanza kuviabudu kwa kuvifanyia ibada basi hapo ulazima wa dini kuumbika ni lazima…. ndipo hapo utaona utaratibu fulani au ustaarabu unaanza kutengenezwa na kufatwa, tukiangalia wanaoifata imani ya Buddha, wamejiwekea taratibu zao za ..

Read more

Mathayo 6:30 “Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba?” Kalibu ni neno lililorudiwa na kutajwa Katika kitabu cha Luka 12:28,, na maana ya Neno hili ni TANURU LA MOTO…, Ni kawaida ya kila mmoja baada ya kusafisha mazingira huwa takataka tunatupa ..

Read more

MIIMO ni nguzo mbili za mlango upande wa kulia na wa kushoto wa mlango, kama tunavyosoma katika kisa cha Samsoni akichomoa malango ya Wafilisti. Unaweza somo vifungu hivi, Kumbukumbu la Torati 6:9, 1 Wafalme 6:33, na Isaya 57:8. Waamuzi 16:3 “Basi Samsoni akalala hata usiku wa manane, akaondoka katikati ya usiku, akaishika milango ya lango ..

Read more

Masihi ni neno ambalo asili yake ni neno la kiebrania, linalomaanisha MPAKWA MAFUTA. au Mtu aliyeteuliwa na Mungu Kwa kusudi fulani alijukikana kama masihi. Katika kipindi cha agano la kale watu ambao Mungu aliwateuwa kuwa wafalme au manabii walijulikana kama Masihi, yaani wapakwa mafuta wa Bwana Maana nyingine masihi inamaanisha Kristo, kwahiyo basi MPAKWA MAFUTA, ..

Read more

Jibu… Behewa ni sehemu iliyo wazi ambayo imezungushiwa fensi mbele ya Hema ya kukutania, ilitumiwa na makuhani kama eneo la kutoa sadaka za kuteketezwa na shughuli mbalimbali za kikuhani, unaweza ukatazama picha iliyopo juu, na kwa jina lingine inafahamika kama UA. Katika kipindi cha Mfalme Suleimani pale Yerusalemu sehemu ya ua/behewa palizingushiwa ukuta, pakawa na ..

Read more

Neno IKABODI tafsiri yake ni “Utukufu umeondoka” Jina hili alipewa mtoto wa Finehasi na mke wake wakati anajifungua, baada ya kupata taarifa mumewe amekufa katika vita, pia sanduku la agano limechukuliwa na wafilisti na yeye mkewe wa Finehasi anakaribia kufa ndipo akampa mtoto huyo jina la IKABODI, akiwa na maana utufuku wa Mungu umeondoka katika ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe ndugu katika Kristo Yesu. Korbani ni neno limeonekana mara moja tu!, katika Biblia.(Marko 7:11) sasa maana yake ni nini?. Marko 7:8-13  “8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.  9 Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu.  10 Maana Musa alisema, Waheshimu baba yako na mama ..

Read more