Author : magdalena kessy

Mathayo 5:21  Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu. 22  Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake hasira itampasa hukumu; na mtu akimfyolea ndugu yake, itampasa baraza; na mtu akimwapiza, itampasa jehanum ya moto Hapo tunaona Bwana anatupa uelewa mwingine wa Kuhusiana na dhambi ya kuua, kwasababu tokea hapo mwanzo ilidhaniwa ..

Read more

JIBU.. Sikukuu ya kiyahudi ijulikanayo kama Pasaka ilianza rasmi kipindi cha wana wa Israeli wanatoka nchi ya misri, ndipo Mungu akawapa agizo la kupaka damu ya mwanakondoo  Katika miimo ya na nguzo za milango yao ili yule malaika atakayepita kuua wazaliwa wa kwanza asiwadhuru wazaliwa wao.. Hata malaika yule alipopopita na kuiona ile damu ya ..

Read more

Neno hili sulubu ndilo hutoa maana ya neno sulubisha au sulibisha.. Na maana halisi ya sulubisha ni kuadhibu kwa kuning’iniza kwenye msalaba au mti,nguzo ndefu iliyonyooka kwa kufungiwa hapo au kugongelewa na misumari miguuni na mikononi na huachwa hapo hapo kwa mateso makali itakayokupelekea Mpaka kifo.. Na  adhabu hizi zilitumika kipindi cha zamani kwenye Ufalme ..

Read more

Kitendo cha kumpa mtu uthamani anaostaili au hadhi ya juu iliyo yake inajulikana kama Heshima, kwasababu Kiuhalisia kila mwanadamu anapenda kushehimwa au kupata heshima, kwa upande wa mtu aliye mpokea Yesu ana sababu nyingi za kujua anaigawanya vipi heshima kulingana na makundi au watu husika, kwasababu kinyume cha kukosa heshima maana yake una kiburi(Mithali 15:33) ..

Read more

JIBU, Tufahamu kabisa mchango wetu Katika Neema ya Wokovu haupo Tusome.. Waefeso 2:8-9[8]Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; [9]wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu… Sasa ikiwa ni hivyo, kwanini biblia iseme tena hivi Mathayo 11:12 “Tangu siku za Yohana ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze Maneno ya Uzima.. JIBU..Tusome Kutoka 20:5-6[5]Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, [6]nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu. Tukiangalia katika mstari wa 5 neno linasema ‘hata kizazi cha ..

Read more

Karibu tujifunze Neno la Mungu… JIBU.. Madhabahu ni sehemu ambayo watu hupeleka sadaka zao…Tunaposoma agano la kale tunaona wana wa Israel walipewa agizo na Bwana la kumtolea sadaka, kulikuwa na sadaka za aina mbalimbali mfano sadaka za dhambi, sadaka za shukrani n.k Na kila sadaka ilitolewa kama sadaka ya kuteketezwa na hapo ndipo ilipolazimu madhabahu ..

Read more

Shalom, karibu tutafakari Maneno ya Uzima wetu… Neema tafsiri halisi ni upendeleo usiokuwa na sababu yoyote, au kupata kukubaliwa kusikostaili, na Kiuhalisia kuna upendeleo ulio na sababu na usio na sababu, mfano hai wa upendeleo ulio na sababu ni wa sisi wanadamu,ambao tunapendana na kujaliana walio wetu, wale tunaowafahamu na wenye faida kwetu,.. Si rahisi ..

Read more

JIBU: 2Nyakati 13:5 “Je! Haikuwapasa kujua ya kwamba Bwana, Mungu wa Israeli, alimpa Daudi ufalme juu ya Israeli milele, yeye na wanawe kwa AGANO LA CHUMVI” Katika Biblia neno ‘Agano la chumvi’ tunaliona mara tatu katika vitabu tofauti tofauti 2Nyakati 13:5,Hesabu 18:19 na Walawi 2:13. Zamani na hata hivi leo katika baadhi ya jamii chumvi ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze.. JIBU, Tusome.. Kutoka 5:14-16[14]Na wanyapara wa wana wa Israeli, ambao wasimamizi wa Farao wamewaweka juu yao, wakapigwa, wakiambiwa, Kwa nini hamkutimiza kazi yenu jana na leo; kwa kufanya matofali kama hapo kwanza? [15]Basi wanyapara wa wana wa Israeli wakaenda, wakamlilia Farao, wakisema, Mbona umetutendea hivi, sisi watumwa wako? [16]Watumwa wako hawapewi majani, ..

Read more