MOABU AMESTAREHE TANGU UJANA WAKE. Yeremia 48:11 “Moabu amestarehe tangu ujana wake, naye ametulia juu ya sira zake, wala hakumiminwa kutoka chombo kimoja kutiwa chombo kingine, wala hakwenda kufungwa; kwa hiyo ladha yake anakaa nayo, wala harufu yake haikubadilika. [12]Basi, tazama, siku zinakuja, asema BWANA, ambazo nitampelekea wamiminao, nao watammimina, nao watamwaga vyote vilivyomo vyomboni ..
Author : Yonas Kisambu
JE UMEFUNDISHWA KUPENDANA? Neno la Mungu linasema.. 1 Wathesalonike 4:9 “Katika habari ya upendano, hamna haja niwaandikie; maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana. Upendo ni jambo ambalo linahitaji darasa, sio kitu kinachotokea tu mara moja baada ya kuokoka. Baada ya kuokoka.. Roho Mtakatifu anaanza kukupitisha kwenye hili darasa la upendo, atakuletea wale watu usiowapenda..waje ..
JE WAJUA KUWA MWILI WAKO NI HEKALU LA MUNGU? Yohana 2:19 “Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha. [20]Basi Wayahudi wakasema, Hekalu hili lilijengwa katika muda wa miaka arobaini na sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu? [21] LAKINI YEYE ALINENA HABARI ZA HEKALU LA MWILI WAKE”. Hapa Bwana Yesu alinena mwili ..
UHAI WETU UMEFICHWA PAMOJA NA KRISTO. Wakolosai 3:3 Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu. [4]Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu”. Jina la YESU KRISTO libarikiwe daima, karibu tujifunze Neno la Mungu taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Mtu anapotii ..
ZIKIMBIE TAMAA ZA UJANANI; 2 Timotheo 2:22 “Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, PAMOJA NA WALE WAMWITAO BWANA KWA MOYO SAFI”. Ujanani kuna vishawishi vingi,na kuna tamaa nyingi,…sasa hili andiko haliwahusu vijana ambao hawajaokoka, hapana linawahusu vijana wakike na wakiume waliookoka..kwani mtu ambaye hajaokoka hawezi kuzikimbia tamaa za ..
ACHA DHAMBI!! ACHA DHAMBI!! Hakuna muujiza wowote wa kumfanya mtu aache dhambi, ni yeye mwenyewe aamue kuacha kabisa kwa akili zake. Unapodhamiria kuacha dhambi kwa vitendo kabisa ndipo msaada wa Mungu utakuja ndani yako na kukusadia, lakini kama unasubiri muujiza ukushukie tu hivi hivi nakuambia ukweli utasubiri sana, wala usidhani kuna maombi yatakufanya uache dhambi ..
NIFANYE NINI NIACHANE NA DHAMBI?? Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe, karibu tujifunze Biblia, Neno la MUNGU wetu lililo Taa na Mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Ninataka kuacha sigara, ugoro, pombe, uzinzi, kujichua na dhambi zote…sasa nimejitahidi kweli kuacha, nimeomba na kuombewa vya kutosha lakini bado ninajikuta ninarudia huu mzunguko wa dhambi. Nifanyaje niachane ..
YULE BIBI WA MAMBO YA UCHAWI, AUZAYE MATAIFA KWA UKAHABA WAKE. Nahumu 3:4-7 “Kwa sababu ya wingi wa ukahaba wa YULE KAHABA MZURI, yule bibi wa mambo ya uchawi, auzaye mataifa kwa ukahaba wake, na jamaa za watu kwa uchawi wake. [5]Tazama, mimi ni juu yako, asema BWANA wa majeshi; nami nitafunua marinda yako mbele ..
KIMBIENI KUTOKA KATI YA BABELI. Isaya 48:20 “Haya, tokeni katika Babeli, Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo; Hubirini kwa sauti ya kuimba, tangazeni haya, Yatamkeni mpaka mwisho wa dunia, semeni, BWANA amemkomboa mtumishi wake, Yakobo. Tukisoma kitabu cha Danieli tunaona kuna habari ya mfalme mmoja aliyeitwa Nebukadreza, huyu alikuwa ni mfalme katika dola ya Babeli ambayo ilikuwa ..
BALI, YEYE ASIYEJIZUIA NAFSI YAKE AMEKUFA INGAWA YU HAI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe daima, Karibu tusikie injili ya Kristo iletayo wokovu wa roho zetu. Neno la Mungu linasema katika..Timotheo 5:6 “Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai”. Ikiwa kila kitu unakiruhusu kiingie ndani ya nafsi yako, kila kitu unakitamani, kila kitu ..