Author : Paul Elias

Kusudia kukua kiroho Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Wakristo wengi sana wanatamani kukua kiroho, wanatamani kumjua zaidi Mungu na kutembea na Mungu kwa viwango vingine vya juu zaidi. Bahati mabaya wengi wanaishia tu kutamani hivyo na hakuna jambo linafanyika wanakuwa hawajakusudia ndani yao. Lakini ukweli ni kwamba ..

Read more

Usiishie kujua tu bali jua na kutenda. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Wakristo wengi sana tunafahau mambo mengi kumhusu Mungu jinsi alivyo na anatutaka tufanye nini!? Lakini bahati mbaya idadi kubwa ya Wakristo wanaishia kujua tu na hawatendi kile wanachokifahamu.. ama hawafanyi vile inavyowapasa kufanya. ..

Read more

Je! Utoaji wako unamgusa Mungu?. SEHEMU YA PILI 02. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.. karibu katika mwendelezo wa somo hili Muhimu sana kwa Mkristo yeyote ulimwenguni. Katika sehemu ya kwanza tulijifunza kanuni moja ambayo ni kanuni ya umiliki.. “Mungu hawezi akakwambia utoe kitu ikiwa humiliki kitu” yaani hakuna umiliki hakuna utoaji. Sasa ..

Read more

Unatambua uko katika nyakati gani Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Wakristo wengi wanaishi pasipo kutambua wapo katika nyakati gani au majira gani!, kiasi kwamba wamejisahau na wengine hawajui kabisa wanaishi katika nyakati za hatari kiasi gani!, dalili nyingi za kurudi kwa Bwana Yesu zimeshaonekana nyakati zile zilizotabiliwa ..

Read more

Je! Utoaji wako unamgusa Mungu? Sehemu ya 01. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima.. “Kuna utoaji unaomgusa Mungu na usiomgusa Mungu “ katika maisha ya Kikristo utoaji hasa kwa Mungu wetu ni wajibu wa kila mmoja mmoja wetu. Na anaetakiwa kufanya hivi si tajiri peke yake la! Bali ..

Read more

Ni kweli njia ni nyembamba na njia imesonga iendayo uzima?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Mathayo 7:14“Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.” Bwana Yesu ambae anataka watu wote waokolewe.. 2 Petro 3:9“Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyokudhani kukawia, ..

Read more

Timiza wajibu wako. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Wakristo wengi wanataka kusaidiwa kutimiza wajibu wao.. Kama mwamini uliesamehewa deni la dhambi bure katika Kristo Yesu una wajibu wakufanya. Vivyo hivyo Mungu anawajibu wa kufanya kwa sehemu yake. Mungu anawajibu wa kufanya katika maisha yako lakini pia wewe ..

Read more

Hamjui mfano huu basi mifano yote mtaitambuaje?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima!. Bwana Yesu sehemu zote kama maandiko yanavyosema hakunena chochote pasipo mfano. Katika kila jambo alilokuwa anataka kuwafundisha makutano na wanafunzi wake alinena kwa mfano. Hata sasa Yesu Kristo ananena nasi kwa mifano kupitia Roho  Mtakatifu ..

Read more

Fahamu adui yako mkubwa ni nani?. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Hili ni somo muhimu sana kwako tafadhari chukua muda wa kulisoma na kutafakari litakufungua mahali pakubwa sana usiwe mvivu. Wengi wetu tunafahamu adui wetu mkubwa ni Shetani,miili yetu(haipatani na mambo ya rohoni). Au wanadamu wenzetu ambao wanatumiwa ..

Read more

Fanya bidii kuwa mnyenyekevu ndani yako Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele na milele karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Unyenyekevu ndani ya mtu hautokei tu Kama bahati mbaya au hautokei kama ajali tu la!  Bali ili unyenyekevu uweze kuumbika ndani ya mtu aliemwamini Yesu Kristo ni lazima afanye bidii yaani akubali kuingia katika ..

Read more