Sote tunafahamu kuwa, Mungu husema na kila mtu duniani kwa nyia nyingi na tofauti tofauti, Mungu husema na watakatifu kwa njia tofauti tofauti, husema na wenye dhambi kwa nyia nyingi mno, husema pia na watu walio na ulemavu wa akili, ..
Archives : August-2022
Moja ya kazi ya ibilisi duniani ni kutaka kuwafanya wanadamu wadumu katika dhambi na kujifariji katika hizo, na kitu ambacho ibilisi anakitumia ili kuwafanya watu wadumu katika dhambi si kingine zaidi ya maandiko matakatifu, kumbuka, ibilisi haji na kitabu cha fizikia, au sayansi, au ..
Isaya 66:23 inasema, Na itakuwa, MWEZI MPYA HATA MWEZI MPYA, NA SABATO HATA SABATO, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asem..
Ulishawahi kujiuliza swali kama hilo au swali linalofanna na hilo? Au ulishawahi kutamani kitu kama hicho kutoka kwa Bwana? Kama jibu ni ndio, basi fahamu kuwa wewe sio wa kwanza, kwani hata mitume wake waliotembea nae na kula walishawahi omba kitu kama hicho kut..
Umepata faida gani tangu uliopoanza kuwa mnywaji wa pombe na mlevi? Kuna chochote kile cha maana ulichokipata zaidi ya kujishushia heshima katika jamii kwa sifa mbaya ya ulevi? Kuna choc..
Ulishawahi jiuliza kwanini Mungu aliamua kutetemesha misingi ya gereza wakati Sila na Paulo walipokuwa wakimwomba na kumwimbia usiku wa manane? Au unadhani Mungu alishindwa kuwatoa gerezani Sila na Paulo katika kifungo ch..
SWALI: Kwanini tukisoma maandiko tunaona watu wa kanisa la kwanza walikuwa wakijazwa Roho Mtakatifu zaidi ya ..
Maneno hayo aliyaandika mtume Paulo kwa makanisa yaliyokuwapo Korintho, ambayo kutokana na utajiri wa neema ya Mungu waliyoipata kwa kuamini, na kujaaliwa karama za rohoni, na nguvu..
Yeshuruni ni jina lingine la taifa la Israeli, lililotumika zamani hususani katika Mashairi yao. Kumbukumbu 32:12 “Bwana peke yake alimwongoza, Wala hapakuwa na mungu mgeni pamoja naye. 13 Alimpandisha mahali pa nchi palipoinuka, Naye akala mazao ya mashamba; Akamnyonyesha asali iliyotoka jabalini, Na mafuta yaliyotoka katika mwamba wa gumegume; 14 Siagi ya ng’ombe, na maziwa ..
Balaam mwana wa Boeri alikuwa ni nabii huko midiani, ambaye Mungu alikuwa akisema nae kabisa, na tena alimtabiri hadi Bwana Yesu na ujio wake na jinsi atakavyowahukumu wana wote wa uasi [Hesabu 14:17] Lakini kibaya..