
Karibu katika sehemu ya pili ya makala hii fupi inayoangazia makanisa na mafundisho ya uongo yanayowapoteza watu wengi duniani nyakati hizi za mwisho, tumeshatazama moja huko nyuma katika sehemu..
Karibu katika sehemu ya pili ya makala hii fupi inayoangazia makanisa na mafundisho ya uongo yanayowapoteza watu wengi duniani nyakati hizi za mwisho, tumeshatazama moja huko nyuma katika sehemu..
endapo tusiposimama thabiti katika kuomba na katika neno la Mungu, basi hapo tutamezwa tu, yaani kupotezwa na kuchukuliwa na makanisa ya uongo na mafundisho ya uongo yanayohubiriwa leo hii ambayo katika makala hii fupi tuona baadhi, na hii ni sehemu ya kwanza (0..
Kumekuwa na baadhi ya watu ambao kwa kukosa maarifa, wanajikuta wanatoa maneno ambayo ni kinyume na maandiko matakatifu katika sala zao, hii ni kutokana na kuwa wavivu kuchunguza na kusoma Biblia zao, au kudanganywa na dini za uongo na mitume wa uongo ambao wanajigeuza na kuwa mfano wa mitume..
Swali; Nini maana ya mstari huu “Sitawaadhibu binti zenu wazinipo, wala bibi arusi zenu wafanyapo uasherati; maana wao wenyewe huenda kando pamoja na wanawake wazinzi, hutoa dhabihu pamoja na makahaba; na watu hawa wasiofahamu wataangamia.” Hosea 4:14 JIBU; Kitabu cha Hosea kimeandikwa karne ya 8 K.K, na karne hiyo hiyo Israel upande wa kazikazini iliyokuwa ..
Hili limekuwa ni moja ya swali linaloulizwa hasa na watu wasiotaka kusikiliza kabisa habari za Mungu, na pia hata na baadhi ya wasomi wengi duniani kwa kisingizio kuwa, biblia iliandikwa na mtu fulani tu hivyo mwanadamu hapaswi kuzingatia sana waliyoandikwa humo kama wahubiri wengi wanavyosisitiza leo hii, lakini nataka nikwambie ndugu unayesoma u..
Umeshawahi kujiuliza kwanini Bwana Yesu alisema “amuaminiye yeye haukumiwi (Yohana 3:18)” harafu baadae anakuja na kusema tena “ANIAMINIYE MIMI KAMA VILE MAANDIKO YALIVYONENA? Umeshawahi tafakari kwa umakini maneno hayo..
SWALI: je! Ni sahihi kwa Mkristo kwenda kwenye makabauri au mapango na kuwaomba au kuwauliza mababu zake waliofari..
Je! Kiti cha enzi cha joka kilipo ni wapi, na ni nani atakayepewa kiti cha enzi na nguvu?
JIBU: Kiti cha enzi cha joka (ibilisi na shetani) kinachozungumziwa hapo ambacho mnyama atapewa na huyo joka ni hapa hapa duniani kwa sababu ibilisi ndio mkuu wa dunia hii ( lakini ni kwa k..
SWALI: Biblia inasema katika (1 Timotheo 2:15) kuwa, Mwanamke ataokolewa kwa uzazi wake, je! Ni uzazi upi huo unaoz..
SWALI: Nabii Yoeli alitabiri kwa uweza wa Roho wa Mungu na kusema..
Yoeli 2:28 Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume KWA WAKE, WATATABIRI, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu watao..