Author : magdalena kessy

JIBU..  Pentekoste ni Neno la kigiriki lenye maana YA HAMSINI, ilikuwa ni desturi ya wayahudi kusheherekea siku ya hamisini baada ya pasaka na waliagizwa na Mungu wewe wanafanya hivyo, ijapokuwa kwao walikuwa hawaiiti Pentekoste bali waiita ni SIKU KUU YA MAJUMA… Na hii ilitokea baada ya Mungu kuwaambia wahesabu majuma 7 ,yani sabato 7 kila ..

Read more

Makuruhi ni neno lenye  maana ya “kuchukiza kulikopitiliza” ,ni kama kumkosea mtu sana.., mfano tuseme mabeberu ni makuruhi kwa watu wa Africa, akimaanisha mabeberu ni watu wanaochukiza sana africa, watu wa africa hawawapendi kabisa mabeberu, kwasababu ukiangalia Katika historia ni watu waliowatesa sana na kuwaonea na kufikia hatua ya kuwafanya watumwa… Neno hili tunalipata hapa, ..

Read more

Machukizo ni nini? Machukizo linatokana na neno chukizo,  ni hali inayokupelekea kujawa na hasira au chuki ndani yako, ndo mana kwa Mungu,kitu chochote kinachomfanya aipandishe ghadhabu yake,kitu hicho kinaitwa chukizo” Vitu vifuatavyo vinamtia Mungu Machukizo 1. Ibada ya Sanamu. Mfano wa kitu chochote chenye muundo wa sanamu kilikuwa ni machukizo makubwa kwa Mungu, ndicho kisababishi ..

Read more

Furaha ni hisia chanya ambayo mtu anakuwa nayo pale ambapo anakuwa amefanikisha mambo fulani kwa wakati alioutarajia au asioutarajia ni matokeo ambayo humfanya mtu kuridhishwa na yale au hali alionayo kimaisha . Kibiblia furaha ni moja wapo ya tunda la roho Mtakatifu ambapo mtu anapokuwa amepata kipawa cha roho Mtakatifu moja kwa moja mtu huyu ..

Read more

Neno Shehe limetokana na asili ya lugha ya kiarabu. Kama ambavyo tunafahamu asili ya lugha ya Kiswahili inatokana na kutoholewa kwa maneno ambayo asili yake ni kiarabu mfano wa maneno hayo ni salamu,sultani,sadaka,shukrani adhabu,adui,jehamu,dhamira damu,giza lawama,askari,roho,tufani,simba,msalaba,sheria,raisi,sultani,na uashratink.k hivyo theluthi ya lugha ya kiswahili ni kiarabu. Kwa kuwa waarabu waliishi hapo zamani katika nchi yetu na ..

Read more

Maandiko yanapozungumzia kuhusiana na fadhili za Mungu basi tufahamu ni zaidi ya zile fadhili ambazo tunaweza kuzifanya kwa kuonyeshana ukarimu na wema… Ndani ya biblia fadhili za Mungu ni neno pana sana na hatuwezi kusema tunalielezea kwa neno moja ili tupate maana kamili hata kwa Maneno machache,…Kwa lugha ya Kiebrania linaitwa Hesed”.. Fadhili za Mungu ..

Read more

Maana halisi ya jina shetani ni Mshitaki” au kwa lugha nyingine Mchongezi, na kazi yake kubwa ni kuwashitaki watakatifu mbele za Mungu.. hiyo ni moja ya kazi yake kubwa anayoifanya shetani.. Maana nyingine ya jina shetani ni LUSIFA, ikimaanisha NYOTA YA ASUBUHI” (Isaya 14:12) hili lilikuwa jina lake kabla ajaasi, alivyoasi Mbinguni akawa shetani…. Kabla ajamwasi Mungu, ..

Read more

Jibu.. Dini ni kitendo cha kuamini imani fulani hasa mambo ya rohoni, Mtu anapoamini uwepo wa Mungu au vitu vyovyote visivyoonekana na kuanza kuviabudu kwa kuvifanyia ibada basi hapo ulazima wa dini kuumbika ni lazima…. ndipo hapo utaona utaratibu fulani au ustaarabu unaanza kutengenezwa na kufatwa, tukiangalia wanaoifata imani ya Buddha, wamejiwekea taratibu zao za ..

Read more

Mathayo 6:30 “Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba?” Kalibu ni neno lililorudiwa na kutajwa Katika kitabu cha Luka 12:28,, na maana ya Neno hili ni TANURU LA MOTO…, Ni kawaida ya kila mmoja baada ya kusafisha mazingira huwa takataka tunatupa ..

Read more

Jibu… Behewa ni sehemu iliyo wazi ambayo imezungushiwa fensi mbele ya Hema ya kukutania, ilitumiwa na makuhani kama eneo la kutoa sadaka za kuteketezwa na shughuli mbalimbali za kikuhani, unaweza ukatazama picha iliyopo juu, na kwa jina lingine inafahamika kama UA. Katika kipindi cha Mfalme Suleimani pale Yerusalemu sehemu ya ua/behewa palizingushiwa ukuta, pakawa na ..

Read more