Category : Maswali ya Biblia

Kibiblia baradhuli ni mtu anayefanya jambo na anajua kabisa si sawa mbele za Mungu, mtu  kama huyo anafananishwa  mpumbavu mtu asiyefaa, anayevuka mipaka. Watu hawa hutawatambua Kwa tabia hizi, kulingana na maandiko    WATU WANAOMWAGA DAMU ISIYO NA HATIA Watu kama hawa ni mabaradhuli Kwa sababu anafanya jambo ambalo anajua kabisa mbele za Mungu ni ..

Read more

Maandiko yanaeleza wazi juu mtu aliye ishi miaka mingi katika biblia ukisoma Mwanzo 5:25 “Methusela akaishi miaka mia na themanini na saba, akamzaa Lameki. 26 Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, waume na wake. 27 Siku zote za Methusela ni miaka MIA KENDA NA SITINI NA KENDA, ..

Read more

Bwana Yesu apewe sifa!, karibu katika kujifunza Neno la Mungu. Je neno mesheki linamaanisha nini? Neno hili tunalipata katika vifungu vifuatavyo (Zaburi 105:22,Ayubu 29:10,Zaburi 68:31). Sasa maana yake ni nini?. Masheki Ni watu wenye hadhi kubwa(watu wenye uwezo na Mamlaka)ambao sauti zao zinasikika na kuogopwa wakiongea nchi yote ama jamii yote wanatega sikio kusikiliza ni ..

Read more

Mithali 13:2 “Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri” Haini au Kwa lugha nyingine tunaweza sema MSALITI, Hivyo haini ni mtu msaliti ambaye hufanya usaliti kwa mtu fulani, au mtu anayefanya usaliti katika nchi yake kinyume na uzuri wa jambo fulani Lakini pia hata katika Imani mtu ..

Read more

Mapepo ni roho au malaika walioasi mbinguni, walishindwa kuilinda Enzi yao mbinguni(Yuda 1: 6)wakaingia tamaa na kushawishiwa na Shetani (pia nae alikuwa ni malaika) na kutaka kuupindua ufalme wa Mungu lakini hawakufanikiwa wakafukuzwa. Hivyo mkuu wao anaewapa amri na kuwaongoza hawa mapepo ni Shetani yeye ndio pepo mkuu. Hivyo baada ya kuasi wakatupwa huku chini ..

Read more

Kongwa ni nira au kifungo cha shingoni ambacho kinatengenezwa kwa kutumia mti uliogawanyika sehemu mbili au mti uliochongwa unaoshikamanisha au kuunganisha vitu viwili katika sehemu moja. Mfano Ng’ombe wawili wanaofungwa pamoja shingoni kwenda kulima kwa kutumia pilau(jembe la ng’ombe la kulimia) Na pia hata kwa watu zamani walikuwa wakifungwa nayo katika kipindi cha biashara ya ..

Read more

Marhamu, ni kimiminika kilichotengenezwa kutokana na mimea mbalimbali ili kufanya kitu kiwe na harufu nzuri na kufukuza wadudu na viumbe waharibifu, aya Kwa Jina lingine ni pafyumu Lakini viwango na ubora wa manukato hutofautiana, kukiwa na marhamu ya bei ghali ambayo hayapunguzi harufu haraka, kama yale yaliyotumiwa na Yesu huko Bethania yalikuwa na ghali kwa ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tukisoma katika maandiko Matakatifu Neno la Mungu linasema Yohana 4:24″Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli”. Mkristo yoyote aliekombolewa kweli kweli na Damu ya Yesu Kristo hahesabiwi haki mbele za Mungu kwa kushika siku,mwezi,Mwaka, kwa kuabudu. Hatuhesabiwi haki katika hayo!. Kuabudu ..

Read more

Safina ni chombo cha majini kilichotumika kuokoa, yaani kipo mahususi kwa ajili ya okombozi endapo tatizo litatokea ,Kwa lugha ya kiyahudi hiitwa  “Tevat”,  tukisoma katika maandiko Kipindi cha Nuhu, wakati Mungu alipotaka kungamiza dunia, Mungu alimpa Nuhu maagizo ya kutengeneza safina ambayo ataingia yeye pamoja na familia yake, na wanyama ambao Mungu alivuta waingia Kwa ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. KK na BK ni vifupisho vinavyotumika kuonyesha nyakati mbali mbali. KK. Ni kifupisho kinachomaanisha “Kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo”  yaani (B.C Before Christ) kwa kiingereza. Hivyo sehemu yoyote unapoona pameandikwa KK Maana yake wakati huo Kristo alikuwa bado hajazaliwa. B.K Ni kifupisho cha wakati chenye maana ..

Read more