BARAKA NA LAANA ZINAZOAMBATANA NA WATOTO WA MUNGU Marko 9.41 “Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, KWA KUWA NINYI NI WATU WA KRISTO, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake. 42 Na ye yote atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, AFADHALI AFUNGIWE JIWE LA KUSAGIA SHINGONI MWAKE, NA KUTUPWA BAHARINI”. Bwana Yesu alisema Ishara ..
Author : Yonas Kisambu
MAKUTANO MENGI WALIPOKUWA WAKIFUATANA NAYE, ALIGEUKA AKAWAAMBIA.. Luka 14:25 “Makutano mengi walipokuwa wakifuatana naye, aligeuka, akawaambia, [26]Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake waume na wake; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. [27]Mtu ye yote asiyeuchukua msalaba wake na ..
TANGU SASA MTU ASINITAABISHE, KWA MAANA NINACHUKUA MWILINI MWANGU CHAPA ZAKE YESU. Ninakusalimu katika jina la Yesu Kristo Bwana wetu karibu tujifunze neno la Mungu chakula cha roho zetu. Wagalatia 6:17 “Tangu sasa mtu asinitaabishe; kwa maana ninachukua MWILINI MWANGU chapa zake Yesu”. Chapa za Yesu ni zipi? Kwanza ni vizuri kufahamu maana ya chapa, ..
UNAONA FAHARI JUU YA NINI?? Wagalatia 6:14 “Lakini mimi, hasha, nisione fahari juu ya kitu cho chote ILA MSALABA WA BWANA WETU YESU KRISTO, ambao kwa huo ulimwengu umesulibishwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu”. Wapo watu wanaona fahari juu ya elimu zao, nyumba zao nzuri, magari yao ya kifahari, waume zao, wake zao wazuri, watoto ..
TULICHAGULIWA TANGU AWALI Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze Maneno ya Mungu, kwa Neema zake, leo tutajifunza somo linalosema, Kuchaguliwa kabla ya kuwekwa misingi ya Ulimwengu. Waefeso 1:5-14 “Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe KWA NJIA YA YESU KRISTO, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake. [6]Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika ..
AINA MBILI ZA HEKIMA Nakusalimu katika jina kuu la Bwana Yesu Kristo, karibu tujifunze maandiko matakatifu. Na leo tutajifunza aina mbili za hekima katika biblia, Neno la Mungu linasema katika.. Yakobo 3:13-18 N’nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aonyeshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima. [14]Lakini, mkiwa na wivu ..
MWE NA HASIRA ILA MSITENDE DHAMBI. Shalom Mtu wa Mungu, karibu tujifunza Maandiko..Leo kwa Neema za Bwana tutajifunza kwa ufupi juu ya HASIRA YA KIMUNGU…Tusome Mstari ufuatao kabla ya kuendelea ambao utatusaidia kuelewa kiini cha somo letu. Waefeso 4:26-27 “Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; [27]wala msimpe Ibilisi ..
MAANA TU KAZI YAKE Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze biblia, kitabu chenye muongozo wa maisha yetu na maneno ya uzima wa roho zetu. Neno la Mungu linasema.. Waefeso 2:8-10 “Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; [9]wala si kwa matendo, mtu awaye ..
VUA VAZI LA UONGO Waefeso 4:25 “Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake”. Uongo ni vazi kama ilivyo ukweli…nao ni vazi la haki, lakini uongo ni vazi la uovu… hivyo ni vazi la kuvuliwa. Mkristo yeyote hapaswi kuvaa vazi hili, ni vazi lenye ..
TUSIIFUATISHE KAWAIDA YA ULIMWENGU HUU Waefeso 2:1-7] “Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu; [2]ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata KAWAIDA YA ULIMWENGU HUU, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi; [3]ambao zamani, sisi sote nasi tulienenda kati yao, katika tamaa za miili ..