BALI, YEYE ASIYEJIZUIA NAFSI YAKE AMEKUFA INGAWA YU HAI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe daima, Karibu tusikie injili ya Kristo iletayo wokovu wa roho zetu. Neno la Mungu linasema katika..Timotheo 5:6 “Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai”. Ikiwa kila kitu unakiruhusu kiingie ndani ya nafsi yako, kila kitu unakitamani, kila kitu ..
Author : Yonas Kisambu
KAZI YAKO NI KAZI GANI? Shalom karibu tujifunze biblia. Tukisoma ile habari ya Yona, kama wengi tunavyojua Yona alitumwa na Mungu kwenda kuhubiri katika mji ule wa Ninawi uliokuwa mji mkuu wa Taifa la ASHURU ambao ni maeneo ya Iran na Iraq kwa sasa.Lakini tunasoma habari haikuwa hivyo kwa nabii YONA, badala ya kwenda NINAWI ..
YESU MCHUNGAJI MWEMA Yohana 10:11-16 “Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo. [12]Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya. [13]Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu ..
EE BABA IBRAHIMU, NIHURUMIE, UMTUME LAZARO ACHOVYE NCHA YA KIDOLE CHAKE MAJINI, AUBURUDISHE ULIMI WANGU. Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Bwana Yesu aliutoa mfano mmoja kutuonyesha maisha halisi yanayofuata baada kifo, alisema katika.. Luka 16:19 “Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, ..
MARTHA, MARTHA UNASUMBUKA NA KUFADHAIKA NA VITU VINGI. (Fahamu ni nini Bwana anahitaji kwako leo) Shalom karibu tujifunze Neno la Mungu!. tunajifunza kwa sehemu maisha ya Yesu Kristo, ambayo ni muhimu sana kwetu sisi, kwasababu ni tiba ya mambo mengi. Tunasoma Bwana wetu Yesu Kristo alikuwa akizunguka mahali na mahali, kuhubiri injili, kwa marika yote ..
OLE WAO WAKUSUDIAO MAMBO MAOVU Kuna watu wanakusudia kutenda mambo maovu wazi wazi..hata hawaogopi aliye juu. Lakini Bwana anasema itakuwa “OLE” kwa watu hawa. Mika 2:1 “Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, kwa sababu ya katika uwezo wa mikono yao”. Kumbuka watu hawa wanakusudia kabisa wenyewe kwa akili ..
USIIHARIBU SIKU YAKO. Ukitaka kujiharibia mwenyewe siku yako, amuka asubuhi na mapema, anza kufanya mambo yako badala ya kuanza siku yako na Mungu. Bwana Yesu alikuwa na desturi ya kuamka asubuhi na mapema na kuanza siku yake na Baba wa mbinguni kabla hajafanya jambo lolote. Tunasoma.. Marko 1:35 “Hata alfajiri na mapema sana akaondoka, akatoka ..
JE WEWE NI CHOMBO KIPI?? Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe sana, karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu wetu lililo taa na mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). 2 Timotheo 2:20-21 “Basi katika nyumba kubwa havimo vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali na vya mti, na vya udongo; vingine vina heshima, vingine havina. [21]Basi ..
SAUTI YA SHUKRANI NI SADAKA MBELE ZA MUNGU. Yona 2:9 “Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani; Nitaziondoa nadhiri zangu. Wokovu hutoka kwa BWANA”. Shalom, mtu wa Mungu karibu tujifunze Neno la Mungu, Taa iongozayo miguu yetu..na mwangaza wa njia zetu…Leo tutajifunza juu ya Kumshukuru Mungu kwa sauti tu. Unaweza usiwe na kitu cha ..
YONA NDANI YA MERIKEBU Yona 1:5 “Basi wale mabaharia wakaogopa, kila mtu akamwomba mungu wake; nao wakatupa baharini shehena iliyokuwa merikebuni, ili kuupunguza uzito wake. LAKINI YONA ALIKUWA AMESHUKA HATA PANDE ZA NDANI ZA MERIKEBU; AKAJILAZA, AKAPATA USINGIZI”. Yona alikuwa mmoja wa manabii wa Israeli wakati wa utawala wa Yeroboamu Mfalme wa Israeli, ambaye Mungu ..