Mana ni nini katika..
Mana ni nini katika..
Nini maana ya mtafuteni Bwana maadamu ana..
Kivipi tunafarakana na imani kwa kupe..
Je ni kweli kuna wakati utafika wanawake saba watamng’ang’ania mume mmoja kama ilivyotabiriwa kwen..
Je! Ni kweli mshahara wa dhambi ni mauti na si moto ..
Bawabu ni nani na hufanya ..
Je! Majuma sabini ya Daniel yameshati..
Je! Ni kweli Bwana Yesu alishika sabato kulingana na ..
BIBLIA NI NINI? Chimbuko la Neno Biblia, ni kutoka katika lugha ya Kiyunani, lenye maana ya “Mkusanyiko wa vitabu vitakatifu” Kikiwa kimoja kinaitwa Biblioni, lakini vikiwa vingi huitwa Biblia. Na vilizoeleka kuitwa hivyo kwasababu vitabu vya awali vya agano jipya, sehemu kubwa viliandikwa katika lugha hii ya Kiyunani, Kwahiyo vilipokusanywa Pamoja viliendelea kuitwa hivyo hivyo ..
Kwa kawaida mtu akiumia, pengine kajikata au kapigwa, ni ngumu sana kukaa bila kutokuonyesha Meno yake. Kwasababu kuna uhusiano mkubwa sana katika maumivu na meno ya mwanadamu, kama vile ilivyo uchungu na machozi. Sasa kile kitendo cha mtu kupata maumivu hayo makali mpaka kufikia hatua ya meno kukutana Pamoja, na kuyapekecha pekecha, huko ndiko kusaga ..