Archives : April-2024

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Hekima iliyokuwa ndani ya Sulemani ilikuwa ikumuongoza katika kupambanua ama kufahamu mambo mengi sana, ambayo pia kwetu yanafanyika kuwa ni msaada mkubwa sana kama tukiyasoma na kuyaelewa na kuamua kuchukua hatua.! Hivyo upo uhusiano mkubwa kati ya Uvivu na umasikini, maaana umasikini hauwezi kuja pasipokuwezeshwa na ..

Read more

Neno injili limetoka na neno la kigiriki euaggelion lenye maana ya “HABARI NJEMA” Kwahiyo maana kuu ya Injili kibiblia ni Habari njema za Yesu Kristo neno la Mungu linasema Luka 2:8 “Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku. 9 Malaika wa Bwana akawatokea ghafula, utukufu wa ..

Read more

Tusome… Mithali 18:18 Kura hukomesha mashindano;  Hukata maneno ya wakuu. Upigaji wa kura ni njia iliyotumika kuleta suluhisho la jambo fulani, lililo hata Katika utata, ni njia pia iliyoweza kuchagua, viongozi, wamiliki na wenye mamlaka..  Wakati mwingine njia hii pia Mungu anairidhia ili kuleta majibu sahihi kulingana na jambo husika, ndo mana tukiangalia mfano wa ..

Read more

Tusome… Wimbo 8:6 “Nitie kama muhuri moyoni mwako, Kama muhuri juu ya mkono wako; Kwa maana upendo una nguvu kama mauti, Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni MIALI YA YAHU”. Neno YAHU lina maana zaidi ya moja,ni jina lingine la YAHWE” ambalo ndilo “YEHOVA Kutoka ..

Read more

Kibiblia baradhuli ni mtu anayefanya jambo na anajua kabisa si sawa mbele za Mungu, mtu  kama huyo anafananishwa  mpumbavu mtu asiyefaa, anayevuka mipaka. Watu hawa hutawatambua Kwa tabia hizi, kulingana na maandiko    WATU WANAOMWAGA DAMU ISIYO NA HATIA Watu kama hawa ni mabaradhuli Kwa sababu anafanya jambo ambalo anajua kabisa mbele za Mungu ni ..

Read more

Maandiko yanaeleza wazi juu mtu aliye ishi miaka mingi katika biblia ukisoma Mwanzo 5:25 “Methusela akaishi miaka mia na themanini na saba, akamzaa Lameki. 26 Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, waume na wake. 27 Siku zote za Methusela ni miaka MIA KENDA NA SITINI NA KENDA, ..

Read more

Bwana Yesu apewe sifa!, karibu katika kujifunza Neno la Mungu. Je neno mesheki linamaanisha nini? Neno hili tunalipata katika vifungu vifuatavyo (Zaburi 105:22,Ayubu 29:10,Zaburi 68:31). Sasa maana yake ni nini?. Masheki Ni watu wenye hadhi kubwa(watu wenye uwezo na Mamlaka)ambao sauti zao zinasikika na kuogopwa wakiongea nchi yote ama jamii yote wanatega sikio kusikiliza ni ..

Read more

Mithali 13:2 “Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri” Haini au Kwa lugha nyingine tunaweza sema MSALITI, Hivyo haini ni mtu msaliti ambaye hufanya usaliti kwa mtu fulani, au mtu anayefanya usaliti katika nchi yake kinyume na uzuri wa jambo fulani Lakini pia hata katika Imani mtu ..

Read more

Mapepo ni roho au malaika walioasi mbinguni, walishindwa kuilinda Enzi yao mbinguni(Yuda 1: 6)wakaingia tamaa na kushawishiwa na Shetani (pia nae alikuwa ni malaika) na kutaka kuupindua ufalme wa Mungu lakini hawakufanikiwa wakafukuzwa. Hivyo mkuu wao anaewapa amri na kuwaongoza hawa mapepo ni Shetani yeye ndio pepo mkuu. Hivyo baada ya kuasi wakatupwa huku chini ..

Read more

Kongwa ni nira au kifungo cha shingoni ambacho kinatengenezwa kwa kutumia mti uliogawanyika sehemu mbili au mti uliochongwa unaoshikamanisha au kuunganisha vitu viwili katika sehemu moja. Mfano Ng’ombe wawili wanaofungwa pamoja shingoni kwenda kulima kwa kutumia pilau(jembe la ng’ombe la kulimia) Na pia hata kwa watu zamani walikuwa wakifungwa nayo katika kipindi cha biashara ya ..

Read more