Wakati Bwana Yesu alipowatuma wale mitume wake 12 (thenashara), kwenda kuhubiri habari njema za ufalme wa Mungu, aliwapa maagizo fulani fulani, na miongoni mwa maagizo hayo ni kuwa, mtu asiwe na KANZU MBILI, sasa je! Kanzu ndio vazi takatifu kwa wakristo kulingana na andi..