TUKAJIONA NAFSI ZETU KUWA KAMA MAPANZI Shalom. Jina la Bwana Yesu Kristo libarkiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima ya Mungu wetu. Katika safari yoyote bila shaka huwa kuna milima na mabonde, hakuna tu mteremko kwa wakati wowote, Vivyo hivyo na katika ukristo hakuna mteremko..ni lazima ukutane tu na milima (matatizo) kadha wa kadha. Ndio maana ..
Author : Yonas Kisambu
Je unayadhamini maagizo ya Bwana? Zipo maagizo ya Bwana ambayo aliagiza kwenye biblia kila mtu aliye wake anapaswa kuzishika na kuzitenda. Moja ya maagizo hayo ni pamoja na ubatizo wa maji, kushiriki meza yake, kutawazana miguu, kukusanyika kwa pamoja, na mengineyo. Lakini siku ya leo tutaangalia hiyo ya kukusanyika pamoja. Biblia inasema.. Waebrania 10:25 Wala ..
AKAMLAZA KIJANA CHINI YA KIJITI KIMOJA. Jina kuu la Bwana Yesu Kristo mkuu wa mbingu na nchi libarikiwe milele na milele. Nakukaribisha tujifunze maneno ya uzima ya Bwana Yesu. Leo tutajifunza jambo moja katika ile habari ya Hajiri Mjakazi wa Sara ambaye tunamsoma katika kitabu cha mwanzo Sura ya 21. Ili kufupisha hiyo habari, kama ..
Nitajuaje kuwa ninaomba kwa Mungu wa kweli? Shalom. Jina la Bwana Yesu Kristo mwokozi wa ulimwengu libarikiwe, utukufu na heshima vina yeye milele na milele. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Katika somo lililopitia tulijifunza maana ya maombi..kwamba maombi ni nini na ni kwanini tuombe? hivyo siku ya leo tutaangalia ni kwa jinsi gani tunaweza tukawa ..
UVUMILIVU NI NYENZO MUHIMU KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO. Safari yoyote ya mafanikio aidha mafanikio ya rohoni au ya mwilini inahitaji uvumilivu, bila uvumilivu mafanikio hayaji kiwepesi wepesi kama unavyotaka, hakuna bahati nasibu kwenye mafanikio ni kuwa mvumilivu, wakati mwingine utaona kama hayaji lakini ukiwa mvumilivu hakika utafanikiwa tu, Ibrahimu ambaye tunamjua kama Baba yetu wa ..
KWANINI MAOMBI Nakusalimu katika jina tukufu, jina la Bwana Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme na BWANA WA MABWANA. Karibu tujifunze hekima ya Mungu, Neno la Mungu ambalo ni taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Leo kwa neema za Mungu tutajifunza somo zuri linalohusu maombi. tutaangalia maana ya maombi na ni kwanini ..
Je! Umevunjiwa Kongwa lako? Mambo ya Walawi 26:13 Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu, niliyewaleta mtoke katika nchi ya Misri, ILI MSIWE WATUMWA WAO; NAMI NIMEIVUNJA MITI YA KONGWA LENU, nikawaendesha mwende sawasawa. Kongwa nini? Kongwa ni nira au kifungo cha shingoni ambacho kinatengenezwa kwa kutumia mti uliogawanyika sehemu mbili au mti uliochongwa unaoshikamanisha au kuunganisha ..
WATU WALIOGANDA JUU YA SIRA ZAO NI WATU GANI? (Sefania 1:12) Swali: Ni watu gani hao walioganda juu ya sira zao ambao tunawasoma katika Sefani 1:12 Jibu: Tusome Sefania 1:12 Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; NAMI NITAWAADHIBU WATU WALIOGANDA JUU YA SIRA ZAO; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda ..
NAMI NIMEJUA YA KWAMBA KWA UKAMILIFU WA MOYO WAKO UMEFANYA HIVI. Shalom Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Leo tutajifunza faida ya kuwa na moyo mkamilifu mbele za Mungu. Ni kweli unaweza ukawa umeokoka, lakini unaweza pia ukawa na moyo usio mkamilifu kwa Mungu, na hatimaye uhusiano wako na Mungu ukawa mbaya. Moja ya faida ambayo ..
LIPO LA KUJIFUNZA KWA WALE WAZALISHA WA KIEBRANIA Masomo maalumu kwa waajiriwa/wafanyakazi Nakusalimu kwa jina la Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Ikiwa wewe ni mfanyakazi/mwajiriwa, basi leo utajifunza kitu kwa habari hii tunayoenda kuisoma ambayo inahusu wale wazalisha wa Kiebrania..na jambo hili ukilitendea kazi katika ..