KUBALI KUPITISHWA KATIKA MOTO UWE SAFI. Hesabu 31:23 kila kitu kiwezacho kuuhimili moto, MTAKIPITISHA KATIKA MOTO, NACHO KITAKUWA SAFI, pamoja na haya kitatakaswa kwa hayo maji ya farakano; na kila kitu kisichouhimili moto mtakipitisha katika hayo maji. Unapozaliwa mara ya pili kwa kumwamini Yesu Kristo na ukatubu dhambi kwa kumaanisha kuziacha kabisa kisha ukabatizwa ..
Category : Mafundisho ya awali ya wokovu
Vitu vitatu ambavyo unapaswa kufanya mara tu baada ya kuokoka ili ufikilie utakatifu. Nakusalimu katika jina la Mwokozi YESU KRISTO Mfalme wa wafalme na Bwana wa Mabwana. Kama kijana, mzee na mtu yoyote uliyemwamini Yesu Kristo na kukubali kumfuata, vipo vitu vitatu ambavyo ni lazima uvifanye ili uweze kufikilia utakatifu. Kwanini utakatifu? Ni kwasababu pasipo ..
Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze Neno la Mungu.. Kwa Neema za Bwana tutakwenda kuangazia ni namna gani tunaweza kujua njia ya wokovu kupitia kitabu cha warumi.. Pengine ulishawahi kukisoma,au ni msomaji wa kitabu hicho ila leo tutajifunza jambo lingine ambalo hukuwahi kulifahamu.. njia ya wokovu ndani ya kitabu cha warumi ni mpango wa wokovu ..

FUNDISHO MAALUMU KWA WALIOMWAMINI NA KUMPOKEA YE..

FUNDISHO MAALUMU KWA WALIOMWAMINI NA KUMPOKEA YE..

SWALI: Nina maswali yafuatayo ambayo naomba msaada wa ufafanuzi, swali la kwanza ni je ufalme wa MUNGU ni nini? Swali la pili ni kwamba, kwa nini ufalme wa MUNGU utakuwa ndani yetu, je ni Roho Mtakatifu ndiye anayezungumziwa hapa au? Na swali langu la tatu ni je, ufalme wa MUNGU ulikuja kipindi gani? Shalom wapendwa ..

Ikiwa umeshampa Kristo maisha yako kwa kutubu dhambi zako kwa kudhamiria kuziacha na kubatizwa katika ubatizo sahihi, basi tambua kuwa, hiyo ni hatua ya awali kabisa katika safari yako ya wokovu wa nafsi yako, lipo jambo jingine muhimu sana baada ya hilo, nalo si jingine zaidi ya KUDUMU KATIKA FUNDISHO ..

Maskini wa roho ni watu wa namna gani?(Ma..
Ili mkristo yeyote aweze kusimama, na kuwa na ustawi mzuri wa maisha yake ya kiroho, basi hana budi kuhakikisha mambo haya manne yamesimama vema ndani yake. Neno la Mungu Maombi Ushirika Kuangaza Nuru Tukisoma kitabu cha matendo ya Mitume sura ile ya pili utaona, pindi tu wale watu walipoamini Injili ya mitume na kubatizwa, hawakukaa ..