Category : Biblia kwa kina

CHANZO CHA MATATIZO Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa iongozayo njia zetu. Biblia inasema “Mjue sana Mungu ili uwe na Amani (Ayubu 22:21)”..Siku zote ukijua sababu ya jambo Fulani basi unapata amani. Amani inakuja baada ya kujua sababu ya jambo Fulani. Leo tutajifunza juu ya ..

Read more

ADUI AKIONA AMESHINDWA ANAKUJA KWA HILA. Si kila wakati ibilisi atakuja kama mpingamizi, au mharibifu, hapana, lengo lake litakuwa ni hilo ndio, lakini akijua hawezi tena kuja moja kwa moja, atakuja kwa ujanja wa kujionyesha ameshindwa wewe una nguvu nyingi, atajiweka chini yako, ajifanye kuwa yeye siku zote ni mnyonge tu.. lakini kumbe ameshakuweza. Ndicho ..

Read more

Je! unakunywa maji kwa namna gani? Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu liwezalo kutupa uzima tele. Tukisoma kitabu cha Waamuzi 7 na ule mstari wa 4, Mungu anamwambia Gideoni.. “BWANA akamwambia Gideoni; Hata sasa watu hawa ni wengi mno; uwalete chini majini, nami nitawajaribu huko kwa ajili yako; kisha itakuwa ya ..

Read more

MTASITA-SITA KATIKATI MAWAZO MAWILI HATA LINI? 1Wafalme 18:20 “Basi, Ahabu akapeleka watu kwa wana wa Israeli wote, akawakusanya manabii pamoja katika mlima wa Karmeli. [21]Naye Eliya akawakaribia watu wote, akanena, Mtasita-sita katikati ya mawazo mawili hata lini? BWANA akiwa ndiye Mungu, mfuateni; bali ikiwa Baali ni Mungu, haya! Mfuateni yeye. Wale watu hawakumjibu neno. Je! ..

Read more

ITHAMINI NEEMA YA WOKOVU Biblia inatuambia.. “…utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa KUOGOPA na KUTETEMEKA”.(Wafilisti 2:12) Unajua kwanini tunapaswa kutimiza wokovu wetu kwa kuogopa na kutetemeka? Ni kwasababu, wokovu ni jambo lisilo la kawaida, ni jambo la kushangaza sana. Ukitafakari kwa kina namna ilivyopatikana na jinsi tulivyoipokea..tunabaki tu kushukuru..basi!. Hii neema ya wokovu ambao unapatikana sasa ..

Read more

NAYE AKAJINYOSHA AKALALA CHINI YA MRETEMU. Mretemu ni nini? Mretemu ni aina ya mti ujulikanao sasa kama “MTARAKWA”. Zipo jamii nyingi za mitarakwa kulingana na mahali na mahali. Mtarakwa unaomea katika bara la Afrika ni tofauti kimwonekano na ule unaomea katika bara la Ulaya, (kutokana na hali ya hewa). Lakini yote inamatawi yanayofanana na tabia ..

Read more

NA MIAKA ELFU NI KAMA SIKU MOJA 2 Petro 3:8 “Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja”. Kuna msemo ambao unajulikana na watu wengi kwamba ”Mungu hachelewi wala hawahi” maana yake wakati sisi tunaona amechelewa/amekawia kumbe yeye anaona amewahi sana, na ..

Read more

Nini kinakutokea unapoenda kinyume na Nuru/Kweli. Nakusalimu katika jina lipitalo majina yote, jina la Yesu Kristo wa Nazareth. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu. Kama tunavyojua kazi mojawapo ya mwanga ni kutusaidia kuona hususani wakati wa usiku. Lakini, je umewahi kutembea njiani ukakutana na mwanga mkali ukakumulika? Nini kilikutokea? ..

Read more