Author : watakatifuwasikuzamwisho

Isaya 45:3 “nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli”. Hazina za giza ni baraka zilizoshikiliwa na adui shetani, ambazo zinapaswa kuwa zetu.Mfano wa hazina za gizani ni zile wana wa Israeli walizozipata kutoka katika jeshi ..

Read more

Marago ni makazi ya muda ambayo hutumiwa kwa madhumuni maalumu, kama vile wakati wa vita,  watu waliweka kambi au mahema katika maeneo mbalimbali, hayo ndiyo marago  Kwa mfano ukisoma Waamuzi 10:17-18 inasema.. [17]Wakati huo wana wa Amoni walikutana pamoja, wakapanga marago huko Gileadi. Wana wa Israeli nao wakajikusanya wakapanga marago Mispa. [18]Na hao watu, wakuu ..

Read more

Shalom!, Ukisoma katika Mathayo 24:14-30 utakutana na neno hili. Sasa lilikuwa likimaanisha nini? Neno Talanta kwa Kigiriki ni “Talanton” pia kwa kilatini ni “Talentum”  Sasa zamani hususani katika nyakati za agano la Kale Talanta kilikuwa ni kipimo cha uzito. Hasa kilikuwa kikitumika katika kupima uzito wa Madini kama Dhahabu na Shaba. Na Talanta moja ina ..

Read more

Nini maana ya kanisa Zamani hata mimi kabla sijapata ufahamu/ maarifa ya maana halisi ya kanisa ipi, ukweli kabisa nilijua kuwa kanisa NI JENGO, tena na pale nilipona na msalaba basi akili yangu yote na ufahamu nikajua kanisa ni jengo ambalo bila hilo watu hawawezi kusanyika ili wamwabudu Mungu, huwenda sikua Mimi yamkini na wewe ..

Read more

Bwana Yesu anafundisha kwamba kumwangalia mwanamke kwa tamaa kunasababisha uzinzi katika nafsi. Ndio masturbation ni dhambi. Dhambi huanzia moyoni, na uasherati, kupiga punyeto, na kutazama ponografia ni matokeo ya ukosefu wa adili moyoni. Ili kuepuka dhambi hizi, mtu lazima ayakabidhi maisha yake kwa Yesu na kuamua kuanza maisha mapya ndani ya Kristo.  Warumi 10:10  Kwa ..

Read more

Shalom.. Boriti ni Kipande kikubwa sana cha mbao,kipande hicho kinaweza kuwa Kwa muundo wa ki-gogo,au mbao yoyote yenye upana.. Na Kibanzi ni kichembe kidogo sana kama mchanga,wakati mwingine kufikia kuwa kama vumbi la mbao ambalo kuonekana kwake ni kugumu.ndicho Kibanzi.. Bwana Yesu alitoa mfano huo ili kuweka msisitizo kile alichotaka kuzungumza, Katika hali ya kawaida ..

Read more

Jina Lusifa halipatikani katika Biblia ya toleo la Swahili Union version (SUV) au matoleo mengine ya Kiswahili. Ni neno la Kilatini linalomaanisha “Nyota ya Alfajiri” na limetajwa katika:  Isaya 14:12 [12]Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi!  Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa! Watakatifu wa zamani walitafsiri Biblia kutoka lugha ya ..

Read more

SWALI: Nini maana ya Mafarisayo hupanua HIRIZI zao na kuongeza MATAMVUA yao? na ni kwa namna gani, wameketi katika kiti cha Musa? (Mathayo 23:1-5) JIBU: Nakusalimu kwa jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo nakukaribisha katika kuyatafakari maneno ya uzima. Kabla ya kwenda moja kwa moja katika jibu ni vyema tufahamu mafarisayo ni watu gani?? MAFARISAYO ..

Read more

Bwana Yesu  kuna jambo alilikusudia hapa  lifahamike na  ndio maana  akatoa mfano huo katika  kitabu cha Mathayo 5:15, lakini kabla ya kuendelea mbele embu tutazame kwanza nini maana ya maneno hayo, Kiango na Pishi KIANGO Kiango ni kifaa maalumu kinachotumika kushikilia  au kuning’inzia taa  kwa jina lingine kinaitwa kinara, na kifaa hiki huwa lazima kikae ..

Read more

Kwaresma, linalotokana na neno la Kilatini Quadragesima, maana yake ni “Arobaini” na ni kipindi cha siku 40 cha kufunga kinachofanywa na baadhi ya wakristo kabla ya sikukuu ya Pasaka. Kusudi la mfungo ni kuwatayarisha Wakristo katika sala, toba, na unyenyekevu kwa  ajili ya Pasaka iliyopo mbeleni. Kwaresma pia inahusishwa na Bwana kufunga kwa siku 40 ..

Read more