SWALI: Biblia inasema katika (1 Timotheo 2:15) kuwa, Mwanamke ataokolewa kwa uzazi wake, je! Ni uzazi upi huo unaoz..
SWALI: Biblia inasema katika (1 Timotheo 2:15) kuwa, Mwanamke ataokolewa kwa uzazi wake, je! Ni uzazi upi huo unaoz..
SWALI: Nabii Yoeli alitabiri kwa uweza wa Roho wa Mungu na kusema..
Yoeli 2:28 Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume KWA WAKE, WATATABIRI, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu watao..
SWALI: Bwana Yesu apewe sifa, naomba kuuliza swali hili, je! Mkia wa joka kubwa jekundu ambao anautumia kuziangusha nyota za mbinguni chin..
Kwanza hadi anaitwa Bwana wa mavuno maana yake ni kuwa, anao watendaji kazi ambao kazi yao ni hiyo ya uvunaji, hivyo, hao watenda kazi wote ambao ni wavunaji, Bwana wao ndiye huyo anayeitwa Bwana w..
Ili tueleweni ni thawabu gani au ni thawabu ya nini inayozungumziwa hapo, kwanza inabidi tuelewe nini maana ya thawabu.
Thawabu ni malipo ambayo mtu anayapata kutokana na jitihada alizozifanya au kitu alichokifanya kwa ajili ya jam..
Jibu ni kwamba, hakuna sehemu yoyote ile kwenye maandiko matakatifu ambapo imeelekeza mkristo kufanya ishara ya msalaba kabla na baada ya sala kwa kutamka kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, kinyume chake ni kwamba, biblia inamuelekeza mkristo wa kweli kuwa, kwa chochote kile afanyacho, kwa neno au kwa tendo, akifanye kwa JINA LA YE..
Je! Unaweza niambia na kunielekeza kanisani gani ni sahihi katika siku hizi za mwisho ili nikashiriki hapo? kwa sababu kila sehemu unapoenda ni manakisa yamejaa na kila mtu anahubiri habari za Yesu hadi mtu unachanganyikiwa na unashindwa kufahamu lipi ni sahihi na lipi ni..
Katika biblia, kuanzia kitabu cha mwanzo hadi cha ufunuo, hakuna sehemu yoyote ile iliyorekodiwa kuwa, Mariamu mama yake Bwana Yesu alipalizwa mbinguni. Ukimtoa Yesu Kristo, aliyechukuliwa juu katika Utukufu, maandiko matakatifu yanarekodi watu wawili tu wasioonja mauti, ambao ni Henoko na nabii Eliya,..
SWALI: Bwana Yesu asifiwe wapendwa, naomba msaada wa kujua jibu la swali hili, je! kuna tofauti gani kati ya mtu wa Mungu na mtoto..
Isaya 66:23 inasema, Na itakuwa, MWEZI MPYA HATA MWEZI MPYA, NA SABATO HATA SABATO, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asem..