MWE NA HASIRA ILA MSITENDE DHAMBI. Shalom Mtu wa Mungu, karibu tujifunza Maandiko..Leo kwa Neema za Bwana tutajifunza kwa ufupi juu ya HASIRA YA KIMUNGU…Tusome Mstari ufuatao kabla ya kuendelea ambao utatusaidia kuelewa kiini cha somo letu. Waefeso 4:26-27 “Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; [27]wala msimpe Ibilisi ..
Author : Yonas Kisambu
MAANA TU KAZI YAKE Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze biblia, kitabu chenye muongozo wa maisha yetu na maneno ya uzima wa roho zetu. Neno la Mungu linasema.. Waefeso 2:8-10 “Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; [9]wala si kwa matendo, mtu awaye ..
VUA VAZI LA UONGO Waefeso 4:25 “Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake”. Uongo ni vazi kama ilivyo ukweli…nao ni vazi la haki, lakini uongo ni vazi la uovu… hivyo ni vazi la kuvuliwa. Mkristo yeyote hapaswi kuvaa vazi hili, ni vazi lenye ..
TUSIIFUATISHE KAWAIDA YA ULIMWENGU HUU Waefeso 2:1-7] “Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu; [2]ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata KAWAIDA YA ULIMWENGU HUU, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi; [3]ambao zamani, sisi sote nasi tulienenda kati yao, katika tamaa za miili ..
YAKUSANYENI KWANZA MAGUGU MKAYAFUNGE MATITA MATITA MKAYACHOME. Shalom, Bwana Yesu Kristo asifiwe ndugu yangu…karibu tuzidi kuongeza maarifa ya Neno la Mungu kwamaana kila siku tunazidi kukaribia ile siku kuu ya Bwana. Huu ni wakati wa kuwa makini sana juu ya hatma ya maisha yetu ya rohoni, kwasababu tusipokuwa makini katika nyakati hizi na kwa jinsi ..
NJIA PANA NA NJIA NYEMBAMBA Nitatambuaje ile njia pana na njia nyembamba? Bwana Yesu alisema… “Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, NA NJIA NI PANA iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo. Bali mlango ni mwembamba, NA NJIA IMESONGA iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.” (Mathayo7:13-14) Sasa tutajuaje hii ..
NAO WAKAO KATIKA NCHI WAMELEVYWA KWA MVINYO YA UASHERATI WAKE. Jina la Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia kitabu cha uzima. Ufunuo wa Yohana 17:1-6 “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi; [2]ambaye wafalme wa nchi ..
MAANA SIJUI NIFANYALO!! Warumi 7:14-25 “Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi. [15]Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.” Je umewahi kufanya jambo au hata sasa unafanya na hulipendi lakini ni kama unatumikishwa hivi. Kwa ..
SHUKA KILINDILINI UKITAKA KUMSIKIA MUNGU Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tutafakari pamoja Neno la Mungu. Je umekuwa ukitafuta kusikia sauti ya Mungu na hausikii, basi leo kupitia somo hili utaenda kujua ni kwanini hauisikii sauti ya Mungu ingawa Mungu anasema kila siku. Isaya 50:2 “Basi, nilipokuja, mbona hapakuwa na mtu? Nilipoita, ..
ZITAFAKARINI NJIA ZENU Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Kwanza kabla hatujaendelea mbele, ni vizuri kufahamu kuwa si kila tatizo linasababibishwa na ibilisi kama wengi wanavyomsingizia shetani, ni kweli shetani anahusika kwa kiasi kikubwa kusababisha matatizo kwa watu, lakini pia yapo matatizo mengine tunajisabibishia sisi wenyewe. Kwamfano tusome maandiko yafuatayo tuelewe.. Kumbukumbu ..