Author : Yonas Kisambu

TOKA KATIKA GEREZA LA DHAMBI  Siku zote mtu anayeishi katika dhambi (ambaye hajaokoka), yupo katika kifungo cha uovu. Matendo ya Mitume 8:23 “Kwa maana nakuona u katika uchungu kama nyongo, na tena u katika kifungo cha uovu”. Na kama tunavyojua wafungwa wanafungwa gerezani ili watumikie vifungo vyao. Na kila mtu ana kifungo chake kulingana kosa ..

Read more

Usijifiche chini ya maneno yasiyo kweli. Isaya 28:15-19 “Kwa sababu mmesema, Tumefanya agano na mauti, tumepatana na kuzimu; pigo lifurikalo litakapopita, halitatufikia sisi; kwa maana TUMEFANYA MANENO YA UONGO KUWA KIMBILIO LETU, TUMEJIFICHA CHINI YA MANENO YASIYO KWELI; [16]kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, ..

Read more

JE! UNAO UZIMA WA MILELE? Siyo dhambi kuwa na nyumba nzuri, gari nzuri, biashara kubwa, elimu kubwa, mke/mume mzuri, watoto wazuri, na mafanikio yote ya hapa duniani, kwani biblia pia inakubaliana na mafanikio hayo.. 3Yohana 1:2,9 “Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa, na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo”. Na pia wapo ..

Read more

UNABII ULIO MBIONI KUTIMIA HIVI KARIBUNI!! Ezekieli 38:14 “Basi, mwanadamu, tabiri, umwambie Gogu, Bwana MUNGU asema hivi; Katika siku ile watu wangu, Israeli, watakapokaa salama, hutapata habari? [15]Nawe utakuja kutoka mahali pako, kutoka pande za mwisho za kaskazini, wewe, na watu wa kabila nyingi pamoja nawe, wote wamepanda farasi, kusanyiko kubwa, na jeshi kuu; [16]nawe ..

Read more

MTAFAKARINI SANA  Waebrania 12:3 ”Maana MTAFAKARINI SANA yeye aliyeyastahimili mapingamizi makuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu”. Nakusalimu katika Jina kuu lipitalo majina yote mbinguni na duniani, jina Bwana Yesu Krosto. Karibu tujifunze Neno la Mungu kwa kina. Tumeambiwa “TUMTAFAKARI SANA” huyu YESU tunayemtaja kila siku. Huyu ..

Read more

JE UTAJISIKIAJE SIKU ILE? Shalom.Jina la Bwana wetu Yesu Krito libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia..Je unajua kuwa kuna siku Kristo atakuja kuwachukua wateule wake? Na kwenda nao mbinguni?..Je unajua watakaokwenda mbinguni ni wachache sana?…Biblia inasema njia ile imesonga na mlango ni mwembamba?.. Mathayo 7:14 “ Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ..

Read more

NAYE MWENYE MOYO MKUU MIONGONI MWA MASHUJAA ATAKIMBIA UCHI SIKU ILE. Amosi 2:13 “Tazameni, nitawalemea ninyi, Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda. [14]Naye apigaye mbio atapotewa na kimbilio; Wala aliye hodari hataongeza nguvu zake; Wala shujaa hatajiokoa nafsi yake; [15]Wala apindaye upinde hatasimama; Wala aliye mwepesi wa miguu hataokoka; Wala apandaye farasi hatajiokoa nafsi yake; [16]Naye mwenye ..

Read more

TAZAMA MWANA-KONDOO WA MUNGU AICHUKUAYE DHAMBI YA ULIMWENGU. Jina la Bwana na mwokozi wetu, Mkuu wa uzima, Mfalme wa wafalme, Yesu Kristo libarikiwe. Leo tutaangalia ni kwa jinsi gani BWANA YESU alichukua dhambi ya ulimwengu kama Yohana Mbatizaji alivyomnena katika.. Yohana 1:29 “Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, ..

Read more

NINI HILI ULILOLIFANYA? Nakusalimu katika jina kuu sana lipitalo majina yote la Bwana wetu Yesu Kristo, Nakukaribisha katika kujifunza maneno ya uzima. Tunasoma, kitabu cha mwanzo baada ya Adamu na Hawa kwenda kinyume na maagizo ya Mungu kwa kulila lile tunda, tunasoma Mungu aliwatembelea bustanini wakati wa jioni kama ilivyokuwa kawaida yake, Lakini siku hiyo ..

Read more

FANYA AGANO NA MACHO YAKO Ayubu 31:1 “Nilifanya agano na macho yangu; Basi nawezaje kumwangalia msichana? Ayubu, ingawa alikuwa ameoa, alijua kwamba macho angeweza kuona au kuangalia vitu ambavyo vinaweza kuathiri uhusiano wake na Mungu. Akaamua kuweka agano kati ya yeye na macho yake yasitazame mabaya. Agano ni makubaliano, mkataba wa kisheria baina ya pande mbili. ..

Read more