Author : magdalena kessy

Kupatiliza lina maana ya kupiga/kuadhibu, mfano mzuri tunaweza kusema mtu huyu amepigwa na Mungu ni sawa na kusema mtu huyu amepatilizwa na Mungu.. Jambo la kujiuliza je Mungu anapiga watu (anapatiliza)? Jibu la uhakika ni ndio, Mungu Anatoa adhabu, anapatiliza waovu, na wema kama ikiwa watapita kinyume na njia zake.. Kusudi la Mungu kutuadhibu ni ..

Read more

Mithali 30:32-33[32]Ikiwa umefanya kipumbavu kwa kujikuza; Au ikiwa umewaza mabaya; Basi weka mkono wako juu ya kinywa chako. [33]Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika kuchochea hasira hutokeza ug omvi. Maandiko yanatupa kuelewa kwamba kila tendo lolote linalofanyika kwa uzuri au ubaya,basi fahamu tu litaleta majibu tu.. Hapo ametumia mfano ..

Read more

Warumi 12:5-8[5]Vivyo hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo, kila mmoja kwa mwenzake. [6]Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, kwa kadiri ya neema mliyopewa; ikiwa unabii, tutoe unabii kwa kadiri ya imani; [7]ikiwa huduma, tuwemo katika huduma yetu; mwenye kufundisha, katika kufundisha kwake; [8]mwenye kuonya, katika kuonya kwake; mwenye ..

Read more

Yakobo 5:9[9]Ndugu, msinung’unikiane, msije mkahukumiwa. Angalieni, mwamuzi amesimama mbele ya milango. Maandiko hayatupi nafasi ya sisi kuwa watu wa kunung’unika Kwa namna yoyote ile,hata kwa kuonewa, kudhulumiwa au kuaibishwa kwa namna yoyote,hatupaswi kuwa watu wa manung’uniko, kwasababu kuwa mtu wa hivyo kunakufanya kutokuwa na roho ya uvumilivu ndani yako na kumfanya Mungu ashindwe kuwa mvumilivu ..

Read more

Andiko hili linazidi kuonyesha hatari ya kazi za mikono zinazotendwa jinsi zilivyo, ametumia mwenye kuchonga mawe kwasababu wajenzi wa zamani iliwapasa kwenda kwenye miamba ili kuchonga mawe kwa ajili ya ujenzi wa majengo yao, na walikutana na hatari nyingi ikiwemo kuangukiwa na mawe na kuwaharibu viungo pamoja na vifaa vyao vya ujenzi kuwajeruhi, Hivyo pia ..

Read more

Mithali 16:30[30]Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya. Andiko hilo halina maana kuwa kufumba macho kunapelekea mtu kuwaza yaliyopotoka, sivyo, kwasababu ikiwa itamaanisha hivyo, vipo vinavyofanyika , kwa mfano tunapoomba kwa kufumba macho basi ingekuwa tunafanya makosa.. Hekima inapokuwa ndani ya mtu inampelekea kuona aibu hata kufumba macho yake wakati ..

Read more

Hedaya ni neno linalomaanisha Zawadi ,na ili kuonyesha pongezi au shukrani kwa wema uliofanywa basi inapelekea kutoa zawadi.. Neno hili limetajwa katika maandiko.. Zaburi 68:28-29[28]Ee Mungu, uziamuru nguvu zako;Ee Mungu, uwe hodari uliyetufanyia makuu. [29]Kwa ajili ya hekalu lako YerusalemuWafalme watakuletea hedaya. Zaburi 76:11[11]Wekeni nadhiri, mkaziondoeKwa BWANA, Mungu wenu.Wote wanaomzunguka wamletee hedaya,Yeye astahiliye kuogopwa. Isaya ..

Read more

JIBU..Tusome Zaburi 92:10[10]Bali pembe yangu umeiinua kama pembe ya nyati,Nimepakwa mafuta mabichi. Biblia inapozungumzia mafuta mabichi haina maana kuwa ni Mafuta ambayo hayajapitishwa katika moto , hapana,bali ni mafuta yaliyo Katika upya ambayo hayana muda mrefu, kipindi cha agalo la kale na hata sasa walitumia mafuta ya mizeituni Katika Chakula na Matumizi ya ibada, yalitumika ..

Read more

Maana halisi ya neno zaburi ni “Nyimbo takatifu” hivyo Katika biblia zaburi ni kitabu cha nyimbo takatifu na zimekuwa takatifu kwasababu lengo lake ni kumfanya mtu amrudie Muumba wake, ni njia moja wapo ya kumwimbia Mungu na kumsifu, ijapokuwa zaburi pia ulikuwa ni unabii wa Mambo yanayokuja mbeleni.. Nyimbo hizo zilitumika pia katika kipindi cha ..

Read more

Tusome.. Zaburi 4:4-5[4]Mwe na hofu wala msitende dhambi,Tafakarini vitandani mwenu na kutulia.[5]Toeni dhabihu za haki,Na kumtumaini BWANA. Katika andiko hili biblia inasema “Mwe na hofu wala msitende dhambi” hajasema mwe na hofu ila msitende dhambi kwamba hofu ikizidi sana inaweza kuleta madhara, sivyo bali hofu inapaswa kuwepo nyingi.. Na tukiangalia hofu inayozungumziwa hapo sio hofu ..

Read more