KUBALI KUIPOTEZA NAFSI YAKO ILI UIPATE Shalom. Karibu tujifunze hekima ya kiMungu, Neno lake lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zaburi 119:105). Ukichunguza kwa umakini zaidi jinsi mambo yalivyo, utagundua kuwa hekima ya dunia inavyoenenda ni tofauti kabisa na wakristo wanavyopaswa kuenenda. Ndio maana Bwana Yesu alituambia maneno haya ambayo tunayasoma ..
Author : Yonas Kisambu
TABIA YA ROHO MTAKATIFU KWA MWAMINI MPYA. Jina la Bwana wetu Yesu Kristo lisifiwe daima, Ni siku nyingine tena Bwana aliyotupa kwa neema zake na leo tutaangalia tabia za Roho Mtakatifu katika kumtakasa mwamini katika hatua za kwanza. Kumbuka mwamini ni mtu aliyemwamini Bwana Yesu na kuamua kumfuata kweli kweli. (Kwa ufupi mtu aliyezaliwa mara ..
BWANA ASUBUHI UTAISIKIA SAUTI YANGU Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Na leo tutajifunza umuhimu wa kuamka asubuhi na mapema na kuanza siku na Bwana. Moja ya jambo lililomfanya Daudi aupendeze moyo wa Mungu ni upendo aliokuwanayo kwa Mungu wake. Japo Daudi ..
LANGO HILI LITAFUNGWA MUDA WOWOTE!! Ezekieli 44:1-2 Kisha akanirudisha kwa njia ya lango lile la nje, la mahali patakatifu lililoelekea upande wa mashariki; nalo lilikuwa limefungwa. [2]BWANA akaniambia, LANGO HILI LITAFUNGWA, HALITAFUNGULIWA, wala mtu awaye yote hataingia kwa lango hili, kwa maana BWANA, Mungu wa Israeli, ameingia kwa hilo; basi kwa sababu hiyo litafungwa. Kama ..
ILE SIKU KUU IMEKARIBIA Siku kuu ni siku ambayo ni KUU kuliko siku zingine, ni siku ambayo ni maalumu kwa ajili ya tukio fulani la kipekee sana.. mfano siku ya harusi huitwa siku kuu, siku ya maadhimisho ya jambo fulani la kipekee lililowahi kutokea nyuma huitwa siku kuu, Halikadhalika kuna siku moja inayokuja huko mbeleni… ..
NIMEPEWA MAMLAKA YOTE MBINGUNI NA DUNIANI Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Umewahi kusoma na kutafakari mara mbili mbili kauli hii aliyoisema Bwana Yesu muda mfupi kabla hajapaa kwenda mbinguni. Bwana Yesu aliwatokea wanafunzi wake ambao ndio sisi leo, akawaambia.. “Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, NIMEPEWA MAMLAKA YOTE ..
KUWA MKRISTO KWELI KWELI. Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Kuna kuwa mkristo, lakini pia kuna kuwa mkristo kweli kweli. Bwana Yesu alipomuona Nathanieli alimtambua kuwa ni mwisraeli kweli kweli, maana yake kulikuwa na waisraeli wengi, lakini katikati ya hao waisraeli kuna waisraeli kweli kweli ambao ndio hao wakina Nathanieli. Yohana 1:45 “Filipo akamwona Nathanaeli, ..
RUPTURE!! RUPTURE!! The rupture is the next event the church is waiting for. 𝙄𝙏 𝙒𝙄𝙇𝙇 𝙃𝘼𝙋𝙋𝙀𝙉 𝙄𝙉 𝘼 𝙈𝙊𝙈𝙀𝙉𝙏.. 𝙄𝙏 𝙃𝘼𝙎 𝙉𝙊 𝙎𝙀𝘾𝙊𝙉𝘿 𝘽𝘼𝙏𝘾𝙃. I am listening every moment, For the mighty trumpent sound What a time we’ll have together. When the saints will leave the ground! All our toiling will be over!, All our sorrow ..
KAMA MIMI NIISHIVYO ASEMA BWANA.Karibu tuyatafakari maandiko matakatifu. Kwa wale wasomaji wa biblia, mara nyingi sana tumekutana na maneno kama haya “Kama mimi niishivyo, Asema Bwana.” Au mahali pengine imeandikwa “Kama Bwana aishivyo”. Nini maana ya maneno haya? ‘‘Kama mimi niishivyo, ASEMA BWANA” Neno hili mara kadhaa limeonekana wakati BWANA akitoa hukumu Fulani kwa mtu ..
JE NI ALAMA GANI UMETIWA? Shalom. Karibu tujifunze biblia. Ezekieli 9:3-4 Na huo utukufu wa Bwana wa Israeli ulikuwa umepanda juu kutoka kwa kerubi, ambaye ulikuwa juu yake, mpaka kizingiti cha nyumba; akamwita mtu yule aliyekuwa amevaa bafta, mwenye kidau cha wino cha mwandishi kiunoni. [4]BWANA akamwambia, Pita kati ya mji, kati ya Yerusalemu, UKATIE ..