ACHA DHAMBI!! ACHA DHAMBI!! Hakuna muujiza wowote wa kumfanya mtu aache dhambi, ni yeye mwenyewe aamue kuacha kabisa kwa akili zake. Unapodhamiria kuacha dhambi kwa vitendo kabisa ndipo msaada wa Mungu utakuja ndani yako na kukusadia, lakini kama unasubiri muujiza ukushukie tu hivi hivi nakuambia ukweli utasubiri sana, wala usidhani kuna maombi yatakufanya uache dhambi ..
Author : Yonas Kisambu
NIFANYE NINI NIACHANE NA DHAMBI?? Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe, karibu tujifunze Biblia, Neno la MUNGU wetu lililo Taa na Mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Ninataka kuacha sigara, ugoro, pombe, uzinzi, kujichua na dhambi zote…sasa nimejitahidi kweli kuacha, nimeomba na kuombewa vya kutosha lakini bado ninajikuta ninarudia huu mzunguko wa dhambi. Nifanyaje niachane ..
YULE BIBI WA MAMBO YA UCHAWI, AUZAYE MATAIFA KWA UKAHABA WAKE. Nahumu 3:4-7 “Kwa sababu ya wingi wa ukahaba wa YULE KAHABA MZURI, yule bibi wa mambo ya uchawi, auzaye mataifa kwa ukahaba wake, na jamaa za watu kwa uchawi wake. [5]Tazama, mimi ni juu yako, asema BWANA wa majeshi; nami nitafunua marinda yako mbele ..
KIMBIENI KUTOKA KATI YA BABELI. Isaya 48:20 “Haya, tokeni katika Babeli, Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo; Hubirini kwa sauti ya kuimba, tangazeni haya, Yatamkeni mpaka mwisho wa dunia, semeni, BWANA amemkomboa mtumishi wake, Yakobo. Tukisoma kitabu cha Danieli tunaona kuna habari ya mfalme mmoja aliyeitwa Nebukadreza, huyu alikuwa ni mfalme katika dola ya Babeli ambayo ilikuwa ..
BALI, YEYE ASIYEJIZUIA NAFSI YAKE AMEKUFA INGAWA YU HAI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe daima, Karibu tusikie injili ya Kristo iletayo wokovu wa roho zetu. Neno la Mungu linasema katika..Timotheo 5:6 “Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai”. Ikiwa kila kitu unakiruhusu kiingie ndani ya nafsi yako, kila kitu unakitamani, kila kitu ..
KAZI YAKO NI KAZI GANI? Shalom karibu tujifunze biblia. Tukisoma ile habari ya Yona, kama wengi tunavyojua Yona alitumwa na Mungu kwenda kuhubiri katika mji ule wa Ninawi uliokuwa mji mkuu wa Taifa la ASHURU ambao ni maeneo ya Iran na Iraq kwa sasa.Lakini tunasoma habari haikuwa hivyo kwa nabii YONA, badala ya kwenda NINAWI ..
YESU MCHUNGAJI MWEMA Yohana 10:11-16 “Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo. [12]Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya. [13]Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu ..
EE BABA IBRAHIMU, NIHURUMIE, UMTUME LAZARO ACHOVYE NCHA YA KIDOLE CHAKE MAJINI, AUBURUDISHE ULIMI WANGU. Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Bwana Yesu aliutoa mfano mmoja kutuonyesha maisha halisi yanayofuata baada kifo, alisema katika.. Luka 16:19 “Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, ..
MARTHA, MARTHA UNASUMBUKA NA KUFADHAIKA NA VITU VINGI. (Fahamu ni nini Bwana anahitaji kwako leo) Shalom karibu tujifunze Neno la Mungu!. tunajifunza kwa sehemu maisha ya Yesu Kristo, ambayo ni muhimu sana kwetu sisi, kwasababu ni tiba ya mambo mengi. Tunasoma Bwana wetu Yesu Kristo alikuwa akizunguka mahali na mahali, kuhubiri injili, kwa marika yote ..
OLE WAO WAKUSUDIAO MAMBO MAOVU Kuna watu wanakusudia kutenda mambo maovu wazi wazi..hata hawaogopi aliye juu. Lakini Bwana anasema itakuwa “OLE” kwa watu hawa. Mika 2:1 “Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, kwa sababu ya katika uwezo wa mikono yao”. Kumbuka watu hawa wanakusudia kabisa wenyewe kwa akili ..