Category : Biblia kwa kina

Kuna jambo ambalo tunapaswa kulifahamu katika habari ya Danieli na yale maandishi yaliyoandikwa kwa vidole vya mwanadamu (kiganja cha mkono alichokiona mfalme Belshaza kikiandika katika ukuta), kwa sababu habari hiyo haikuandikwa tu kama hadithi fulani ya kujifurahisha ambayo haina funzo wala maudhui yoyote yale, bali kipo kitu cha kufahamu na kujifunza katika habari hiyo, kwani biblia inasema, kila andiko lenye pumzi ya Mungu lafaa kwa ..

Read more

Sanamu zisizonena zinazozungumziwa hapo sio kitu chochote kilichojiinua ndani ya mwanadamu kuliko Mungu hapana, bali ni zile sanamu zote zilizochongwa kwa kazi ya ufundi stadi wa mikono ya wanadamu na kisha kupambwa kwa dhahabu na fedha kwa lengo la kiibada, kuzihusianisha ..

Read more

SWALI: Nina maswali yafuatayo ambayo naomba msaada wa ufafanuzi, swali la kwanza ni je ufalme wa MUNGU ni nini? Swali la pili ni kwamba, kwa nini ufalme wa MUNGU utakuwa ndani yetu, je ni Roho Mtakatifu ndiye anayezungumziwa hapa au? Na swali langu la tatu ni je, ufalme wa MUNGU ulikuja kipindi gani? Shalom wapendwa ..

Read more