Author : Peter Paul

Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo alie Bwana na mwokozi wetu. Karibu tuyatafakari maneno ya mwokozi wetu. Wakristo wengi tunapenda kusikia Mungu akituahidia ahadi mbali mbali katika maisha yetu, na tunatamani tupokee tu bila kutaka kujiandaa ama kukubaliana na matengenezo/gharama za ahadi hiyo. Kama vile mzazi anavyomuahidia mtoto wake kumfungulia biashara Fulani. Kwa ..

Read more

Shalom mwana wa Mungu nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Tofauti na watu wengi tunavyomfikiria shetani kwamba huenda huwa anakurupuka tu anapotaka kumuangusha mwamini katika dhambi na kumrudisha nyumba huwa tunadhani kuwa ni kitendo cha ghafula tu hafanyi maandalizi yoyote anakurupuka tu na kufanya anachotaka lakini ndugu si ..

Read more

Isaya 59:5[5]Huangua mayai ya fira, na kusuka wavu wa buibui; yeye alaye mayai yao hufa, na hilo livunjwalo hutoka nyoka. Mstari huu humaanisha asili ya watu wabaya. Anasema huangua mayai ya fira. Fira Kwa Kiswahili kingine ni swila au Kwa lugha inayo tambulika na wengi ni kobra ni aina ya jamii ya nyoka wenywe sumu ..

Read more

Ili tuweze kuelewa vizuri Habari hii hatuna budi kusoma kuanzia juu kidogo. Tukisoma hiyo mistari ya hapo juu tutapata kuelewa vizuri. Mathayo 15: 21 “Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. 22 Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Katika ulimwengu huu tunaoishi wanadamu Kuna falme kuu mbili, yaani Ufalme wa Nuru na ufalme wa giza. Na ufalme wa Nuru ndio Roho ya Mungu. na ufalme wa giza ni roho ya ibilisi yaani roho ya Dunia. Sasa hakuna mwanadamu ambae yupo katikati kwamba yeye hayuko ..

Read more

Lugha iliyotumika katika uandishi wa Biblia ni Kiswahili cha zamani ambacho ni kigumu kidogo kukielewa na ndio maana mstari huu unakuwa ni mgumu kueleweka hasa kwa mtu anaesoma toleo moja tu la Biblia. Sasa ili kupata maana nyepesi zaidi kueleweka tukisoma Amplified Bible inaeleza vizuri zaidi hebu tusome. Proverbs 15:27[27]He who is greedy for unjust ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe ndugu katika Kristo Yesu karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama mwamini uliyemuamini Yesu Kristo kweli kweli na kusimama thabiti katika imani kwa muda mrefu na Kristo ziko dalili ambazo ukiziona hizo ndani yako jua kabisa kama usipokuwa makini na kutaka kupiga hatua mbele jua kabisa unakwenda kuanguka tena anguko kubwa sana. Tutakwenda ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Mstari huu ukiusoma kwa makini unatufundisha mambo makuu mawili ambayo Kuna makundi mawili ya watu walioko hapa duniani. Na tutaangalia kundi moja baada ya lingine. Kundi la kwanza ni kundi la Watakatifu. Hili ni kundi la watu lililomuamini Yesu Kristo au lililoamua kuyasalimisha maisha yake kwa ..

Read more

Shalom, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tafsiri ya neno “kutuhudhurisha” maana yake ni “kutusogeza karibu na jambo fulani au kitu fulani .” Maana yake ni kwamba chakula sisi tunachokula tunachokula na kinaenda kutupa nguvu katika miili yetu hakitusogezi karibu na Mungu wala kutuweka mbali na Mungu la!. Huwezi kula chakula kingi au ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Maneno haya aliyazungumza Bwana Yesu kwa wanafunzi wako kuwaonya juu ya mambo yatakayotokea katika nyakati walizokuwepo baada ya yeye kuondoka lakini maneno hayo yanadhihirika kwa kasi ya ajabu hata kwetu sisi katika nyakati hizi za Mwisho hebu tusome. Luka 17:22 “Akawaambia wanafunzi, Siku zitakuja mtakapotamani kuona ..

Read more