Archives : April-2024

Hedaya ni neno linalomaanisha Zawadi ,na ili kuonyesha pongezi au shukrani kwa wema uliofanywa basi inapelekea kutoa zawadi.. Neno hili limetajwa katika maandiko.. Zaburi 68:28-29[28]Ee Mungu, uziamuru nguvu zako;Ee Mungu, uwe hodari uliyetufanyia makuu. [29]Kwa ajili ya hekalu lako YerusalemuWafalme watakuletea hedaya. Zaburi 76:11[11]Wekeni nadhiri, mkaziondoeKwa BWANA, Mungu wenu.Wote wanaomzunguka wamletee hedaya,Yeye astahiliye kuogopwa. Isaya ..

Read more

JIBU..Tusome Zaburi 92:10[10]Bali pembe yangu umeiinua kama pembe ya nyati,Nimepakwa mafuta mabichi. Biblia inapozungumzia mafuta mabichi haina maana kuwa ni Mafuta ambayo hayajapitishwa katika moto , hapana,bali ni mafuta yaliyo Katika upya ambayo hayana muda mrefu, kipindi cha agalo la kale na hata sasa walitumia mafuta ya mizeituni Katika Chakula na Matumizi ya ibada, yalitumika ..

Read more

Maana halisi ya neno zaburi ni “Nyimbo takatifu” hivyo Katika biblia zaburi ni kitabu cha nyimbo takatifu na zimekuwa takatifu kwasababu lengo lake ni kumfanya mtu amrudie Muumba wake, ni njia moja wapo ya kumwimbia Mungu na kumsifu, ijapokuwa zaburi pia ulikuwa ni unabii wa Mambo yanayokuja mbeleni.. Nyimbo hizo zilitumika pia katika kipindi cha ..

Read more

Haki kibiblia ni tofauti na haki kama inavyojulikana na watu wengi, maana haki kisheria inatafsirika kama kile mtu anachostahili kuwa nacho au kile anachoruhusiwa kufanya, au kile anachostahili kupokea kutoka kwa wengine kwa mujibu wa sheria’. Na maana nyingine haki inafahamika kama watu kutenda matendo mema ni kupata haki . Lakini kibiblia haki ni tofauti ..

Read more

Tusome.. Zaburi 4:4-5[4]Mwe na hofu wala msitende dhambi,Tafakarini vitandani mwenu na kutulia.[5]Toeni dhabihu za haki,Na kumtumaini BWANA. Katika andiko hili biblia inasema “Mwe na hofu wala msitende dhambi” hajasema mwe na hofu ila msitende dhambi kwamba hofu ikizidi sana inaweza kuleta madhara, sivyo bali hofu inapaswa kuwepo nyingi.. Na tukiangalia hofu inayozungumziwa hapo sio hofu ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Moja ya mistari inayonukuliwa vibaya katika Biblia moja wapo ni huu hasa kwa watu wa Mungu, maana imefika mahali Fedha/mafanikio yanahubiliwa zaidi kuliko Yesu Kristo Mwokozi wetu. Mhubiri 10:19 “Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, Na divai huyafurahisha maisha; NA FEDHA HULETA JAWABU LA MAMBO YOTE”. Sasa ..

Read more

Yeremia 17:9[9]Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua? Neno kufisha ni kitendo cha kusababisha kitu kiweze kufa, au kupoteza uhai wake.. Na hapo Maaandiko yanaposema moyo una ugonjwa wa kufisha, ina maana kuwa una ugonjwa wa kupelekea mauti, ni ugonjwa usiponyeka.. hi ikionyesha moyo una udanganyifu mbaya sana, moyo ..

Read more