Archives : July-2022

Je neno “Mego” linamaana gani katika biblia?

“Mego”, limetokana na neno, kumega. Kitu chochote kilichomegwa, au kunyofolewa mahali Fulani, ndicho kinachoitwa “Mego”. Ni kipande kidogo katika kitu kizima. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Mithali 17:1 “Afadhali mego kavu pamoja na utulivu, Kuliko nyumba yenye karamu nyingi pamoja na magomvi”. Maana yake ni kuwa, ni heri kuishi katika nyumba, ambayo kinachopatikana ni ..

Read more