Kombeo Ndio hiyo hiyo teo, hi moja ya silaha ya kurusha iliyotumika kipindi cha zamani wakati wa vita.. Kombeo/teo ilitengenezwa kwa Ngozi au Kamba, na jiwe lilikuwa likiwekwa katikati yake na kurushwa kumwelekea adui. Kwa ulimwengu wa sasa Silaha ya manati ndio inayotumika kama mbadala ya teo. Hivi ni vifungu ambavyo utakutana na neno hilo; ..
Author : magdalena kessy
Jehanamu au Jehanum, ni neno lenye asili ya Kigiriki , limetafsiriwa kutoka kwa lugha ya Kiyahudi, Ge-hinnom, linalomaanisha bonde la mwana wa Hinomu. Eneo hili lipo kusini mwa Yerusalemu lilitumiwa na watu ambao walikuwa hawamchi Bwana,.walitumia eneo hilo kwa kuwatoa watoto wao dhabihu kwa kuwapitisha kwenye moto kwa miungu waliyoipata Kanaani. Jambo hili lilikuwa chukizo ..
JIBU…. Sifa ni kitendo cha kumshuhudia Mungu, au kuyasimulia matendo makuu ambayo ameyafanya au aliyonayo, na sifa huwa inaambata na mguso wa ndani unaomfanya mtu arukeruke, acheze, afurahie, aimbe, ashangalie, apige kilele kwa nguvu, kwa hayo aliyoyaona kwa Mungu wake… Kwamfano tunapoona jinsi, mbingu na nchi, jua na mwezi, na milima na bahari, vilivyoumbwa kwa ..
JIBU… Ufisadi kibiblia ni tofauti na jinsi watu wanavyoitafsiri, kikawaidia ufisadi unatafsirika kama kuhujumu uchumi wa nchi au shirika fulani Lakini kibiblia ufisadi hautafsiriki hivyoUfisadi kibiblia unamweleza mtu mwenye tabia ya uzinzi na uasherati uliozidi kupita kiasi kwa maana nyingine kundi hili linajulikana kama makahaba au Malaya Hivyo unapoona neno hili katika biblia moja kwa ..
JIBU… Shekina au shekhinah /schechinah, Ni neno la kiyahudi linalomaanisha, “kutua” au “kuweka makao” au “makazi” ya uwepo wa Mungu duniani… Basi utukufu wa shekina maana yake ni kujifunua kwa uwepo wa Mungu kwa dhahiri duniani, na kujifunua kwake kunaweza kuchukua mfumo wa vitu mbalimbali vya asili kama vile moto, wingu,moshi,mwanga, kijiti kinachoteketea n.k.,.. Shekina ..
JIBU… Mpango wa Mungu wa kurejesha uhusiano wake na mwanadamu ulianza na taifa moja tu, Israeli ambalo liliundwa na Ibrahimu na Isaka. Jumuiya ya Waisraeli ilikua ni kuwa jeshi kubwa la makabila 12, na watu wa mataifa walikuwa watu wa jamii nyingine. Mungu amekuwa akitembea na Israeli pekee kwa zaidi ya miaka 1,500, bila kushughulika ..
JIBU…. Matowashi ni watu waliojitoa wakfu kwa ajili ya Mungu (ufalme wa mbinguni) , ambao hawajihusishi na mambo ya wanawake yaani kuwa na mke au familia…Mfano wa matowashi katika bibliaMtume Paulo, Yohana mbatizaji, Barnaba, Eliya Mtishbi na Bwana wetu YESU KRISTO Lakini kuna jambo ambalo Bwana Yesu alilisema katika kitabu cha Mathayo, ambalo lilikanusha kuhusu ..
JIBU: Tusome.. Yohana 19: 28 “Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu. 29 Kulikuwako huko chombo kimejaa siki; basi wakatia sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakampelekea kinywani. 30 Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, Imekwisha. Akainama kichwa, akaisalimu roho yake” Sifongo ..
Mwanazuoni ni mtu aliyejikita Katika utafiti au usomi wa ndani zaidi Katika tasnia fulani , lengo ni kupata ufumbuzi wa yale magumu yenye utata au yaliyojificha… Hivyo Katika biblia Mwanazuoni ni mtu anayeingia ndani kujifunza Biblia, ili kuieleza katika urahisi zaidi au katika ufasaha zaidi kwa jamii au kutoa majibu ya mambo magumu yaliyo ndani ..
Jina la mwokozi wetu Yesu kristo lihimidiwe daima. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Je madhabuhi ni nini? Madhabahuni ni eneo la kanisa ambalo watu wote uenda na kumtolea Mungu sadaka , kuomba, kushiriki meza ya Bwana, na kupeleka shukrani za sifa kwa Mungu (ni mahali pa kukutana na Mungu). Kwa maana hiyo madhabahuni si pale ..