Author : Rehema Jonathan

Shalom. Kifo cha kuhani wa Mungu Eli kilikuwa kwa kuvunjika shingo SI namna nyingine yoyote pia kama funzo kwetu kuhusu UTII dhidi ya Maagizo ya Mungu.. Mithali 29:1 “Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa”. Eli alikuwa kuhani kwa miaka 40, akiongoza pamoja na wanawe wawili [Hofni na Finehasi], lakini wanawe hawa ..

Read more

Karibu tujifunze Maneno ya Uzima. Nini maana ya kuwatema Farasi? Na kwanini Mungu aliwaagiza Israel kuwatema Farasi wa adui zao? Tusome.. Yoshua 11:6 “Bwana akamwambia Yoshua, Usiche wewe kwa ajili ya hao; kwani kesho wakati kama huu nitawatoa hali wameuawa wote mbele ya Israeli; UTAWATEMA FARASI ZAO, na magari yao utayapiga moto. 7 Basi Yoshua ..

Read more

Shalom. Swali: Mafarisayo walipomwambia Yesu kuwa alitoa Pepo kwa beelzebuli, JE? Alimaanisha Nini alipowauliza JE watoto huwatoa kwa nani? Tusome.. Mathayo 12:24 “Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo. 25 Basi Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, Kila ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, hufanyika ukiwa; tena mji au nyumba ..

Read more

Shalom. Yeremia 23:18 “Maana, ni nani aliyesimama katika baraza la Bwana, hata akalifahamu neno lake na kulisikia? Ni nani aliyelitia moyoni neno langu, na kulisikia” Tufuatilie mtiririko wa habari hii kwa kuendelea mpaka 22, ili tupate taarifa sahihi zaidi.. “19 Tazama, tufani ya Bwana, yaani, ghadhabu yake, imetokea; ni dhoruba ya kisulisuli; itapasuka, na kuwaangukia ..

Read more

Swali: JE? Biblia Ina maana Gani kusema “vipo sita, naam vipo Saba” kwanini isingesema moja kwa moja tu kuwa vipo Saba? Jibu: inayotumika hapo ni lugha ya Zamani inayotumika kuweka mkazo au msisitizo kuhusu lile jambo la mwisho, yaani Kama vinaonekana vinne, lakini kuna Cha tano ambacho ni muhimu zaidi. Mfano tufuatilie maneno haya, Mithali ..

Read more

Shalom, jina la Bwana libarikiwe. Mithali 14:20 “Maskini huchukiwa hata na jirani yake; Bali tajiri ana rafiki wengi” Angalia na hapa.. Mithali 19:4 Inasema “Utajiri huongeza rafiki wengi; Bali maskini hutengwa na rafiki yake”. Hizi ni Mithali kama zilivyoandikwa na mfalme Sulemani kwa hekima alizopewa na Mungu, ameainisha mafunzo na maonyo mbalimbali kuhusu maisha ya ..

Read more

  Shalom. Isaya 42:19 “Ni nani aliye kipofu, ila mtumishi wangu? Au aliye kiziwi, kama mjumbe wangu nimtumaye? Ni nani aliye kipofu, kama yeye aliye na amani? Naam, kipofu kama mtumishi wa Bwana? 20 Unaona mambo mengi, lakini huyatii moyoni; masikio yake ya wazi, lakini hasikii”. Maneno ya Mungu kupitia nabii Isaya kwa Wayahudi, waliokuwa ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Ili kupata taarifa sahihi, tufuatilie habari nzima kuanzia juu kidogo.. 1Wakorintho 14:26 “Basi, ndugu, imekuwaje? Mkutanapo pamoja, kila mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana ufunuo, ana lugha, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga. 27 Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, ..

Read more

Shalom. Hakuna chakula kilichokatazwa, kwa maana kinachomnajisi mtu, si kinachoingia bali kinachotoka. Pia tuangalie nyaraka mbalimbali za mitume zimasemaje kuhusu hili.. 1Timotheo 4:1-5 inasema.. “Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; 2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao ..

Read more

Shalom. Swali hili halikuanza kuwatatiza watu Leo, hata Zamani hizo kipindi Cha Yesu Kristo duniani liliulizwa pia. Tusome.. Luka 13:23 ″Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia, 24 Jitahidini kuingia katika MLANGO ULIO MWEMBAMBA, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze. 25 Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi ..

Read more