Category : Uncategorized

Hili limekuwa ni moja ya swali linaloulizwa hasa na watu wasiotaka kusikiliza kabisa habari za Mungu, na pia hata na baadhi ya wasomi wengi duniani kwa kisingizio kuwa, biblia iliandikwa na mtu fulani tu hivyo mwanadamu hapaswi kuzingatia sana waliyoandikwa humo kama wahubiri wengi wanavyosisitiza leo hii, lakini nataka nikwambie ndugu unayesoma u..

Read more