Archives : September-2022

Swali; Nini maana ya mstari huu “Sitawaadhibu binti zenu wazinipo, wala bibi arusi zenu wafanyapo uasherati; maana wao wenyewe huenda kando pamoja na wanawake wazinzi, hutoa dhabihu pamoja na makahaba; na watu hawa wasiofahamu wataangamia.” Hosea 4:14 JIBU; Kitabu cha Hosea kimeandikwa karne ya 8 K.K, na karne hiyo hiyo Israel upande wa kazikazini iliyokuwa ..

Read more

Hili limekuwa ni moja ya swali linaloulizwa hasa na watu wasiotaka kusikiliza kabisa habari za Mungu, na pia hata na baadhi ya wasomi wengi duniani kwa kisingizio kuwa, biblia iliandikwa na mtu fulani tu hivyo mwanadamu hapaswi kuzingatia sana waliyoandikwa humo kama wahubiri wengi wanavyosisitiza leo hii, lakini nataka nikwambie ndugu unayesoma u..

Read more