SWALI: Je, huu mstari una maana gani? Mithali 18:9 “Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharabu”. Mharabu maana yake ni mharibifu.. hapo inaonyesha jinsi gani uvivu unavyoweza kuleta uharibifu katika mambo au vitu na kuonyesha jinsi uvivu na uharibifu vilivyosambamba. Mfano mtu anayefanya Kazi ya Ujenzi wa ghorofa chini ya ..
Author : magdalena kessy
Mithali 29:25[25]Kuwaogopa wanadamu huleta mtego;Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama. JIBU.. Ukiendelea kusoma anasema… Mithali 29:25b Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama Unapokuwa na hofu yoyote kuhusiana na wanadamu watakuonaje unapoamua kufanya jambo lolote la KiMungu fahamu utajikuta Katika upotevu mkubwa sana..hofu ya wazazi wako watakuonaje unapoamua kuokoka na kumfata Kristo, hofu ya watu watakuonaje unapoamua kuvaa ..
Tumaini ni hali Fulani ya nafsi/ akili yenye kutarajia matokea mema/chanya juu ya jambo fulani kuja kutokea .Katika kumtumikia Mungu sisi kama wateule wa Kristo Tumaini ni moja ya nguzo muhimu katika Ukristo katika nguzo tatu ambayo ya kwanza ikiwa ni UPENDO, Ya pili ni IMANI na ya tatu ni Tumaini. (1Wakorintho 13:13).Hivyo hivi viwili ..
Shalom, Yapo mambo mengi Mwanadamu amekuwa akijiuliza kuhusiana na Mungu lakini mwisho wake ni kutokupata majibu Katika ukamilifu wote, mfano unajiuliza ikiwa Mungu anafahamu jambo ambalo litakwenda kutokea mbele yako na pengine litakusababishia madhara makubwa kwanini asiingilie kati na kunizuia badala yake ananiacha na kudhurika mwisho wake najikuta naenda kuzimu, ni kama Mungu anaonekana hana ..
Mithali 25:23[23]Upepo wa kusi huleta mvua;Vile vile asingiziaye huleta uso wa ghadhabu. Biblia imezungumzia jinsi upepo wa kusi unavyoweza kuleta mvua, na hasemi upepo huleta mvua, bali “upepo wa kusi” akimaanisha kila aina ya upepo ina tabia yake ya kipekee,mfano wa upepo wa kaskazi unaleta joto,na aina nyingine za pepo zina tabia zake… Hii inatufundisha ..
Mithali 16:33[33]Kura hutupwa katika mikunjo ya nguo;Lakini hukumu zake zote ni za BWANA. JIBU.. Kipindi cha zamani kura zilipigwa kwa namna nyingi nyingi, na njia iliyoonekana rahisi na nyepesi ni hiyo, ambayo ni Kipande kidogo cha mfano wa shuka,kilitumiwa kukusanya kura walizopiga watu ambazo waliaziandika kwenye vibao vidogo vidogo au mawe na kisha huchanganywa,kukoroga na ..
1 Yohana 2:16-17[16]Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. [17]Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele. Kiburi cha uzima, kiburi hichi kinapatikana ndani ya mtu pale ambapo wingi wa mali ..
Mithali 28:8[8]Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini.. Hapo biblia imemzungumzia mtu anakuyekusanya mali zake kwa faida na riba, ni yule mtu anayejipatia mali kwa njia ambazo hazina uhalali wowote na kuwadhulumu walio katika hali ya chini/ wanyonge… Katika biblia kipindi cha wana wa Israel,Mungu aliwapa agizo wasiwatoze riba pindi ..
JIBU.. Mithali 24:27[27]Tengeneza kazi yako huko nje, Jifanyizie kazi yako tayari shambani, Ukiisha, jenga nyumba yako.. Wakati wa zamani, Katika biblia kilimo kilikuwa na nafasi kubwa sana kwa watu,tunaweza kusema kilikuwa ni uti wa mgongo kama ilivyo leo katika nyakati zetu kwenye baadhi ya jamii mbalimbali… Na ilikuwa ni jambo la kushangaza kwa kipindi hicho ..
1 Petro 2:1-2[1]Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote. [2]Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu; Neno kughoshi lina maana ya kugeuza, au kutia kitu dosari, na lengo lake ni kukifanya kitu kionekane kama kile cha kwanza,ndo mana ..