KUTOA KAMA SEHEMU YA UTUMISHI. Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maandiko. Sisi kama wakristo, ili tuweze kukua kutoka utukufu hadi utukufu, na imani hadi imani, hatuna budi kuyatafakari maneno ya Mungu sana kwa kadiri tuwezavyo. Leo tutajifunza umuhimu wa kumtumikia Mungu kwa njia ya matoleo. Watu wengi wamekariri ..
Author : Yonas Kisambu
ONDOKA !!! Kuna dhambi zingine huwezi ukaviacha mpaka uamue kuchukua hatua ya kuondoka katika hiyo dhambi kwa miguu yako kabisa. Kwa mfano huwezi kusema umetubu na bado ukaendelea kukaa hapo kijiweni na wahuni, au ukaendelea kukaa hapo kilabuni, au ukaendelea kukaa na huyo mwanaume/mwanamke unayezini naye,…hapo haijalishi utaomba toba na kusalishwa sala ya toba mara ..
MAOMBI YA KUTANGAZA Shalom. Karibu tujifunze somo la Maombi. Maombi yamegawanyika katika sehemu kuu tatu 1) kushukuru 2) kuwasilisha mahitaji kwa Mungu 3) Kutangaza. Leo tutajifunza kuhusu Maombi ya KUTANGAZA. Maombi ya kutangaza ni yapi? Haya ni maombi ya kimamlaka…Maombi haya yanakazi moja tu nayo ni KUTUEPUSHA NA MAJARIBU. Sasa kabla ya kuingia kujifunza juu ..
TUPENI MAFUTA YENU KIDOGO, MAANA TAA ZETU ZINAZIMIKA. Jina kuu lipitalo majina yote mbinguni na duniani, jina la YESU KRISTO WA NAZARETHI litukuzwe daima. Karibu tujifunze habari njema, Neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu. Leo kwa msaada wa Roho Mtakatifu tutajifunza uhalisia wa mambo yalivyo miongoni mwa wakristo wa leo, Bwana ..
ISRAELI NI SAA YA MUNGU Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe sana, karibu tuyatafakari maandiko, ili tuone jinsi mwisho ulivyokaribu sana kuliko wengi tunavyodhania. Maandiko yanasema hakuna mtu aijuaye Siku na saa ya kurudi kwa Bwana, hata malaika mbinguni hawajui. Lakini leo nataka nikuonyeshe katika maandiko hayo hayo, kuwa kalenda ya Mungu kuhusu siku za ..
AKAWAULIZA, BASI MLIBATIZWA KWA UBATIZO GANI? Matendo ya Mitume 19:1-5 “Ikawa, Apolo alipokuwa Korintho, Paulo, akiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika Efeso; akakutana na wanafunzi kadha wa kadha huko; [2]akawauliza, Je! Mlipokea Roho Mtakatifu mlipoamini? WAKAMJIBU, LA, HATA KUSIKIA KWAMBA KUNA ROHO MTAKATIFU HATUKUSIKIA. [3] AKAWAULIZA, BASI MLIBATIZWA KWA UBATIZO GANI? Wakasema, Kwa ..
NI INJILI GANI UNAZOZIPENDA KUZISIKILIZA? Siku hizi za mwisho kuna injili nyingi sana, kuna injili ya kweli lakini pia ipo injili ya uongo. Injili ya kweli ni ile inayopeleka mtu uzimani na ile nyingine inawafanya watu waupende huu ulimwengu ambao unaenda kuisha hivi karibuni. Na cha kuhuzunisha, watu wengi wanaikimbilia injili hizi za uongo zisizo ..
FAHAMU KUHUSU UFUFUO WA UZIMA NA WA HUKUMU. Shalom, Mtu wa Mungu karibu tujifunze Injili, uweza wa Mungu uuletao wokovu. Bwana Yesu alisema maneno haya.. Yohana 5: 25 “Amin, amin, nawaambia, SAA INAKUJA, NA SASA IPO, wafu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao watakuwa hai. 26 Maana kama vile Baba alivyo na ..
TUPO UKINGONI MWA NYAKATI Shalom ndugu, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe milele. Nakukaribisha tuyatafakari kwa pamoja maneno ya uzima, maadamu rehema zake ni mpya kila siku asubuhi(Maombolezo 3:22-23). Leo tutajifunza tena jinsi ule mwisho wa mambo yote ulivyokaribia sana. Watu wengi wanajua tunaishi katika siku za mwisho.. hata watoto wadogo wanajua, hata wapagani ..
KWANINI KIZAZI HIKI HAKITAPITA !! Kwasababu Bwana mwenyewe alisema.. “Amin, nawaambia, KIZAZI HIKI HAKITAPITA, hata hayo yote yatakapotimia. 35 Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe”. (Mathayo24:34-35) Hichi kizazi alichokizungumzia Bwana hapa sio kile kizazi cha akina Petro… kwasababu kile kilishapita miaka 2000 iliyopita. Hivyo kizazi alichokuwa anazungumzia hapa ni kile kilichoshuhudia mtini ..