Archives : January-2025

Mwenye kitu atapewa,naye asiye na kitu hata kile alichonacho atanyang’anywa. Jina la Mwokozi Yesu Kristo lihimidiwe milele yote karibu tuyatafakari maneno ya uzima.. Umewahi kufikiria kauli hii aliyoizumgumza Bwana Yesu kwa wanafunzi wake na watu waliomzumguka? Kuna jambo kubwa hapa ambalo Kristo anataka tulifahamu. Marko 4:25 “Kwa maana mwenye kitu atapewa, naye asiye na kitu, hata ..

Read more

Fahamu njia kuu ya kumuona Mungu. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Mungu kachagua njia moja kuu ya watoto wake waliomwamini kumuona na kuuona uweza wake. Bahati mbaya sana Wakristo wengi wanapoteza shabaha na kuanza kutaka Mungu wamuone katika mambo fulani ambayo sio mabaya lakini sio njia kuu ..

Read more

Nawezaje kumfahamu Mungu?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.  Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kila mtu aliemwamini Yesu Kristo yaani Mkristo anatamani kumfahamu zaidi Mungu na anatamani Mungu ajifunue kwake azidi kumfahamu zaidi. Lakini bahati mbaya Wakristo wengi wanaishia kumjua tu Mungu lakini wengi hawamfahamu Mungu. Utajiuliza ni kwa namna gani? Kabla ya ..

Read more

Naamini nisaidie kutokuamini kwangu. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe karibu katika tafakari ya neno la Mungu. Andiko hilo tunalipata katika kitabu cha Marko 9:19-23 habari ambayo tunaifahamu wote kama wewe ni Msomaji wa biblia na kuna jambo kubwa hapo tutajifunza siku ya leo. Katika habari hiyo tunasoma juu ya kijana aliyekuwa na pepo ..

Read more

Ufalme wa mbinguni unapatikana kwa nguvu. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama vile mambo ya duniani hapa jinsi tunavyoyataabikia na kuyasumbukia ili tuyapate na mwisho tuwe na maisha mazuri.  Kama vile Fedha,Elimu,nk Unatumia muda mwingi katika kuhakikisha unajiweka vizuri katika maswala ya kifedha, kuongeza elimu zaidi na kufanya ..

Read more

Heri walio masikini wa roho. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Bwana Yesu anawaambia makutano pamoja na wanafunzi wake waliokubali kupanda/kumfata kule mlimani kwenda kumsikiliza katika hotuba yake na mambo mengi sana aliwafundisha. Akiwaeleza mambo mbali mbali juu ya wao wanatakiwa kuwa ni watu wa namna gani kama hujapata ..

Read more