Author : Paul Elias

Nuhu aliuhukumu je ulimwengu? Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Maandiko yanasema kuwa Nuhu aliuhukumu ulimwengu makosa, je Nuhu alikaa katika kiti cha enzi na kuanza kuuhukumu ulimwengu? Waebrania 11:7 “Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, ..

Read more

Mtu akiipenda dunia kumpenda Baba hakumo ndani yake. Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima.   Tofauti na inavyodhaniwa na watu wengi kuwa mstari huu unawazungumzia Watu ambao hawajaokoka, la! Mstari huu ni mahususi kabisa na kwa watu ambao tayari wameshamwamini Yesu Kristo. Walaka huu unamhusu Mkristo yeyote ulimwenguni ..

Read more

Itengeneze tabia ya Mungu ndani yako. Shalom,  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. “Mwenye jukumu na wajibu wa kufanya tabia ya Mungu iwe ndani yako yaani uwe kama Mungu jinsi alivyo ni wewe” “Kupokea Roho Mtakatifu haimaanishi unayo tabia ya Mungu ndani yako,  kuwa na karama ikiwa ni ..

Read more

Namna ya kuvishinda vita vya kifikra. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Vita vikubwa vya Shetani juu ya watoto wa Mungu si uchawi,uganga,nk lakini vita vikubwa Shetani anavyopigana na watoto wa Mungu na kuwadhoofisha kwa namna isiyokuwa ya kawaida na kuona hawafai tena mbele za Mungu basi ni ..

Read more

Tunza Moto wa Madhabahu usizimike. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Agano la Kale ni kivuli harisi cha Agano jipya, na kama tukitaka kulifahamu vizuri agano jipya ni lazima tulielewe vizuri agano la Kale itakuwa ni rahisi zaidi kupata ufahamu wa biblia nzima(kuhusu wokovu Mungu ..

Read more

Upo karibu na Yesu? Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari maneno ya uzima! Sio Wakristo wote wako karibu na Yesu Kristo au wanaushirika wa karibu naye. Kil Mkristo alieokoka ana Yesu ndani yake(Roho Mtakatifu) lakini si kila Mkristo ana ushirika wa karibu sana na Yesu Kristo. Kuwa karibu na Yesu Kristo sio ..

Read more

Na uzima wa milele ndio huu. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. ” Huwezi kufurahia maisha ya wokovu (kuona furaha ya wokovu usipomfahamu Kristo kwa upana zaidi) utaona wokovu wako ni kawaida tu nk” Ili uweze kupiga hatua kila siku ya kiroho ni lazima ujifunze kuyatafakari maandiko. Unaweza ..

Read more

Fahamu siri iliyopo katika Neno la Mungu. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Sehemu ya pili 02(Mwisho wa somo hili). Katika somo lililopita tulijifunza tukaona Neno la Mungu ni nini? Tuliona kuwa Neno la Mungu ni Mungu mwenyewe, ni uzima,ndio lililoumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Lakini leo ..

Read more

  Fahamu siri iliyopo katika Neno la Mungu. Sehemu 01 Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Tunakuwa ni wazito wa kusoma maandiko ni kwa sababu hatujui uweza au nguvu iliyoko katika maandiko/Neno la Mungu. Wengi wetu tunasoma tu kama sehemu ya Ukristo wetu na tunajikuta hakuna kitu kikubwa ..

Read more

Unataka Mungu akutumie? Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ukweli ni kwamba Mungu anatamani sana kufanya kazi na sisi na sisi pia tunatamani sana kufanya kazi na Mungu na ajidhihirishe kwetu ulimwengu umgeukia kama libido cha baba zetu(Mitume) lakini kuna mambo ambayo yanamzuia Mungu kufanya kazi kikamilifu na sisi. ..

Read more