Nini maana ya mtafuteni Bwana maadamu ana..
Category : Maswali ya Biblia
Kivipi tunafarakana na imani kwa kupe..
Je ni kweli kuna wakati utafika wanawake saba watamng’ang’ania mume mmoja kama ilivyotabiriwa kwen..
Je! Ni kweli mshahara wa dhambi ni mauti na si moto ..
Bawabu ni nani na hufanya ..
Je! Majuma sabini ya Daniel yameshati..
Je! Ni kweli Bwana Yesu alishika sabato kulingana na ..
BIBLIA NI NINI? Chimbuko la Neno Biblia, ni kutoka katika lugha ya Kiyunani, lenye maana ya “Mkusanyiko wa vitabu vitakatifu” Kikiwa kimoja kinaitwa Biblioni, lakini vikiwa vingi huitwa Biblia. Na vilizoeleka kuitwa hivyo kwasababu vitabu vya awali vya agano jipya, sehemu kubwa viliandikwa katika lugha hii ya Kiyunani, Kwahiyo vilipokusanywa Pamoja viliendelea kuitwa hivyo hivyo ..
Kwa kawaida mtu akiumia, pengine kajikata au kapigwa, ni ngumu sana kukaa bila kutokuonyesha Meno yake. Kwasababu kuna uhusiano mkubwa sana katika maumivu na meno ya mwanadamu, kama vile ilivyo uchungu na machozi. Sasa kile kitendo cha mtu kupata maumivu hayo makali mpaka kufikia hatua ya meno kukutana Pamoja, na kuyapekecha pekecha, huko ndiko kusaga ..
Mwezi wa Abibu. Mwezi wa Abibu ni mwezi wa kwanza kwa Wayahudi, ambao kwetu sisi tunaotumia Kalenda ya ki-Gregory, huangukia katikati ya mwezi wa tatu (3) au Mwezi wanne (4) mwanzoni, kulingana na mwaka na mwaka. Mwezi huu ulikuwa ni muhimu sana, kwa Wayahudi kwasababu kwanza ndio ulikuwa mwezi wao wa kutoka katika nchi ya ..