Author : Yonas Kisambu

USIRUHUSU CHAWA WAINGIE NDANI YAKO Jina kuu la Bwana Yesu Kristo libarikiwe milele daima. Karibu tujifunze biblia. Kabla hatujaangalia chawa wanawakilisha nini katika roho, hebu kwanza tutazame chawa wa kawaida na tabia zao kwa ufupi. Kama wengi tunavyojua chawa ni mdudu ambaye hukaa au kuishi kwenye mwili, nywele au nguo za kiumbe mchafu. Chawa hutokana ..

Read more

TUSILEWE KWA MVINYO BALI TUJAZWE ROHO Neno la Mungu linasema katika.. Waefeso 5:18 “Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;“ Katika biblia, mtu ambaye amejazwa Roho Mtakatifu anaonekana kama mlevi, kwasababu ya tabia zake kufanana na tabia za walevi. Hebu tusome maandiko yafuatayo ili tulithibitishe hili. Matendo ya Mitume 2:1 Hata ilipotimia ..

Read more

Je umeushinda ulimwengu? Yohana 16:31 “Yesu akawajibu, Je! Mnasadiki sasa? [32]Tazama, saa yaja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; walakini mimi si peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami. [33]Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; MIMI NIMEUSHINDA ULIMWENGU.” ..

Read more

USIKUBALI KUPOTEZEWA MUDA Kati ya jambo ambalo unapaswa kuzingatia sana katika safari yako ya wokovu na hata katika maisha haya ni kitu kinachoitwa MUDA, ukweli ni kwamba muda ni kitu pekee ambacho kina thamani zaidi ya kila kitu..hapa duniani. Hakuna mtu aliyewahi kununua muda hata sekunde moja, haijalishi atakusanya fedha kutoka kwenye mabengi yote duniani, ..

Read more

NA WA KWANZA ATAKUWA WA MWISHO Shalom, nakusalimu katika jina la Bwana Yesu Kristo. Karibu tujifunze biblia maneno ya uzima. Biblia inatuambia “Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake,…” (Mhubiri 7:8), hii ni kweli kabisa, mara nyingi watu ambao wanaanza vizuri kufanya jambo Fulani hawamalizi vizuri bali ni wengine wanakuja kutokea mwishoni na kufanya vizuri, ..

Read more

Usikubali kuvuliwa Mavazi na Ibilisi Shalom mtu wa Mungu.. jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe sana. Karibu tuongeze ufahamu katika Elimu ya ufalme wa Mungu. Maandiko yanasema katika.. Wakorintho 2: 9 ”Maana naliandika kwa sababu hii pia, ili nipate bayana kwenu kwamba mmekuwa wenye kutii katika mambo yote. [11] Shetani asije akapata kutushinda; KWA MAANA ..

Read more

Usichukie Kuambiwa ukweli Upo usemi unaosema ”ukweli unauma” hilo ni kweli kabisa, ni watu wachache sana ambao wanaweza kupokea ukweli kama ilivyo hata kama unawakosoa, wengi huwa hawataki kuambiwa ukweli wa mienendo yao mibovu, tabia zao mbaya, udhaifu wao, kasoro zao.. na hali zao za kiroho. Katika biblia tunasoma mtu mmoja ambaye aliambiwa ukweli wa ..

Read more

KWASABABU MSIPONISADIKI YA KUWA MIMI NDIYE MTAKUFA KATIKA DHAMBI ZENU. Yohana 8:21-24 “Basi akawaambia tena, Mimi naondoka, nanyi mtanitafuta; nanyi mtakufa katika dhambi yenu; mimi niendako ninyi hamwezi kuja. [22]Basi Wayahudi wakasema, Je! Atajiua! Kwa kuwa asema, Mimi niendako ninyi hamwezi kuja? [23]Akawaambia, Ninyi ni wa chini, mimi ni wa juu; ninyi ni wa ulimwengu ..

Read more

Iweke sadaka yako juu ya mwamba halisi. Shalom mtu wa Mungu.. Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ni siku nyingine tena Bwana ametupa neema ya kuendelea kuona jua lake.. utukufu na heshima ni zake milele. Karibu tujifunze Neno lake ambalo ni mwanga wa njia zetu. Na siku ya leo tutajifunza somo linalohusu sadaka, ikiwa utahitaji kufahamu zaidi ..

Read more

Kwanini ni lazima kuzaliwa mara ya pili? Yohana 3:3 “Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Hapo maandiko yanatupa jibu la moja kwa moja kwamba mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu. Ndio maana ni lazima kuzaliwa mara ya pili. Sasa, kabla hatujaona ..

Read more