Category : Biblia kwa kina

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Katika kitabu cha Yona sura kwanza kabisa tunaona neno la Mungu linamjia Yona na kumwambia aende Ninawi akauhubirie mji ule uache uovu wake yaani watu wa mji ule watubu wamrudie Mungu. Lakini Yona hakufanya hivyo. Matokeo yake akakimbilia kwenda tarshihi na asiende ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Katika nyakati za Mwisho hizi kuna mafundisho ya aina nyingi sana. Lakini si mafundisho yote yanamfaa mwamini ijapokuwa yanasemwa madhabahuni na watumishi wengi Lakini si mafundisho anayotakiwa kufundishwa mwamini. Yapo mafundisho ya watu wanaotaka kufanana na Yesu na matamanio yao ni  kwenda ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya mwokozi wetu. Kama Mkristo uliyeokoka ni muhimu sana kujitambua uko katika kundi lipi.? Yapo makundi ya aina Tatu ya Wakristo na katika makundi makuu haya matatu kila moja lina tabia zake na sifa zake.. kupitia sifa hizi naimani utaweza kufahamu upo katika kundi ..

Read more

Shalom.  Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi. Huenda umekuwa mvivu na mzito katika kuomba mpaka ukumbushwe kila siku pasipo hivyo huwezi kuomba.. ni kwa sababu hujatambua maombi ni nini na haujafahamu nguvu iliyoko katika maombi.. ni maombi yangu kupitia makala hii Mungu akufungue macho tena ufahamu ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kila siku unaposoma maandiko hususani katika maandiko siku zote tembea na neno hili.  “ 1 Wakorintho 10:11“Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.” Unaposoma Habari za wana wa Israeli jifunze kutoka ..

Read more

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Katika nyakati hizi za Mwisho kumezuka kundi kubwa sana la  viongozi ambao ni vipofu.. si kwamba hawaoni la! Kwa macho ya damu na nyama wanaona vizuri sana lakini katika roho ni vipofu hawaoni kabisa. Na hii ni hatari sana maana wao ni ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima. Wakati fulani nikiwa nimekaa na watumishi wenzangu tukitafakari neno la Mungu. Roho Mtakatifu alitufundisha jambo kubwa sana. Ambalo hatukulifahamu hapo kabla. Tukiwa katika kutafakari tukisoma maandiko Roho Mtakatifu alisema nami kwa njia ya ufahamu ndani yangu maneno haya “Baraka hazitafutwi,Baraka zinakufata/zinakutafuta ..

Read more