LAKINI WAKATI WA TAABU WATASEMA SIMAMA, UTUOKOE. Ulishawahi kuwa na watu ambao wanakutafuta tu wakati wa shida ili uwasaidie..kisha baada ya hapo hawana habari tena na wewe, mpaka tena wapate shida wanakutafuta, kama ndio, basi kuna hali Fulani ulijisikia ambayo sio nzuri, ni kweli wapo ambao mazingira yanawabana washindwe kukutafuta nyakati nyingine, lakini wapo ambao ..
Author : Yonas Kisambu
WAMENIACHA MIMI NILIYE CHEMCHEMI YA MAJI YA UZIMA, WAKAJICHIMBIA MABIRIKA YAO. Yeremia 2:13 “Kwa maana watu wangu hawa wametenda maovu mawili; wameniacha mimi, niliye chemchemi ya maji ya uzima, wamejichimbia mabirika, mabirika yavujayo, yasiyoweza kuweka maji”. Ipo tofauti kati ya chemchemi na birika, chemchemi ni chanzo cha asili ambacho hutoa maji yake yenyewe, haihitaji kuchimbwa, ..
TATIZO LA WATU WENGI LEO!! Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, libarikiwe sana. Karibu tujifunze Biblia, leo kwa Neema za Bwana tutajifuza juu ya Namna ya kutoka katika uvuguvugu wa kidunia. Huwa inauma sana unapokutana na mtu na unamwuliza umempa Bwana maisha yako na anakujibu NDIO, na unaendelea kumwuliza je! Bwana akija leo una uhakika ..
HATARI YA KUWA VUGUVUGU. Bwana Yesu alisema kupitia Mtume Yohana.. Ufunuo 3:14 “Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu. 15 Nayajua matendo yako, YA KUWA HU BARIDI, WALA HU MOTO; ingekuwa HERI kama ungekuwa baridi au moto16 ..
KILA MMOJA WETU ANAWAJIBU WA KUMTUMIKIA MUNGU. Watu wengi wanadhani kumtumikia Mungu ni kazi ya watu Fulani, labda walioitwa mahususi kwa ajili hiyo. Na wengine wanafikiri hawawezi kumtumikia Mungu kutokana na sababu mbali mbali, mfano kutokuwa na elimu ya kutosha, kutokuwa na fedha, au kwasababu ya udhaifu waliyonayo. Lakini leo natumai utapata kitu katika somo ..
FUNGA KWA NAMNA HII ILI UPATE KILICHO BORA ZAIDI. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lisifiwe daima. Karibu tujifunze habari za ufalme wa Mungu. Kama tunavyojua zipo gharama za kutafuta kitu, katika maisha ya kawaida hakuna mtu yeyote anayetafuta elimu ya kidunia katika hatua za awali akajihusisha na mambo ya ulimwengu huu, kwanza kabisa wengi ..
TUNATAZAMIA MBINGU MPYA NA NCHI MPYA 2Petro 3:13 “Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake”. Ipo mbingu mpya na nchi mpya ambayo wana wa Mungu wameandaliwa, ni nchi ya raha ya milele. Isaya 65:17 Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya ..
Silaha anazotumia shetani kumaliza nguvu za mwamini. Mwamini ni mtu aliyemwamini Bwana Yesu Kristo na kuzaliwa mara ya pili (kuokoka). Sasa ifuatayo ni silaha ambayo shetani anaitumia kumaliza nguvu za rohoni kwa mwamini (zipo silaha nyingi lakini leo tutazame baadhi tu). 1.Uzinzi na uasherati. Unapofanya uzinzi au uasherati baada ya kuzaliwa mara ya pili, au ..
KWANINI UNAENDA KANISANI? Jina kuu la Mwokozi YESU libarikiwe sana, karibu tujifunze maneno ya uzima wa roho zetu. Katika siku hizi za mwisho ukristo umechukuliwa kama pango la kujificha na maovu pamoja na kutimiza matakwa Fulani fulani tu, kiasi cha kwamba kila mtu anaweza kujiita mkristo tu na kwenda kujiandikisha kwenye kanisa Fulani..lakini hata hana ..
ENYI WANA WA MWANAMKE MCHAWI. Isaya 57:3 “Lakini ninyi karibuni hapa, enyi wana wa mwanamke mchawi, uzao wa mzinzi na kahaba. [4]Mnafanya dhihaka yenu juu ya nani? Mmepanua vinywa vyenu, na kutoa ndimi zenu? Je, ninyi si wana wa uasi, uzao wa uongo; [5]ninyi mnaowasha tamaa zenu kati ya mialoni, chini ya kila mti ..