BWANA ASUBUHI UTAISIKIA SAUTI YANGU Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Na leo tutajifunza umuhimu wa kuamka asubuhi na mapema na kuanza siku na Bwana. Moja ya jambo lililomfanya Daudi aupendeze moyo wa Mungu ni upendo aliokuwanayo kwa Mungu wake. Japo Daudi ..
Author : Yonas Kisambu
LANGO HILI LITAFUNGWA MUDA WOWOTE!! Ezekieli 44:1-2 Kisha akanirudisha kwa njia ya lango lile la nje, la mahali patakatifu lililoelekea upande wa mashariki; nalo lilikuwa limefungwa. [2]BWANA akaniambia, LANGO HILI LITAFUNGWA, HALITAFUNGULIWA, wala mtu awaye yote hataingia kwa lango hili, kwa maana BWANA, Mungu wa Israeli, ameingia kwa hilo; basi kwa sababu hiyo litafungwa. Kama ..
ILE SIKU KUU IMEKARIBIA Siku kuu ni siku ambayo ni KUU kuliko siku zingine, ni siku ambayo ni maalumu kwa ajili ya tukio fulani la kipekee sana.. mfano siku ya harusi huitwa siku kuu, siku ya maadhimisho ya jambo fulani la kipekee lililowahi kutokea nyuma huitwa siku kuu, Halikadhalika kuna siku moja inayokuja huko mbeleni… ..
NIMEPEWA MAMLAKA YOTE MBINGUNI NA DUNIANI Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Umewahi kusoma na kutafakari mara mbili mbili kauli hii aliyoisema Bwana Yesu muda mfupi kabla hajapaa kwenda mbinguni. Bwana Yesu aliwatokea wanafunzi wake ambao ndio sisi leo, akawaambia.. “Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, NIMEPEWA MAMLAKA YOTE ..
KUWA MKRISTO KWELI KWELI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Kuna kuwa mkristo, lakini pia kuna kuwa mkristo kweli kweli. Bwana Yesu alipomuona Nathanieli alimtambua kuwa ni mwisraeli kweli kweli, maana yake kulikuwa na waisraeli wengi, lakini katikati ya hao waisraeli kuna waisraeli kweli kweli ambao ndio hao wakina Nathanieli. Yohana 1:45 “Filipo akamwona Nathanaeli, ..
RUPTURE!! RUPTURE!! The rupture is the next event the church is waiting for. 𝙄𝙏 𝙒𝙄𝙇𝙇 𝙃𝘼𝙋𝙋𝙀𝙉 𝙄𝙉 𝘼 𝙈𝙊𝙈𝙀𝙉𝙏.. 𝙄𝙏 𝙃𝘼𝙎 𝙉𝙊 𝙎𝙀𝘾𝙊𝙉𝘿 𝘽𝘼𝙏𝘾𝙃. I am listening every moment, For the mighty trumpent sound What a time we’ll have together. When the saints will leave the ground! All our toiling will be over!, All our sorrow ..
KAMA MIMI NIISHIVYO ASEMA BWANA.Karibu tuyatafakari maandiko matakatifu. Kwa wale wasomaji wa biblia, mara nyingi sana tumekutana na maneno kama haya “Kama mimi niishivyo, Asema Bwana.” Au mahali pengine imeandikwa “Kama Bwana aishivyo”. Nini maana ya maneno haya? ‘‘Kama mimi niishivyo, ASEMA BWANA” Neno hili mara kadhaa limeonekana wakati BWANA akitoa hukumu Fulani kwa mtu ..
JE NI ALAMA GANI UMETIWA? Shalom. Karibu tujifunze biblia. Ezekieli 9:3-4 Na huo utukufu wa Bwana wa Israeli ulikuwa umepanda juu kutoka kwa kerubi, ambaye ulikuwa juu yake, mpaka kizingiti cha nyumba; akamwita mtu yule aliyekuwa amevaa bafta, mwenye kidau cha wino cha mwandishi kiunoni. [4]BWANA akamwambia, Pita kati ya mji, kati ya Yerusalemu, UKATIE ..
ALAMA KWA WATEULE WA MUNGU KABLA YA MAANGAMIZI. Jina kuu la BWANA YESU mkuu wa uzima libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Kabla maangamizi hayajaja Mungu huwa anawatenga waovu na wema katikati ya watu wake kwa kuwatia ALAMA. Katika biblia tunasoma, kuna wakati ulifika maovu yalizidi sana katika nyumba ya Israeli ndipo Mungu akamuonyesha Ezekieli maono ya ..
YULE TAJIRI NAYE AKAFA, AKAZIKWA. Luka 16:22 “Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. YULE TAJIRI NAYE AKAFA, AKAZIKWA”. Nilikuwa natafakari kwanini biblia imetumia hayo maneno “AKAFA, AKAZIKWA“, tofauti na yule maskini ambaye alipokufa “AKACHUKULIWA NA MALAIKA.” Ndugu, fahamu kuwa ukifa na dhambi usifikiri kuwa malaika watakatifu watakuchukua kwa furaha…ukifa unazikwa ..