Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele, Yeye ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Mungu Mwenye kuhimidiwa mile..
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele, Yeye ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Mungu Mwenye kuhimidiwa mile..
Lipo funzo katika habari ya mfalme Ahabu (wa Israeli), na nabii wa Mungu Mikaya mwana wa Imla, ambalo na sisi pia watu wa kizazi hiki tunapaswa kujifunza na kujirekebisha pindi tusikipo wakati huu wa sasa tukiwa hai, kwa sababu maandiko yanasema kuwa, m..
Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; BALI SASA ANAWAAGIZA WATU WOTE KILA MAHA..
Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele, Yeye ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Mungu Mkuu na Mwokozi Wetu, sifa na Utukufu ni vyake milele na milele, Amina. Sababu ya Kristo kuja duniani na kufa msalabani, ilikuwa ni kuwakusanya wanadamu wote waliopotea katika dhambi kama kondoo na kuwaleta ..
Mchungaji wako ni nani? Je! Ni Bwana (Yesu Kristo), ndiye aliye mchungaji wako? Au ni Ibilisi ndiye aliye mchun..
Leo kwa kibari cha Mungu tutatazama andiko linalosema Mungu ni Roho, na ninaamini kwa neema zake nyingi utapata kujifunza ..
Kuna jambo ambalo tunapaswa kulifahamu katika habari ya Danieli na yale maandishi yaliyoandikwa kwa vidole vya mwanadamu (kiganja cha mkono alichokiona mfalme Belshaza kikiandika katika ukuta), kwa sababu habari hiyo haikuandikwa tu kama hadithi fulani ya kujifurahisha ambayo haina funzo wala maudhui yoyote yale, bali kipo kitu cha kufahamu na kujifunza katika habari hiyo, kwani biblia inasema, kila andiko lenye pumzi ya Mungu lafaa kwa ..
Sanamu zisizonena zinazozungumziwa hapo sio kitu chochote kilichojiinua ndani ya mwanadamu kuliko Mungu hapana, bali ni zile sanamu zote zilizochongwa kwa kazi ya ufundi stadi wa mikono ya wanadamu na kisha kupambwa kwa dhahabu na fedha kwa lengo la kiibada, kuzihusianisha ..
Shalom! SWALI: Nina maswali yafuatayo ambayo naomba msaada wa ufafanuzi, swali la kwanza ni je ufalme wa MUNGU ni nini? Swali la pili ni kwamba, kwa nini ufalme wa MUNGU utakuwa ndani yetu, je ni Roho Mtakatifu ndiye anayezungumziwa hapa au? Na swali langu la tatu ni je, ufalme wa MUNGU ulikuja kipindi gani? Karibu ..
SWALI: Nina maswali yafuatayo ambayo naomba msaada wa ufafanuzi, swali la kwanza ni je ufalme wa MUNGU ni nini? Swali la pili ni kwamba, kwa nini ufalme wa MUNGU utakuwa ndani yetu, je ni Roho Mtakatifu ndiye anayezungumziwa hapa au? Na swali langu la tatu ni je, ufalme wa MUNGU ulikuja kipindi gani? Shalom wapendwa ..