Author : Yonas Kisambu

LIPO LA KUJIFUNZA KWA WALE WAZALISHA WA KIEBRANIA Masomo maalumu kwa waajiriwa/wafanyakazi Nakusalimu kwa jina la Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Ikiwa wewe ni mfanyakazi/mwajiriwa, basi leo utajifunza kitu kwa habari hii tunayoenda kuisoma ambayo inahusu wale wazalisha wa Kiebrania..na jambo hili ukilitendea kazi katika ..

Read more

MAKANISA SABA NA BIBI ARUSI WA KRISTO Jina la Bwana Yesu mkuu wa uzima libarikiwe milele na milele. Karibu tujifunze habari njema. Lakini kabla hatujaendelea mbele zaidi, nikuulize swali hili ndugu yangu, Je wewe ni bibi arusi wa Kristo? Nafahamu bila shaka utajibu ndiyo, lakini je unafahamu bibi arusi safi wa Kristo anatakiwa aweje? Huu ..

Read more

Ficha watoto wako ndani ya safina  Safina ni nini? Ni chombo cha majini kilichotumika mahususi kwa ukombozi. Ni mfano wa meli iliyotumika kuokoa watu/wanyama kutoka katika maangamizi fulani. Kwamfano katika biblia tunaona Nuhu aliagizwa atengeneze safina, ambayo ataingia yeye pamoja na familia yake, na wanyama wa nchi. Lakini pia wakati Musa anazaliwa, tunaona wazazi wake ..

Read more

Nini tunajifunza kwa Tamari Tamari ni mwanamke ambaye tunamsoma katika agano la kale, alikuwa ni mkwewe Yuda mwana wa Yakobo. Mwanzo 38:1 Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira. 2 Yuda akaona huko binti wa mtu Mkanaani, jina lake Shua. Akamtwaa, akaingia kwake. 3 Naye akapata mimba, ..

Read more

NUNUA SHAMBA LAKO IWE URITHI KWA WATOTO WAKO NA MAHALI PA KUZIKIA. Je! Unalo shamba la kuzikia? Mwanzo 23:3 Akaondoka Ibrahimu kutoka mbele ya maiti wake, akasema na wazawa wa Hethi, akinena, 4 Mimi ni mgeni, ninatembea kwenu; nipeni mahali pa kuzikia kwenu, pawe pangu, nimzike maiti wangu atoke mbele yangu. 5 Wazawa wa Hethi ..

Read more

BABELI MKUU MAMA WA MAKAHABA Jina la Bwana YESU Mfalme wa Wafalme na Mkuu wa Uzima libarikiwe daima. Karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ni taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Siku ya leo tutajifunza kwa ufupi kuhusu siri ya uasi iliyojificha ndani ya kanisa, na tunapozungumzia siri ya uasi tunalenga ile ..

Read more

MADHARA YA ULEVI (Sehemu ya pili) Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu katika mwendelezo wa somo letu sehemu ya pili. Leo kwa neema za Mungu tutajifunza madhara ya ulevi ndani ya kanisa. Tunaposema ulevi ndani ya kanisa..hatulengi ule ulevi wa nje/mwilini kama tulivyoona katika sehemu ya kwanza bali tunalenga ulevi wa rohoni. ..

Read more

MADHARA YA ULEVI (Sehemu ya kwanza) Shalom: Jina Tukufu la Bwana Yesu libarikiwe milele. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Je! Unafahamu madhara  ya ulevi kibiblia? Mbali na zile zinazojulikana na wataalamu wa afya, leo tutaangalia madhara ya ulevi hasa katika biblia ni zipi…karibu ufuatane nami katika somo hili naamini utajifunza kitu na kama wewe ni ..

Read more

MAANA NYINGINE YA CHACHU. Je! Unafahamu chachu ni nini?. Chachu kwa lugha ya sasa ni HAMIRA, na kwa kawaida ukiitazama hamira unaweza ukadhani ni unga Fulani hivi, lakini kiuhalisia ule si unga bali ni mkusanyiko wa wadudu wenye uhai kwa lugha ya kitaalamu wanaitwa YEAST, hawa wanadudu ndio wanaofanya kazi ya kumengenya ule unga, na ..

Read more

Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; Isaya 42:20 “Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; masikio yake ya wazi, lakini hasikii.” Je! we ni miongoni mwa waonao mambo mengi, lakini huyatii moyoni? Neno la Mungu linasema.. Isaya 28:22 Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ..

Read more