
JIBU: Silaha ya nia aliyokuwa nayo Kristo ambayo na sisi tunapaswa kujivika, ni NIA NA KUSUDI la kukubari kutesaka na kufa, kuliko kushindwa kutimiza kusudi la Mungu la yeye kufa msalabani ili watu wa mataifa yote wapate wokovu, hiyo ndio nia iliyokuwa ndani Bwana wetu na Mwokozi ..