TU WASAFIRI HAPA DUNIANI. 1Mambo ya Nyakati 29:15 “Kwani sisi tu wageni mbele zako, NA WASAFIRI, KAMA WALIVYOKUWA BABA ZETU WOTE; ni kama kivuli siku zetu duniani, wala taraji ya kukaa hapana”. Mtu yeyote anayejiita ni mkristo ni wazi kuwa yupo safarini, Na kama yupo safarini ni lazima afahamu malengo yake ni nini, kwamba anatoka ..
Author : Yonas Kisambu
JIPONYE NAFSI YAKO USITAZAME NYUMA Ndugu yangu ni vizuri kufahamu kuwa hii dunia tayari imeshatamkiwa hukumu, na hakuna maombi yoyote yanayoweza kuifuta hukumu ya huu ulimwengu. Yaliyotamkwa na kuandikwa yatatimia kama yalivyo.. Hivyo kilichobaki kwetu ni sisi kuondoka na kujiokoa nafsi zetu, na katika safari yetu, hatupaswi kurejea/kutazama nyuma..tunapaswa tukazane kuzidi kusonga mbele, kwasababu ..
Ni nini Mungu anachokiangalia kwanza tunapomtolea sadaka. Watu wengi tunamtolea Mungu aidha kwa njia ya fungu la kumi au kwa njia nyingine yoyote ile tunayoijua ..lakini mara nyingi hatuoni faida ya kutoa na mwisho wa siku tunaishia kuona kuwa Mungu hajibu au anajibu tu watu fulani. Ukweli ni kwamba Mungu huwa anajibu mapema sana bila ..
WAFU WATAFUFULIWA Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu na mwokozi wetu Yesu Kristo, Mfalme wetu, Karibu tujifunze maneno ya uzima. Kabla hatujaendelea mbele, Naomba usome ushuhuda huu mfupi utakuwa msingi wa somo letu. “Ilikuwa ni tarehe 17/10/2025 majira ya alfajiri, Bwana alinipa huu ujumbe kupitia ndoto. Niliona miili ya watu wengi ikifufufuka kutoka ..
TUNAHITAJI KUSAIDIANA Nakusalimu katika jina kuu la Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima. Katika ukristo kusaidiana sisi kwa sisi ni jambo la muhimu sana na ni moja ya silaha ya kumshinda adui. Hebu tuitafakari habari hii kwa pamoja kisha tujifunze somo. 1 Mambo ya Nyakati 19:8 “Basi Daudi aliposikia habari akamtuma Yoabu, na jeshi ..
Jinsi mitandao inavyowafunga watu na kuwaweka mbali na Mungu. Biblia inasema.. 1Wakorintho 10:23 “Vitu vyote ni halali; bali si vitu vyote vifaavyo. Vitu vyote ni halali; bali si vitu vyote vijengavyo.” Hii ikiwa na maana kuwa mitandao ni mizuri inaturahisishia vitu vingi na tunapata faida lakini pia sio kila mtandao unafaa. Hivyo tunapaswa tuwe makini ..
Kama shujaa wa Bwana ni lazima uwe na uso kama wa Simba. Jina kuu la Bwana YESU KRISTO Mkuu wa Wafalme wa dunia na Simba wa kabila la Yuda libarikiwe milele yote. Karibu tujifunze injili ya kweli. Kama tunavyojua simba ni mnyama jasiri asiye na woga, biblia inasema katika.. Mithali 30:29 “Kuna watatu wenye mwendo ..
Usiwe miongoni mwa makutano wanaofuata Yesu. Shalom, karibu tujifunze Neno la Mungu.. Kipindi Bwana wetu Yesu alipokuwa hapa duniani, kulikuwa na kundi kubwa la watu waliokuwa wakimfuata, hawa walikuwa tu wanakusanyika kusikiliza mahubiri ya Bwana Yesu ambao mara zote Bwana alikuwa anazungumza nao kwa mifano, na kuwaponya magonjwa yao..baada ya hapo walikuwa wanarejea katika shughuli ..
Madhara ya kuabudu Sanamu. Sanamu ni kitu chochote kile kinachotengenezwa chenye umbile aidha la malaika wa mbinguni, mwanadamu, mnyama, au mimea…Mwanadamu yoyote anayetengeneza kitu chochote chenye mifano ya hivyo vitu tayari kashatengeneza sanamu. Moja ya amri 10 Mungu alizowapa wana wa Israeli, ilikuwa ni pamoja na kujiepusha na ibada za sanamu za aina yoyote.. Amri ..
SANAMU ZINAZOTEMBEA Je! Unafahamu kuwa kuna sanamu zinazotembea? (Zizungumzii yale maroboti yanayoendeshwa kwa umeme). Kwa kawaida sanamu yoyote haiwezi kutembea wala kufanya jambo lolote kwasababu haina uhai ndani yake, ni kama jiwe tu. Kweli inaweza kuwa na miguu mizuri lakini haitembei, inaweza kuwa na mikono lakini haishiki, inaweza kuwa na macho mazuri lakini hayaoni, na ..