Isaya 66:23 inasema, Na itakuwa, MWEZI MPYA HATA MWEZI MPYA, NA SABATO HATA SABATO, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asem..
Isaya 66:23 inasema, Na itakuwa, MWEZI MPYA HATA MWEZI MPYA, NA SABATO HATA SABATO, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asem..
Ulishawahi kujiuliza swali kama hilo au swali linalofanna na hilo? Au ulishawahi kutamani kitu kama hicho kutoka kwa Bwana? Kama jibu ni ndio, basi fahamu kuwa wewe sio wa kwanza, kwani hata mitume wake waliotembea nae na kula walishawahi omba kitu kama hicho kut..
SWALI: Kwanini tukisoma maandiko tunaona watu wa kanisa la kwanza walikuwa wakijazwa Roho Mtakatifu zaidi ya ..
Yeshuruni ni jina lingine la taifa la Israeli, lililotumika zamani hususani katika Mashairi yao. Kumbukumbu 32:12 “Bwana peke yake alimwongoza, Wala hapakuwa na mungu mgeni pamoja naye. 13 Alimpandisha mahali pa nchi palipoinuka, Naye akala mazao ya mashamba; Akamnyonyesha asali iliyotoka jabalini, Na mafuta yaliyotoka katika mwamba wa gumegume; 14 Siagi ya ng’ombe, na maziwa ..
JIBU: Silaha ya nia aliyokuwa nayo Kristo ambayo na sisi tunapaswa kujivika, ni NIA NA KUSUDI la kukubari kutesaka na kufa, kuliko kushindwa kutimiza kusudi la Mungu la yeye kufa msalabani ili watu wa mataifa yote wapate wokovu, hiyo ndio nia iliyokuwa ndani Bwana wetu na Mwokozi ..
Mbegu iharibikayo ni ile ya mwili wa damu na nyama, ambayo wanadamu wote tunazaliwa katika hiyo kutoka kwa Adamu wa kwanza. Kila mtu aliyezaliwa kwa mapenzi ya mwili na damu, huyo ni mbegu iharibikayo kwa sababu, kupitia kwa Adamu wa kwanza ndipo uharibifu ulipoingia, yaani ardhi kulaaniwa, na mbaya z..
JIBU: Mjumbe wa agano la kwanza, au agano la zamani, yaani maagizo ya Mungu (torati) alikuwa ni n..
Makuhani wa Mungu katika biblia ni watu waliotiwa mafuta na kuteuliwa na Mungu kwa kazi zote za ibada mbele za Mungu kwa ajili ya watu wake, mfano; upatanisho wa dhambi, kufukiza uvumba n.k na watu hawa ndio waliokuwa na NAFASI AU UWEZO wa kumsogelea Mungu kwa ukar..
JIBU: Si sawa kimaandiko hata kidogo. Kumekuwa na mafundisho ambayo yanafundisha watu kufanya sala au maombi kwa malaika fulani, mfano; kuna watu wanafundisha mafundisho ya rozali ya malaika mkuu mikaeli na kusema ..
Neno mama kanisa asili yake ni kutoka katika lugha ya kilatini “Mater Ecclesiae” ambalo tafsiri yake kwa lugha ya kiswahili ni mama kanisa. Jina hili lilitolewa rasmi na papa Paulo wa VI wa kanisa katoliki kwa heshima ya Maria kama mama wa kanisa. Lakini je? Maria ni mama wa kanisa la Kristo? Na kanisa la Kristo ..