Je! Nikiwa naona maono si ndo basi Roho mtakatifu ninaye hivyo sina haja ..
Je! Nikiwa naona maono si ndo basi Roho mtakatifu ninaye hivyo sina haja ..
Je, wanafunzi wa Bwana Yesu walienda kinyume na Agizo la Bwana wao, alipowaagiza waende ulimwenguni kote wakawafanye mataifa kuwa wanafunzi wake wakiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu (Mathayo 28:19), ila badala yake wakaenda kubatiza kwa jina la Yes..
Je! Ubatizo wa maji sio wa muhimu tena kwasababu ukimkiri Bwana Yesu kwa kinywa chako tu..
Konzi ni neno la vipimo linalomaanisha ujazo wa mkono. Kitu chochote kinachojaa katika mkono ni konzi.. Utalipata Neno hilo katika vifungu hivi; Mhubiri 4:6[6]Heri konzi moja pamoja na utulivu,Kuliko konzi mbili pamoja na taabu;na kujilisha upepo. Soma pia. Isaya 40:12, Kutoka 9:8, Ezekieli 13:19, Walawi 2:2. Kwamfano katika habari hiyo, Bwana anatushauri ni heri tupokee ..
Juya ni kitu gani katika biblia?(Math..
Je! Hadi sana kuna manabii..
Lumbwi ni kiumbe gani kwenye..
Naye ye yote ambaye litamwangukia, litamsaga..
Hili ni Neno linalomaanisha mashitaka, au malalamiko, ambayo lengo lake ni kufikishwa mbele ya mahakama ili kutolewa hukumu. Kwamfano, pale mfanyakazi wako, amekuibia, au amekutukana, au amekuharibia mali zako na wewe unataka kumpeleka mahakamani kwa tendo hilo, ili awajibishwe. Sasa hilo shitaka ambalo unampelekea mahakamani kwa jina lingine ndio linaloitwa Daawa. Neno hili katika agano ..
SWALI: Ikiwa yeye ndio mwanzilishi wa ubatizo wa maji tele na akawabatiza watu wengi, swali ni je yeye naye alibatizwa kama wao? Na kama ni ndio je alibatizwa na nani? JIBU: Katika suala la wokovu, kanuni ya Mungu huwa haichagui cheo cha mtu, ukubwa wa mtu, nafasi ya mtu au kwamba wewe ni mwanzilishi au ..