Archives : March-2024

Kuhusuru ni kitendo cha kuzingira kitu pande zote, kisiwe na mpenyo wa kutoroka au kupita Na mbinu hizi mara nyingi zilitumika katika kipindi cha agano la kale, majeshi ya zamani wakati wa vita, walikuwa wana hususuru kwanza (kuzingira) maadui zao kabla hawajapigana ili wakose mpenyo au nafasi ya kuweza kutoka, na hii ilikuwa inachukua hata ..

Read more

Shalom!, Bwana Yesu asifiwe!. Chuo cha vita cha Bwana ni moja ya vitabu vya Kihistoria ambacho kina rekodi matukio yote ambayo Bwana aliwapigania watu wake na kuwashindia. Hivyo ni kitabu kinachoelezea matendo makuu ya Bwana alivyo wapigania na kuwashindia katika vita. Kitabu hiki kimetajwa katika. Hesabu 21:13 “Kutoka huko wakasafiri, wakapanga upande wa pili wa ..

Read more

Maana kamili ya “kupiga Kite” ni kutoa pumzi nje, hii huashiria aidha kushangazwa, kupata unafuu au kukata tamaa. Kwamfano mwanafunzi aliyekuwa anangojea matokeo ya mtihani alioufanya, na wakati anatazama matokeo kwenye orodha ya majina anafanikiwa kuona jina lake katika nafasi za waliofaulu na anajikuta amefaulu basi unaweza kuona anashusha pumzi. (Kitendo hicho cha kushusha pumzi, ..

Read more

Neno Mtima”ni neno linalowakilisha aidha “nafsi ya mtu” au “roho ya mtu” Kwa mtu anayeugua rohoni ni sawa na kusema “anaugua katika mtima wake”.. mtu aliyeumizwa nafsini mwake ni sawa na kusema “kaumizwa katika mtima wake”.. hivyo mtima ni neno linalowakailisha Roho au nafsi ya mtu.. Neno hili Mtima limeonekana sehemu mbalimbali Katika Maaandiko… Ayubu 19:27 “Nami ..

Read more

Shalom!, Bwana Yesu asifiwe. Wasamaria kama tunavyosoma katika Biblia hawa walikuwa ni watu kutoka samaria kaskazini Mwa mji wa Yerusalemu. Baada ya ya Israeli wote kupelekwa Ashuru utumwani nchi ya Israeli ilibakia tupu bila mtu yoyote. Mfalme wa Ashuru wa Ashuru aliwachukua watu wengine(Wasamaria/wageni) ili kwenda kuikalia nchi ile ili isiwe poli. Sasa hawa wasamaria ..

Read more

Shalom!. Mwandamo wa mwezi(mwezi mpya) kijiografia katika kipindi hiki mwezi unakuwa katikati ya Dunia na Jua. Nusu ya mwezi inakuwa haipati mwanga wa jua. Sasa katika Agano la Kale mwezi mpya unapoanza yaani siku ya kwanza ya mwezi kwa Wayahudi ilikuwa ni siku Takatifu ambayo Bwana aliagiza hivyo kwa wana wa Israeli na kuna mambo ..

Read more

Nyamafu ni mnyama aliekufa bila kuchinjwa au aliekufa kwa kularuliwa na mnyama mwingine(kama simba kumlarua nyati.) Yaani kitu chochote Chenye uhai kilichokufa kibudu bila kuchinjwa. Katika Agano la Kale Mungu aliwakataza wana wa Israeli kula nyamafu, yaani wasile mnyama wana aina yoyote aliekufa bila kuchinjwa maana wakifanya hivyo watajitia unajisi mbele za Mungu. Walawi 17: ..

Read more

Jina la Bwana libarikiwe.Karibu tujifunze neno la Mungu Neno mganda utakutana nalo sehemu kadha wa kadha katika biblia. Tusome..Walawi 23:10Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Hapo mtakapokuwa mmekwisha ingia hiyo nchi niwapayo, na kuyavuna mavuno yake, ndipo mtakapomletea kuhani mganda wa malimbuko ya mavuno yenu; [11] naye atautikisa mganda mbele za Bwana ili kwamba ukubaliwe ..

Read more

Shalom, karibu tujifunze neno la Mungu. Maana ya neno Adamu ni “wa udongo” (kwa kiebrania) yaani mtu aliyetokana na udongo. Kama ni msomaji mzuri wa biblia utakumbuka mwanadamu wa kwanza kuumbwa alipewa jina na Mungu mwenyewe na jina ilo ndiyo Adamu. Mungu alimwita jina Adamu kutokana na asili ya alipotolewa, yaani mavumbini/ardhini. Tusome..Mwanzo 2:7 Bwana ..

Read more

Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe,Karibu katika kujifunza maneno ya uzima Gombo ni aina ya vitabu ambavyo vipo katika namna ya kuviringishwa, kwa lugha ya kiingereza vinatambulika kama “Scrolls” Aina ya hii ya vitabu ilitumika sana katika karne za nyuma na vilikuwa ni vitabu vya aina ya ngozi. Lakini kwa wakati wetu wa sasa havitumiki tena ..

Read more