Kupatiliza lina maana ya kupiga/kuadhibu, mfano mzuri tunaweza kusema mtu huyu amepigwa na Mungu ni sawa na kusema mtu huyu amepatilizwa na Mungu.. Jambo la kujiuliza je Mungu anapiga watu (anapatiliza)? Jibu la uhakika ni ndio, Mungu Anatoa adhabu, anapatiliza waovu, na wema kama ikiwa watapita kinyume na njia zake.. Kusudi la Mungu kutuadhibu ni ..
Archives : April-2024
Mithali 30:32-33[32]Ikiwa umefanya kipumbavu kwa kujikuza; Au ikiwa umewaza mabaya; Basi weka mkono wako juu ya kinywa chako. [33]Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika kuchochea hasira hutokeza ug omvi. Maandiko yanatupa kuelewa kwamba kila tendo lolote linalofanyika kwa uzuri au ubaya,basi fahamu tu litaleta majibu tu.. Hapo ametumia mfano ..
Choyo ni kitendo cha mtu kuwa na tamaa kubwa, mfano tamaa ya mali, uongozi, au chakula, na hii mara nyingi huambatana na ubinafsi, yaani umimi na kutumia vitu Kwa pupa ilimradi tu kumyima au kuwanyima watu wengine wasipate. Mithali 21:26 “Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi”. Tabia hii si ..
Warumi 12:5-8[5]Vivyo hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo, kila mmoja kwa mwenzake. [6]Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, kwa kadiri ya neema mliyopewa; ikiwa unabii, tutoe unabii kwa kadiri ya imani; [7]ikiwa huduma, tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha, katika kufundisha kwake; [8]mwenye kuonya, katika kuonya kwake; mwenye ..
Yakobo 5:9[9]Ndugu, msinung’unikiane, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango. Maandiko hayatupi nafasi ya sisi kuwa watu wa kunung’unika Kwa namna yoyote ile,hata kwa kuonewa, kudhulumiwa au kuaibishwa kwa namna yoyote,hatupaswi kuwa watu wa manung’uniko, kwasababu kuwa mtu wa hivyo kunakufanya kutokuwa na roho ya uvumilivu ndani yako na kumfanya Mungu ashindwe kuwa mvumilivu ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, Waraka huu kwa Wafilipi Mtume Paulo aliuandika akiwa kizuizini(Gerezani) sasa wakati akiwa kizuizini Kuna watu waliinuka nao wakawa wanahubiri injili lakini kuna waliohubiri kwa nia njema wengine kwa nia ya kumkomoa Mtume Paulo . Sasa ili kuelewa hili jambo vizurii tusome kuanzia juu kwa makini zaidi. ..
Andiko hili linazidi kuonyesha hatari ya kazi za mikono zinazotendwa jinsi zilivyo, ametumia mwenye kuchonga mawe kwasababu wajenzi wa zamani iliwapasa kwenda kwenye miamba ili kuchonga mawe kwa ajili ya ujenzi wa majengo yao, na walikutana na hatari nyingi ikiwemo kuangukiwa na mawe na kuwaharibu viungo pamoja na vifaa vyao vya ujenzi kuwajeruhi, Hivyo pia ..
mithali 27:6 Jeraha utiwazo na rafiki ni amini; Bali kubusu kwa adui ni kwingi sana. ” Ukisoma kwa makini kifungu hicho, rafiki aliye kuwa anazungumziwa hapo si rafiki mnafiki Bali rafiki wa kweli mwenye upendo wa dhati Kwa mwenzake, Sasa hapo aliposema jeraha atiwazo na rafiki ni amini, ni kwamba ikiwa huyo rafiki yako atakwambia ..
Mithali 16:30[30]Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya. Andiko hilo halina maana kuwa kufumba macho kunapelekea mtu kuwaza yaliyopotoka, sivyo, kwasababu ikiwa itamaanisha hivyo, vipo vinavyofanyika , kwa mfano tunapoomba kwa kufumba macho basi ingekuwa tunafanya makosa.. Hekima inapokuwa ndani ya mtu inampelekea kuona aibu hata kufumba macho yake wakati ..
Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtu mwenye rehema ni mtu mwenye huruma, asiyeshikilia chuki,wivu,hasira, visasi, ni mtu mwenye kusamehe watu wengine hata kama amekosewa na alistahili kutoa huku juu ya mtu alie mkosea yeye anachilia kabisa. Maandiko yanasema mtu wa namna hii anaitendea mema nafsi yake. Na Biblia inasema pia kwa ..