JIBU NI HAPANA! Waraka huo haukuwa kwaajiri ya Wakorintho pekee. Kumekuwa na mapokeo baadhi leo hii katika kanisa, ambayo yanapinga maagizo ya moja kwa moja ya Mungu kutoka katika maandiko matakatifu [Kwenye waraka wa ..
JIBU NI HAPANA! Waraka huo haukuwa kwaajiri ya Wakorintho pekee. Kumekuwa na mapokeo baadhi leo hii katika kanisa, ambayo yanapinga maagizo ya moja kwa moja ya Mungu kutoka katika maandiko matakatifu [Kwenye waraka wa ..
Maneno hayo Bwana aliyasema juu ya SIKU YA SABATO, alipokua akiwajibu Mafarisayo baada ya kuwaona wanafunzi wake wakivunja masuke shambani n..
Maandiko yanasema kuwa, Bwana wetu Yesu Kristo kama Mwana-kondoo wa Mungu, alizichukua dhambi za dunia nzima kwa kufa kwake pale msalabani [kwa kuchinjwa pale masalabani] sasa, alizichukua vipi dhambi za watakatifu ambao walikufa kabla yake yeye? Mfano; Adamu, Hawa, Ibrahimu, Isaka, ..
Kwanza kabisa inabidi tufahamu kuwa, mapepo huwa wanayo tabia hiyo ya kulipuka na kumwangusha mtu chini pale mtu anapoombewa au pepo linapomtoka mtu huyo..
Ni maneno yapi hayo ya unabii yaliyotangulia juu ya Timotheo ambayo mtume Paulo anayazungumzia katika waraka wake wa kwanza kwa..
je! Ni sahihi kwa mtu aliyeokoka kufanya biashara ya uuzaji wa cheni (mikufu) ..
Je! Bikira Maria ni mkamilishaji wa mahitaji yetu pale tunapokuwa na shida mbali mbali kwa kutuombea kwa mwanawe Bwana Yesu? Kwasababu tunaona ule wakati wa harusi huko kana, mji wa Galilaya, wale watu walipopungukiwa na divai..
Maneno hayo aliyasema Bwana Yesu baada ya kujibu swali aliloulizwa na mtume Petro, sasa Ili tuelewe vizuri tusome katika kitabu..
Panda ni pembe ya kondoo mume, ambayo ilitumika zamani kama tarumbeta. (taz..
Ni kweli kabisa kuwa, Bwana Yesu alibatizwa na Yohana mbatizaji mto Yordani, lakini maandiko yanasema kuwa, ndani ya Bwana Yesu hakukuwa na hila na wala dhambi haimo ndani yake ( 1 Yohana 3:5 ) na mpaka kuna wakati aliuliza swali kwa uwazi kwa watu kuwa, kama kunamtu anamshuhudia kuwa yeye ana dhambi..