Mtu hataishi kwa Mkate tu,ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu Je! Unaishi kwa kila neno linalotoka katika kimywa cha Mungu? Mathayo 4:4″ Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.”… Na kila neno linalotoka katika kinywa cha Mungu ni lipi? Ikiwa hufahamu ..
Category : Biblia kwa kina
Ni nini tunajifunza kwa Shamgari? Shamgari alikuwa ni shujaa wa Israeli aliyetokea kipindi cha Waamuzi na kuwaokoa Israeli mikononi mwa Wafilisti kwa kuwapiga watu mia sita (600) kwa mkono wake mwenyewe akitumia tu fimbo ya kuswagia ng’ombe. Tusome habari yenyewe.. Waamuzi 3:31 “Tena baada yake huyo alikuwapo Shamgari mwana wa Anathi, aliyepiga katika Wafilisti watu ..
USIVAE MAVAZI YA KIGENI Sefania 1:8 “Na itakuwa, katika siku ile ya dhabihu ya BWANA, nitawaadhibu wakuu, na wana wa mfalme, na watu wote waliovaa MAVAZI YA KIGENI.” Katika ukiristo mavazi ya kigeni ni yapi? Neno la Mungu linasema.. Mathayo12:33 “Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na ..
Amka utoke katika upofu wa Kiroho. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Mtume Paulo anawaandikia watakatifu waliokuwa Thesalonike maneno haya.. 1 Wathesalonike 5 5 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa nuru, na wana wa mchana; sisi si wa usiku, wala wa giza. 6 Basi tusilale usingizi kama wengine, ..
Kuna umuhimu wowote wa kunena kwa Luga?. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari meneno ya uzima. Nini maana ya kunena kwa Lugha?. Ni kuongea au kuomba kwa Lugha ya kipekee ya rohoni, ambayo haieleweki kwa akili ya kawaida . Lugha hii si Lugha ya kawaida ya binadamu bali ni Lugha ya Rohoni ..
Shukuruni kwa kila jambo Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima.! Umewahi kufikiri kwa ni nini Maandiko yanatutaka tushukuru kwa kila jambo? Ni jambo ambalo si jepesi haswa pale unapopitia katika magumu si rahisi kushukuru kwa ajili ya hayo magumu. Ni rahisi kumshukuru Mungu katika mazuri tu lakini katika ..
Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele yote karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ipo tofauti kubwa kati ya mtu ambae amekua kiroho na ana karama za rohoni na mtu ambae anakarama za rohoni lakini ni mchanga katika roho yaani hajakua bado. Ni jambo ambalo linawachanganya Wakristo wengi wanashindwa kuelewa badala yake wanapoona mtu anafanya ..
Bali utafuteni kwanza ufalme wake. Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakri maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Bwana Yesu aliwaambia maneno haya wanafunzi wake wale ambao tayari walikuwa wamekubali kumfata. Hakuwa anazungumza na wapagani. Kuna waliomuelewa anamaanishha nini na kuna wale ambao hawakumuelewa alikuwa anamaanisha nini. kama Yule kijana aliambiwa na ..
Umepandwa kandokando ya vijito vya maji.?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Zaburi 1 1 Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. 2 Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari ..
Usishindane na zinaa ikimbie!. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele yote karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Tofauti na inavyodhaniwa na watu wengi kwamba zinaa(uasherati & uzinzi) kwamba ni tamaa za mwilini/hitaji la mwili lakini ukweli ni kwamba sivyo jambo hili ni vita inayoanzia ndani yaani ni vita vya rohoni baadae ndio vinatokea mwilini ..