FANYA AGANO NA MACHO YAKO Ayubu 31:1 “Nilifanya agano na macho yangu;Β Basi nawezaje kumwangalia msichana? Ayubu, ingawa alikuwa ameoa, alijua kwamba macho angeweza kuona au kuangalia vitu ambavyo vinaweza kuathiri uhusiano wake na Mungu. Akaamua kuweka agano kati ya yeye na macho yake yasitazame mabaya. Agano ni makubaliano, mkataba wa kisheria baina ya pande mbili. ..
Author : Yonas Kisambu
LABDA WATASIKIA NA KUGHAIRI NJIA ZAO MBAYA. Jina la Bwana Yesu libarikiwe karibu tujifunze habari njema. Kabla Mungu kuleta mabaya kwa mtu au taifa Fulani huwa anatanguliza kwanza kumuonya yule mtu au lile taifa, kwasababu ni Mungu mwenye huruma na upendo hapendi kuwatesa wanadamu. Maombolezo 3:33 “Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.Wala kuwahuzunisha”. Kwasababu hiyo ..
ROHO YA YEZEBELI IMEBEBA KIBURI. Tabia nyingine ya hii roho ya Yezebeli ukiacha uzinzi, uchawi na unabii wa uongo, tabia nyingine aliyobeba ni kiburi. Roho ya YEZEBELI ina tabia ya kushindana na Roho ya kweli ya Mungu.. Ndio maana utaona Malkia Yezebeli katika Uzinzi wake, na uchawi wake na unabii wake wa uongo, hakuwahi kamwe ..
LAKINI BWANA HAKUWAPA MOYO WA KUJUA. Kumbukumbu la Torati 29:1 “Musa akawaita Israeli wote akawaambia, Mmeyaona yote BWANA aliyomfanya Farao katika nchi ya Misri mbele ya macho yenu, yeye na watumwa wake wote, na nchi yake yote; [3]yale majaribu makuu yaliyoyaona macho yako; hizo ishara, na ile miujiza mikuu; [4]lakini BWANA hakuwapa moyo wa kujua, ..
WATU HAWA NI WATU WA DUNIA HII TU. 1Yohana 4:5 “HAO NI WA DUNIA; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia [6]Sisi twatokana na Mungu. YEYE AMJUAYE MUNGU ATUSIKIA; YEYE ASIYETOKANA NA MUNGU HATUSIKII. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu. Ni vizuri tufahamu wana wa Mungu kuwa hapa duniani tupo ..
Kwanini wengi leo wanashindwa na dhambi ya uasherati? Fahamu mambo manne yanayochochea uzinzi/uasherati ndani ya mtu. Kwanza ni vizuri kufahamu kuwa shetani hana amri au mamlaka ya kumlazimisha mtu afanye uasherati na dhambi zingine kwa ulazima, kama ingekuwa hivyo, basi shetani angehukumiwa mwenyewe katika ziwa la moto,…lakini shetani anachokifanya ni kumshawishi tu mtu aingie mkataba ..
VAA MAVAZI YA KUJISTIRIΒ Neno la Mungu linasema.. 1Timotheo 2:9 “Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa MAVAZI YA KUJISTIRI, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; [10]bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu”. Ili tujue mavazi ..
SIKU ILE NI SIKU YA FUJO Ezekieli 7:5 “Bwana MUNGU asema hivi; Ni jambo baya, jambo baya la namna ya peke yake; angalia, linakuja. [6]Mwisho umekuja, mwisho huu umekuja; unaamka ukupate; angalia, unakuja. [7]Ajali yako imekujia, wewe ukaaye katika nchi hii; majira yamewadia, siku ile inakaribia; SIKU YA FUJO, wala si ya shangwe milimani. [12]Majira ..
REMEMBER ππ’π§βπ¦ πͺπππ: Luke 17:28-32 KJV “Likewise also as it was in the days of Lot; they did eat, they drank, they bought, they sold, they planted, they builded; [29] but the same day that Lot went out of Sodom it rained fire and brimstone from heaven, and destroyed them all. [30] Even thus shall ..
IN ETERNITY THERE IS NO DECISION MAKING. Praise the name of our Lord Jesus Christ. I wish you could understand, that in eternity there is no decision making, in eternity there is no option, you cannot say that I choose to do this and this, I give my life to Jesus Christ now or I ..