Shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo tu! Ayubu 20:4 Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi, [5]Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu? Jambo ambalo watu wengi huwa hawajui ni kwamba uhai ni zawadi toka kwa Mungu, ..
Category : Uncategorized
Tujifunze kanuni za Mungu Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Ni muhimu kujua kanuni kadhaa za ndani ya biblia ambazo Mungu anataka tuzifuate ili tufanikiwe (kimwili na kiroho), Zipo kanuni nyingi katika biblia ambazo ..
LIPO LA KUJIFUNZA KWA WALE WAZALISHA WA KIEBRANIA Masomo maalumu kwa waajiriwa/wafanyakazi Nakusalimu kwa jina la Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Ikiwa wewe ni mfanyakazi/mwajiriwa, basi leo utajifunza kitu kwa habari hii tunayoenda kuisoma ambayo inahusu wale wazalisha wa Kiebrania..na jambo hili ukilitendea kazi katika ..
Lakini nakujua, kuketi kwako, na kutoka kwako, na kuingia kwako; Isaya 37:28 “Lakini nakujua, kuketi kwako, na kutoka kwako, na kuingia kwako; NA GHADHABU YAKO ULIYONIGHADHIBIKIA.” Watu wengi huwa wanadhani wanapofanya maovu na huku hamna hatua yoyote inayochukuliwa na Mungu dhidi yao, wanafikiri au wanadhani labda Mungu hajui kinachoendelea juu ya maisha yao. Hivyo wanaendelea ..
NIMEOKOKA NAMPENDA YESU. Shalom: jina la Bwana Yesu libarikiwe. Karibu tuongeze ufahamu wa kumjua Mungu. Unaelewa maana halisi ya kuokoka na kumpenda Yesu? Katika siku hizi za mwisho, Neno hili “kuokoka na kumpenda Yesu” au kukiri ukristo. Limekuwa likitumiwa kinyume na ukweli wa Neno lenyewe. Kwani kila mtu sasahivi ukimuuliza umeokoka? Moja kwa moja atakujibu ..
MKUMBUKE MUUMBA WAKO SIKU ZA UJANA WAKO Jina la Bwana Yesu Kristo Mkuu wa uzima libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Kristo. Neno la Mungu linasema… “Maombolezo 3:27 “Ni vema mwanadamu aichukue nira Wakati wa ujana wake.” Vijana wengi wanadhani kumtafuta Mungu ni mpaka uzeeni, mara nyingi utasikia wakisema mpaka niutumie ujana wangu kwanza vizuri… mambo ..
YATAFAKARI MATESO YA BWANA YESU Hii neema ya wokovu ambao unapatikana sasa bure, tusidhani yule aliyetuletea hakuingia gharama yoyote kuupata,…haikuwa ni jambo la kutamka tu na kusema niaminini mimi mtaokoka!. Kristo ilimlazimu aingie gharama ili kukamilisha kitu kinachoitwa WOKOVU. Kwani wokovu ili ipatikane ina kanuni yake, ilimpasa mtu apatikane ambaye atatolewa kama sadaka, ..
Fumbi ni kijito kibibujikacho maji yatokayo katika chemchemi iliyo katika hiyo chamchela.Pia kijito cha Maji ni Mungu mwenyewe kama alivyosema kuwa yeye mti pia ni maji ya uzima yawezayo kukata kitu ya kutenda maovu na maasi mbele za Muumba wetu. Hivyo unaweza kushuhudia kuwa kabla ya kuokoka mtu alikuwa mlevi au mvutaji wa sigara lakini ..
Shalom mpendwa karibu tujifunze maneno ya uzima yatokayo kwa Bwana wetu yesu kristo. Jibu ni kwamba inategemea na hiyo ibada inayofanywa ina maudhui gani ikiwa hiyo Ibada inalenga kumuombea mfu hiyo ni dhambi mbele za Mungu lakini ikiwa na lengo la kuwafundisha watu, kuonya,kushukuru na kuwajenga watu waishi maisha ya kumpendeza Mungu hiyo ni njema ..
Bwana Yesu asifiwe, karibu tena tujifunze Neno la Mungu kama maandiko matakatifu yanavyosema katika zaburi 119:105 Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu. Kuligana na swali letu ili tuweze kuelewa zaidi tusome kwanza kifungu hiki Ufunuo 21:8 “BALI WAOGA, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na ..