Archives : December-2021

Uasherati ni kitendo cha kufanya zinaa nje ya ‘kifungo cha ndoa’. Hii ikilenga makundi yote ya watu, yaani kwa mtu ambaye hajaoa/hajaolewa na kufanya kitendo hicho.. Na kwa mtu ambaye tayari ameshaoa/ ameshaolewa, lakini akaenda kufanya kitendo hicho na mtu mwingine ambaye hakufunga naye ndoa. Vyote hivyo ni vitendo vya uasherati.. kwasababu vyote vipo nje ..

Read more