Author : Yonas Kisambu

FUKUZA MAWAZO MABAYA NDANI YAKO Watu wengi wamekuwa watumwa wa zinaa kwasababu ya kukubaliana na mawazo mabaya ya zinaa yanapokuja ndani yao, hivyo wanajikuta kwa nje wanajizuia kuzini lakini kwa mioyo yao wanazini. Ni vizuri kufahamu kuwa hakuna maombi yatakayokusaidia kutoka katika huu utumwa, isipokuwa ni wewe kufukuza/kuondoa na kukataa kabisa uzinzi ndani yako. Biblia ..

Read more

JIHADHARI NA HUYU KAHABA ANAYETEMBEA MBELE YA MACHO YAKO. Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Kwa neema zake karibu tujifunze maneno ya uzima. Je! unajua kwanini Mungu anasema “Mwanangu, nipe moyo wako; Macho yako yapendezwe na njia zangu.” Mithali 23:26 “Mwanangu, nipe moyo wako; Macho yako yapendezwe na njia zangu. 27 Kwa maana ..

Read more

FAHAMU KWA UNDANI KUHUSU JINA LA YESU Nakusalimu katika jina kuu lipitalo majina yote mbinguni na duniani JINA LA YESU KRISTO, karibu tujifunze elimu ya ufalme wa Mungu. Unajua kati ya kitu chenye nguvu kwa mtu ukiacha DAMU ni JINA, mtu mwenye Jina kubwa atakuwa na nguvu nyingi za kiutawala na heshima kuliko mwingine, jina ..

Read more

WENYEJI WETU UKO MBINGUNI. Shalom mtu wa Mungu, Karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo hilo ndilo linalotufanya tuishi mpaka sasa hivi mimi na wewe. Wafilipi 3:20 “Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni; kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo; [21]atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ..

Read more

JIHADHARI NA MBWA!! Wafilipi 3:2 “Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao”. Mbwa wanaozungumziwa hapo sio wanyama, ni aina ya watu wenye tabia kama ya mbwa. Tabia mojawapo chafu waliyonayo mbwa ni umalaya, utaona mbwa mmoja anakatiza njiani anatembea na mbwa kumi wakifanya kile kitendo hadharani kabisa wala hawana cha kuogopa. Hiyo ..

Read more

SAA YA UFUFUO UMEKARIBIA!! Yohana 5:25 “Amin, amin, nawaambia, Saa inakuja, na sasa ipo, wafu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao watakuwa hai. [26]Maana kama vile Baba alivyo na uzima nafsini mwake, vivyo hivyo alimpa na Mwana kuwa na uzima nafsini mwake. [27]Naye akampa amri ya kufanya hukumu kwa sababu ni Mwana ..

Read more

MOABU AMESTAREHE TANGU UJANA WAKE. Yeremia 48:11 “Moabu amestarehe tangu ujana wake, naye ametulia juu ya sira zake, wala hakumiminwa kutoka chombo kimoja kutiwa chombo kingine, wala hakwenda kufungwa; kwa hiyo ladha yake anakaa nayo, wala harufu yake haikubadilika. [12]Basi, tazama, siku zinakuja, asema BWANA, ambazo nitampelekea wamiminao, nao watammimina, nao watamwaga vyote vilivyomo vyomboni ..

Read more

JE UMEFUNDISHWA KUPENDANA? Neno la Mungu linasema.. 1 Wathesalonike 4:9 “Katika habari ya upendano, hamna haja niwaandikie; maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana. Upendo ni jambo ambalo linahitaji darasa, sio kitu kinachotokea tu mara moja baada ya kuokoka. Baada ya kuokoka.. Roho Mtakatifu anaanza kukupitisha kwenye hili darasa la upendo, atakuletea wale watu usiowapenda..waje ..

Read more

JE WAJUA KUWA MWILI WAKO NI HEKALU LA MUNGU? Yohana 2:19 “Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha. [20]Basi Wayahudi wakasema, Hekalu hili lilijengwa katika muda wa miaka arobaini na sita, nawe utalisimamisha katika siku tatu? [21] LAKINI YEYE ALINENA HABARI ZA HEKALU LA MWILI WAKE”. Hapa Bwana Yesu alinena mwili ..

Read more

UHAI WETU UMEFICHWA PAMOJA NA KRISTO. Wakolosai 3:3 Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu. [4]Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu”. Jina la YESU KRISTO libarikiwe daima, karibu tujifunze Neno la Mungu taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Mtu anapotii ..

Read more