Author : Yonas Kisambu

USIDANGANYWE NA DHAMBI Waebrania 3:12-13 “Angalieni, ndugu zangu, usiwe katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutokuamini, kwa kujitenga na Mungu aliye hai. [13]Lakini mwonyane kila siku, maadamu iitwapo leo; ili mmoja wenu asifanywe mgumu kwa UDANGANYIFU WA DHAMBI. Dhambi huwa inadanganya, inaweza ikakuahidi kuwa utapata mafanikio baada ya kuiba, baada ya kusema uongo, baada ya ..

Read more

HUKUMU IKAWEKWA NA VITABU VIKAFUNGULIWA. Danieli 7:9 “Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao. [10]Mto kama wa moto ukatoka ukapita mbele zake; ..

Read more

KUBALI KUIPOTEZA NAFSI YAKO ILI UIPATE Shalom. Karibu tujifunze hekima ya kiMungu, Neno lake lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zaburi 119:105). Ukichunguza kwa umakini zaidi jinsi mambo yalivyo, utagundua kuwa hekima ya dunia inavyoenenda ni tofauti kabisa na wakristo wanavyopaswa kuenenda. Ndio maana Bwana Yesu alituambia maneno haya ambayo tunayasoma ..

Read more

TABIA YA ROHO MTAKATIFU KWA MWAMINI MPYA. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lisifiwe daima, Ni siku nyingine tena Bwana aliyotupa kwa neema zake na leo tutaangalia tabia za Roho Mtakatifu katika kumtakasa mwamini katika hatua za kwanza. Kumbuka mwamini ni mtu aliyemwamini Bwana Yesu na kuamua kumfuata kweli kweli. (Kwa ufupi mtu aliyezaliwa mara ..

Read more

BWANA ASUBUHI UTAISIKIA SAUTI YANGU  Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Na leo tutajifunza umuhimu wa kuamka asubuhi na mapema na kuanza siku na Bwana. Moja ya jambo lililomfanya Daudi aupendeze moyo wa Mungu ni upendo aliokuwanayo kwa Mungu wake. Japo Daudi ..

Read more

LANGO HILI LITAFUNGWA MUDA WOWOTE!! Ezekieli 44:1-2 Kisha akanirudisha kwa njia ya lango lile la nje, la mahali patakatifu lililoelekea upande wa mashariki; nalo lilikuwa limefungwa. [2]BWANA akaniambia, LANGO HILI LITAFUNGWA, HALITAFUNGULIWA, wala mtu awaye yote hataingia kwa lango hili, kwa maana BWANA, Mungu wa Israeli, ameingia kwa hilo; basi kwa sababu hiyo litafungwa. Kama ..

Read more

ILE SIKU KUU IMEKARIBIA Siku kuu ni siku ambayo ni KUU kuliko siku zingine, ni siku ambayo ni maalumu kwa ajili ya tukio fulani la kipekee sana.. mfano siku ya harusi huitwa siku kuu, siku ya maadhimisho ya jambo fulani la kipekee lililowahi kutokea nyuma huitwa siku kuu, Halikadhalika kuna siku moja inayokuja huko mbeleni… ..

Read more

  NIMEPEWA MAMLAKA YOTE MBINGUNI NA DUNIANI Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Umewahi kusoma na kutafakari mara mbili mbili kauli hii aliyoisema Bwana Yesu muda mfupi kabla hajapaa kwenda mbinguni. Bwana Yesu aliwatokea wanafunzi wake ambao ndio sisi leo, akawaambia.. “Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, NIMEPEWA MAMLAKA YOTE ..

Read more

KUWA MKRISTO KWELI KWELI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Kuna kuwa mkristo, lakini pia kuna kuwa mkristo kweli kweli. Bwana Yesu alipomuona Nathanieli alimtambua kuwa ni mwisraeli kweli kweli, maana yake kulikuwa na waisraeli wengi, lakini katikati ya hao waisraeli kuna waisraeli kweli kweli ambao ndio hao wakina Nathanieli. Yohana 1:45 “Filipo akamwona Nathanaeli, ..

Read more

RUPTURE!! RUPTURE!!  The rupture is the next event the church is waiting for. 𝙄𝙏 𝙒𝙄𝙇𝙇 𝙃𝘼𝙋𝙋𝙀𝙉 𝙄𝙉 𝘼 𝙈𝙊𝙈𝙀𝙉𝙏.. 𝙄𝙏 𝙃𝘼𝙎 𝙉𝙊 𝙎𝙀𝘾𝙊𝙉𝘿 𝘽𝘼𝙏𝘾𝙃. I am listening every moment, For the mighty trumpent sound What a time we’ll have together. When the saints will leave the ground! All our toiling will be over!, All our sorrow ..

Read more