Author : magdalena kessy

Kusaga meno ni kitendo cha kunga’ta meno kwa nguvu , kutokana na maumivu na uchungu fulani fulani..mtu aliyejikata na kisu au kujikwaa kwenye kidole utaona atang’ata meno kwa nguvu kutokana na maumuvi anayoyasikia au uchungu au hasira fulani (Soma Matendo 7:54). wakati mwingine mpaka kung’ata huku yanasuguana. Sasa kitendo hicho ndicho kinachoitwa kusaga meno. Katika ..

Read more

Jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe karibu katika kujifunza maneno ya uzima ya Bwana wetu Yesu kristo . Katika biblia takatifu yapo maneno ambayo tunakutana nayo wakati tunasoma maandiko na tunakuwa hatufahamu maana ya maneno hayoTutaangalia moja ya neno nalo ni MBARI. Je neno mbari linamaanisha nini ? Mara nyingi Neno hili linatajwa katika biblia, ..

Read more

Huyu Azazeli ni Nani tunayemsoma katika walawi 16:8? Mambo ya Walawi 16:8[8]Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi wawili; kura moja kwa ajili ya BWANA; na kura ya pili kwa ajili ya Azazeli. Tukiangalia Kwa ufupi habari hii, katika Mambo ya walawi Sura ya 16, tunaona kwamba katika siku ya upatanisho wa Wana wa ..

Read more

JIBU… Herode, mtu mashuhuri katika Biblia, alitoa hotuba ambapo watu walimsifu kwa hotuba yenye hoja nzuri, iliyojaa sifa na utukufu wake mwenyewe. Hata hivyo, watu walipaza sauti, “Ni sauti ya Mungu, si sauti ya mwanadamu.” Na yeye Herode akilijua hilo, kuwa yeye ni mwanadamu tu, akazipokea sifa zile. Kilichofuata baada ya pale ni malaika wa ..

Read more

Kafiri ni mtu ambaye haamini imani fulani. Makafiri ni wale ambao hawaamini kwamba Kristo alikuja na kufa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu, hawa hawana tofauti sana na wapagani. Mtu yeyote asiyeshika njia za Bwana Yesu Kristo(neema) na kumkana, mtu huyo ni kafiri… Yuda 1:14 “Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu ..

Read more

Kutokana na vifungu hivi je Mungu anajuta? Hesabu 23:19[19]Mungu si mtu, aseme uongo;Wala si mwanadamu, ajute;Iwapo amesema, hatalitenda?Iwapo amenena, hatalifikiliza? 1 Samweli 15:11[11]Najuta kwa sababu nimemtawaza Sauli awe mfalme; maana amerudi nyuma, asinifuate, wala hakufanya nilivyomwamuru. Samweli akasikitika, akamlilia BWANA usiku kucha. Ukitazama vifungu hivyo ni kama vinakinzana, utaona hapo kwenye kitabu cha hesabu kinasema ..

Read more

Upako ni Uweza wa kipekee wa Roho Mtakatifu ambao huwa huingia ndani ya mtu, ili kumsaidia kufanya jambo fulani kirahisi zaidi, au anakuwa na uwezo wa kutenda jambo ambalo hapo kabla alikuwa haliwezi kulifanya kwa urahisi. Zamani kibiblia, mtu kabla hajatawadhwa kuwa mfalme, ilikiwa ni lazima itie mafuta, ikiwa na ishara kwamba, mafutwa yaliyomwagwa ndani ..

Read more

Katika agano la kale dhabihu ni Aina ya sadaka zilizotolewa Kwa Bwana zikihusisha vifo vya wanyama. Kwa jina lingine tunaweza kuita KAFARA. Bwana alisogezewa wanyama kutoka katika makundi ya wanyama safi/ wasio najisi Kama ng’ombe, mbuzi na kondoo. Walichinjwa kama sadaka wakachomwa madhabahuni na damu kunyunyizwa ili kuleta upatanisho kwaajili ya dhambi za watoa dhabihu ..

Read more

Je Neno hili lipo Katika Biblia? Sakramenti kulingana na kanisa katoliki, sakramenti ni ishara ya wazi ionekanayo, ya neema isiyoonekana, iliyofanywa na Yesu Kristo mwenyewe, itumike kutuletea au kutuongezea neema mioyoni mwetu Yaani kwa lugha nyepesi ni ishara za nje zionekanazo zilizobeba neema ya wokovu,  zilizofanywa  kwanza na Bwana Yesu, ambazo tukizifanya na sisi zitatuongezea ..

Read more

Neno kiama au kiyama lina maana ya “Siku ya ufufuo” Neno hili kiyama linapatikana sehemu mbalimbali Katika Maaandiko, hivi ni baadhi ya vifungu Mathayo 22:23-28 [23] Siku ile Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza, [24]wakisema, Mwalimu, Musa alisema, Mtu akifa, akiwa hana watoto, ndugu yake na amwoe yule mkewe, ili ampatie nduguye mzao. ..

Read more